"Amani haiji ila kwa ncha ya upanga"; walisema wahenga.Yaan momepita hapo Bunju B Kama do 10 zilizopita, nimeona heka heka, defender na police wengi, aisee... Amani ni kitu muhimu Sana.
Hivi kumiliki Bastola masherti yake ni yapi?
Kila mkoa kwa sasa una panya road sio rahisi kuwazibiti hao madogo nikama maroboti hawaogopi kabisa kifoKabisa hao wapuuzi wenye mapanga butu ndiyo watishie amani,si kweli ,ni ndani ya 2hrs tu wanasahaulika kwenye ulimwengu wa dunia....Hao Panya road wameanza tangia j5 vurugu zao na wizi...Nadhani wanatoa meseji ya kuvunjiwa vibanda vyao kuanzia mwenge hadi bunju.
Wakati ananijibu hakufikiria mara mbili usalama wa watu wengine,kwani nilishindwa kuchukua gari na kuondoka,ndio maana simu niliiacha kwa kuwa kukimbia naweza kuangusha simu.KhaKhaKhaa; Polepole jamani. Huyo alikuwa anainusuru nafsi yake kwanza. Gari si atanunua nyingine ila sio roho yake. Panya rodi wapo pia wanawake au ???.
Kweli kabisa. Huo uthubutu haupo kwa vijana wa ki-Tz.Hivi hawa ni panya road au kuna kikundi cha uhalifu kikubwa kinapoozwa kwa kuitwa 'panya road'? Kwa ninavyojua mimi, sidhani kama kuna kijana wa kitanzania ambaye wataji organise wawe na mapanga bila nguvu ya kundi kubwa la kihalifu nyuma yao.
Hali ya maisha imekuwa ngumu..kila mtu ameambiwa ale kwa urefu wa kamba yake.Duuh hawa panya road Mbona wanazidi kuota mapembe sasa
Hawa panya ni hatari mno...Wanaume wa Dar bana yaan kuoa wake wawili na kupiga picha nao kwenye mitandao ndo mnachokiweza
Esp. Ukiwachekea. Lakini wakitembezewa chuma kidogo inakuwa hakuna shida kwani hakuna mkate mgumu mbele ya chai. Ni kufumua mafuvu yao na hapo watapata akili.Hawa panya ni hatari mno...
Tulia ipo siku watu watakuomba jichoIla watu wa Dar bwana!! Kwahiyo hao vijana 8 tena wameshika bisibisi ndio wakuwajadili kweli?
Alafu nimekula mishkaki hapo baada ya game ya Simba [emoji2]Hapo Bunju A parking bar si muda wote kuna Defenda hapo inapark? Walikuwepo wapi leo?
Dawa yao hao ni kuwauwa tu washenzi haoMimi nimesikia ni Bunju kwa baharia na watu wamefunga maduka. Vyombo vya dola chukueni hatua! Hili tishio linaelekea pabaya sana.
Wananchi wakiamua kujilinda damu zitamwagika pande zote na mbaya zaidi raia wema ndio wahanga wa mwanzo.
Tukubaliane hili swala soon litagusa watu nyeti ndio tuamke maana kuna dalili linakomaa sasa.
Inasemekana hawa wahalifu sio usiku tu hata mchana wanavamia.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Aaaah! Mjomba, Mpaka uje kuimiliki hiyo bastola kwa urasimu uliopo; hao panya watakuwa wesha sepa. Ww anza hata na panga, rungu, nondo, mshale, gobore n.k. twanga wapuuzi hao.
Hao panya road ni matokeo ya kuvunjika kwa ndoaVijana wale wanaokataa Ndoa
Hayo ndio madhara ya KATIBA DHAIFU, watawala wamelala tu hakuna uwajibikaji. Acha panya road waendelee kuwapelekea moto labda akili zitakujaMnalipa kodi halafu hamlindwi na mali zenu na roho zenu zinachukuliwa
Hivi hamna uchungu? Na mtakuwa hivyo wa hewala mpaka lini
Unalipa kodi serikali inashindwa kukuhakikishia usalama halafu unaona sawa, puumbavuHaka kakikundi kanavamia eneo ghafla kundi kubwa na mapanga. Hili swala Polisi wakiachwa wafanye kazi watafutika lakini tukiweka siasa na haki za binadamu subiri siku wakicharanga mwanao au mkeo ndio utaelewa.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app