Papa Benedict XVI akiri kusema uongo katika kumtetea Padri aliekua analawiti wavulana

Papa Benedict XVI akiri kusema uongo katika kumtetea Padri aliekua analawiti wavulana

kutolewa UFAFANUZI kivipi?
Hzi kashfa zilishakuwepo na kutolewa ufafanuzi na waliokiri waliokiri,tatizo zinaendelezwa na kurudiwa rudiwa kila siku hasa na vyombo vya habari flani Kwa maslahi binafsi.All in all Kanisa Katoliki ni kanisa imara sana kuanzia kiimani,kiongozi,kiuchumi nk.Sio kanisa la mtu ni taasisi iliyo imara huenda kuliko taasisi yoyote duniani
 
Unyenyekevu wa kulawiti wavulana [emoji848]
Ndiyo maana ninalipenda hili kanisa.Hii ndiyo dhamira ya kweli na falsafa ya kanisa katoliki.Kujishusha daima na unyenyekevu wa hali ya juu! Kama Yesu alivyosema akupigae Kofi upande mmoja mgeuzie na lingine! Kanisa limeonyesha mfano huo kwa kuomba radhi mara kwa mara pale linapotuhumiwa mfano wa mwanakondoo mnyenyekevu!.Hii ni sifa ya pekee sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Papa mstaafu Benedict XVI amekiri kwamba aliwahi kusema uongo kwa wachunguzi na wapelelezi wa kesi ya kuwalawiti watoto kuhusu padri aliekua anachunguzwa kwa kuwalawiti wavulana.

Papa Benedict ameomba asamehewe kwa kusema uongo na kuficha ukweli kwa wachunguzi.

Soma mwenyewe hapa


Sasa daaah izi kashfa mpaka linii c waruusiwe tu kuoa
 
Hizi kashfa zinalichafua kanisa katoliki sana
Lichafuke mara ngapi tena kanisa letu? Hilo ni zaidi ya dampo la uchafu na ndimo hutoka mauchafu mengine yote makubwa kwa madogo. Nikipata kanisa la kuaminika, siwezi kushea paa moja na hawa wadanganyifu! Hawafai hata nukta kukaa nao karibu wala kuwavumilia!
 
Papa mstaafu Benedict XVI amekiri kwamba aliwahi kusema uongo kwa wachunguzi na wapelelezi wa kesi ya kuwalawiti watoto kuhusu padri aliekua anachunguzwa kwa kuwalawiti wavulana.

Papa Benedict ameomba asamehewe kwa kusema uongo na kuficha ukweli kwa wachunguzi.

Soma mwenyewe hapa


Nampongeza Papa Mstaafu kwa kusema ukweli. Ni wakati sasa kwa Masheikh, Mautaadh, Maaskofu feki, Manabii feki, Mitume feki na Wachungaji wa madhehebu mengine kujitokeza hadharani na kukiri udhaifu wao!

Maana hata wao pia tunatambua fika siyo watakatifu na waadilifu! Zaidi tu ya kuishi maisha ya kinafiki.
 
Unyenyekevu wa kulawiti wavulana [emoji848]
Kama jinsi Yesu alivyokubali kuteswa na kunyenyekea pale alipotukanwa ndivyo kanisa linavyopaswa liwe! Utatukana sana lakini daima falsafa ya kanisa hairuhusu kubishana au kukataa! Kama jinsi Kristu alivyokuwa mnyenyekevu na kukubali msalaba ndivyo kanisa lilivyo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Papa mstaafu Benedict XVI amekiri kwamba aliwahi kusema uongo kwa wachunguzi na wapelelezi wa kesi ya kuwalawiti watoto kuhusu padri aliekua anachunguzwa kwa kuwalawiti wavulana.

Papa Benedict ameomba asamehewe kwa kusema uongo na kuficha ukweli kwa wachunguzi.

Soma mwenyewe hapa


Usije ukatafsiri kitu kama hujui vizuri lugha! To give a false statement is not the same as lying au kusema uwongo my friend. It simply means he gave a statement which later came to be proved that it wasn't true. "A false statement is a statement that is not true. Although the word fallacy is sometimes used as a synonym for false statement, that is not how the word is used in philosophy, mathematics, logic and most formal contexts. A false statement need not be a lie. A lie is a statement that is known to be untrue and is used to mislead. A false statement is a statement that is untrue but not necessarily told to mislead, as a statement given by someone who does not know it is untrue." - Source: False statement - Wikipedia
 
kusema ukweli wakati Jambo limefanyika kweli?
hauoni Kama amewadhulumu hao watoto ?
Nampongeza Papa Mstaafu kwa kusema ukweli. Ni wakati sasa kwa Masheikh, Mautaadh, Maaskofu feki, Manabii feki, Mitume feki na Wachungaji wa madhehebu mengine kujitokeza hadharani na kukiri udhaifu wao!

Maana hata wao pia tunatambua fika siyo watakatifu na waadilifu! Zaidi tu ya kuishi maisha ya kinafiki.
 
Papa mstaafu Benedict XVI amekiri kwamba aliwahi kusema uongo kwa wachunguzi na wapelelezi wa kesi ya kuwalawiti watoto kuhusu padri aliekua anachunguzwa kwa kuwalawiti wavulana.

Papa Benedict ameomba asamehewe kwa kusema uongo na kuficha ukweli kwa wachunguzi.

Soma mwenyewe hapa




Benedict XVI confirms he attended disputed 1980 meeting in Munich​

https://www.catholicnewsagency.com/...-he-attended-disputed-1980-meeting-in-munich#
Pope emeritus Benedict XVI, pictured in summer 2017.
Pope emeritus Benedict XVI, pictured in summer 2017. | EWTN/Paul Badde.
CNA Staff
By CNA Staff
Munich, Germany, Jan 24, 2022 / 03:38 am
Pope emeritus Benedict XVI has apologized for mistakenly saying that he did not attend a disputed meeting in 1980 while serving as archbishop of Munich and Freising.

In a statement published in the German Catholic weekly Die Tagepost on Jan. 24, the 94-year-old retired pope said that the mistake was the result of an editing error, reported CNA Deutsch, CNA’s German-language news partner.
Benedict XVI initially told investigators that he was not present at a meeting of archdiocesan officials on Jan. 15, 1980.
But in the statement, Archbishop Georg Gänswein, Benedict XVI’s private secretary, said that the pope emeritus “would now like to make it clear that, contrary to what was stated during the hearing, he took part in the ordinariate meeting on Jan. 15, 1980.”

“The statement to the contrary was therefore objectively incorrect,” he said.
“He would like to emphasize that this was not done out of bad faith, but was the result of an error in the editing of his statement. He will explain how this came about in the pending statement. He is very sorry for this mistake and asks for this mistake to be excused.”

A more than 1,000-page report on the handling of abuse cases in the Archdiocese of Munich and Freising, issued on Jan. 20, accused the retired pope of mishandling four cases during his tenure as archbishop from 1977 to 1982.
Benedict XVI, who strongly denies cover-up allegations, sent 82 pages of observations to researchers compiling the report.
One of the four cases related to a priest named Father Peter Hullermann, who is accused of abusing at least 23 boys aged eight to 16 between 1973 and 1996. The case was first highlighted by the media in 2010, when Benedict XVI was pope, and again earlier this month.


Attention has focused on an ordinariate meeting in 1980, in which the priest’s transfer from the Diocese of Essen to Munich archdiocese was discussed.
Gänswein noted in his statement to Die Tagespost that during the meeting it was agreed that the priest, who had admitted to sexually abusing children, should be provided with accommodation in Munich as he underwent therapy.
“Objectively correct, however, and documented by the files, is the statement that no decision was made in this meeting about a pastoral assignment of the priest in question,” he said.

“Rather, only the request to provide him with accommodation during his therapeutic treatment in Munich was granted.”
Hullermann was later permitted to serve without restrictions in a Munich parish. In 2010, former vicar general Msgr. Gerhard Gruber took “full responsibility” for the decision.
After leaving the Munich archdiocese in 1982, the future Benedict XVI served as prefect of the Vatican Congregation for the Doctrine of the Faith before his election as pope in 2005. He retired in 2013 and has since lived in relative seclusion at the Vatican.
The Munich report covered not only the period that the future Benedict XVI led the archdiocese, but also the tenures of Cardinal Friedrich Wetter, who succeeded him, and Cardinal Reinhard Marx, who has served as archbishop of Munich and Freising since 2007.
In addition to criticizing the future pope’s handling of four cases, investigators said that Wetter had mishandled 21 cases and Marx two cases.
Marx, a member of Pope Francis’ Council of Cardinals, said that he was “shocked and ashamed” at the report’s findings.
The Munich archdiocese is expected to hold a press conference on Jan. 27 to address the study’s conclusions “after a first reading and examination.”
Gänswein’s statement said that Benedict XVI was continuing to read the extensive report by the Munich law firm Westpfahl Spilker Wastl.
“At present, he is carefully reading the statements made there, which fill him with shame and pain about the suffering inflicted on the victims,” he said.
“Even though he is endeavoring to read the report quickly, he asks for your understanding that it will take some time for him to read it in its entirety due to his age and health, but also because of its large volume. There will be a statement on the report.” Source: Catholic News Agency (CNA)
 
Lichafuke mara ngapi tena kanisa letu? Hilo ni zaidi ya dampo la uchafu na ndimo hutoka mauchafu mengine yote makubwa kwa madogo. Nikipata kanisa la kuaminika, siwezi kushea paa moja na hawa wadanganyifu! Hawafai hata nukta kukaa nao karibu wala kuwavumilia!
Wewe ni mmoja ya viumbe hai wasio jitambua kabisa. Hivi kuna mtu aliwahi kukulazimisha kweli kwenda kusali Kanisa Katoliki?

Eti "nikipata kanisa la kuaminika, siwezi kushea paa moja na hawa wadanganyifu" Huu ni ushahidi mwingine wa mtu mnafiki na asiye jitambua!

Wewe hapo ulipo una ukamilifu gani! Hujawahi kuiba? Hujawahi kuzini? Hujawahi kutamani chochote? Hujawahi kusema uongo? Usituchoshe bhana!

Kama vipi wewe ondoka tu. Tena ufanye haraka iwezekanavyo! Maana Kanisa Katoliki ni kama bahari! Kamwe haitokuja ikauke!
 
Ndiyo maana ninalipenda hili kanisa.Hii ndiyo dhamira ya kweli na falsafa ya kanisa katoliki.Kujishusha daima na unyenyekevu wa hali ya juu! Kama Yesu alivyosema akupigae Kofi upande mmoja mgeuzie na lingine! Kanisa limeonyesha mfano huo kwa kuomba radhi mara kwa mara pale linapotuhumiwa mfano wa mwanakondoo mnyenyekevu!.Hii ni sifa ya pekee sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
Je padri aliyelawiti kaomba msamaha.kajishusha ama bado sijapata hiyo habari?!
 
Hzi kashfa zilishakuwepo na kutolewa ufafanuzi na waliokiri waliokiri,tatizo zinaendelezwa na kurudiwa rudiwa kila siku hasa na vyombo vya habari flani Kwa maslahi binafsi.All in all Kanisa Katoliki ni kanisa imara sana kuanzia kiimani,kiongozi,kiuchumi nk.Sio kanisa la mtu ni taasisi iliyo imara huenda kuliko taasisi yoyote duniani
Hilo kanisa halina tofauti na sisiemu,liko imara kwenye kujichamba by any means ili litakasike
 
Nampongeza Papa Mstaafu kwa kusema ukweli. Ni wakati sasa kwa Masheikh, Mautaadh, Maaskofu feki, Manabii feki, Mitume feki na Wachungaji wa madhehebu mengine kujitokeza hadharani na kukiri udhaifu wao!

Maana hata wao pia tunatambua fika siyo watakatifu na waadilifu! Zaidi tu ya kuishi maisha ya kinafiki.
Kukiri kwake kumronyesha uongo wa miaka mingi wa kanisa katoliki kuwa pope is infallable kuwa akiwa papa kwenye kazi zake za kipapa hawezi kukosea

Huyu alikuwa papa kwenye kiti cha upapa na akatetea uovu akiwa kitini

Kukiri kwake kumebomolea mbali ile theory ya uwongo

Nampongeza Papa Benedict kwa kuanika hadharani uongo wa kanisa katoliki
 
Back
Top Bottom