Papa Benedict XVI akiri kusema uongo katika kumtetea Padri aliekua analawiti wavulana

Papa Benedict XVI akiri kusema uongo katika kumtetea Padri aliekua analawiti wavulana

Wewe ni mmoja ya viumbe hai wasio jitambua kabisa. Hivi kuna mtu aliwahi kukulazimisha kweli kwenda kusali Kanisa Katoliki?

Eti "nikipata kanisa la kuaminika, siwezi kushea paa moja na hawa wadanganyifu" Huu ni ushahidi mwingine wa mtu mnafiki na asiye jitambua!


Wewe hapo ulipo una ukamilifu gani! Hujawahi kuiba? Hujawahi kuzini? Hujawahi kutamani chochote? Hujawahi kusema uongo? Usituchoshe bhana!

Kama vipi wewe ondoka tu. Tena ufanye haraka iwezekanavyo! Maana Kanisa Katoliki ni kama bahari! Kamwe haitokuja ikauke!
Umekasirika mimi kusema ukweli? Narudia for the record: Our Roman Catholic Church is UNSURPRISINGLY rotten! Ushahidi huo hapo juu, tena mmoja mdogo tu kutoka kwa Papa mwenyewe. What else do you want?

Please note kwamba, hapa hatuzungumzii maisha ya watu individuals, bali uhalisia usiopingika kwamba chombo ama taasisi inayojinasibu kwamba inasimamia maadili na mambo ya kiroho, ndiyo ya kwanza kuguyuguza integrity ya wokovu mchana kweupe bila aibu wala hofu. Wala haiingii akilini hata kidogo!

Keep watching, you will soon learn the veracity of my words! ADIOS!
 
Vipi angekuwa mtoto wako aliyefanyiwa hivyo alafu papa akamtetea muhalifu

Ingekuwa mbaya sawasawa na mzazimwingine kadiri ya uchungu wa mtoto.
Nilijaribu kuelezea jinsi binadamu tunavyo ishi na siri za uovumwingi maishanimwetu mbaka siku ya mwisho.

Kitendo cha mtu kukirikosa kubwa kama hilo ambalo tulikuwa hatujui na kuutangazia ulimwengu kosalake na kuomba msamaha inatia moyo kuonyesha majuto aliyonayo moyoni kwa kosa hilo.

Wengine tunaishi na siri za makosa yakutisha tulio watendea binadamu wenzetu huku tukionyesha wemawetu kwa nje na kuwa wakwanza kulaumu wakosaji wengine sababu tu makosayao yameonekana wazi.

Ameonyesha mfano mzuri wa kujishusha na kujutia kosalake hadharani.

Nijambo la kutia moyo hata kwa walio tendewa ubaya huo.
 
Kama jinsi Yesu alivyokubali kuteswa na kunyenyekea pale alipotukanwa ndivyo kanisa linavyopaswa liwe! Utatukana sana lakini daima falsafa ya kanisa hairuhusu kubishana au kukataa! Kama jinsi Kristu alivyokuwa mnyenyekevu na kukubali msalaba ndivyo kanisa lilivyo!

Sent using Jamii Forums mobile app
Yesu alilawiti watu?

Kwa hiyo kanisa kasi yake ni kulawiti kisha kunyenyekea?

Sishangai wewe kua zao la hilo kanisa, ushahsribiwa huko background unawatetea waliokuharibu.
 
I used to know a fckng pastor in church and I can still hear the screams of kids he would fck molest

Dax
 
Chanzo cha habari Al Jazeera!!!
Hii hapa CNN

Bado hutaki kuamini kwamba papa alikua anashirikiana na padri anaelawiti watoto? Kwa maana kwamba huyo papa nae amelawiti watoto.

Inawezekana vijana wengi hasa mapadri na maaskofu waliopitia kwenye mikono yake aliwatafuna.

Papa anakiri kwamba alimficha mshikaji wake aliekua analawiti watoto ili asikamatwe na polisi ili waendelee kulawiti watoto.

Hii ilikua collusion, papa aligundua iwapo huyo padri atakamatwa angeweza kusema mengi hivyo ikabidi wakubaliane kuficha ukweli ili kulindana.

Hili ni kanisa ana chama cha mashoga?
 
Yesu alilawiti watu?

Kwa hiyo kanisa kasi yake ni kulawiti kisha kunyenyekea?

Sishangai wewe kua zao la hilo kanisa, ushahsribiwa huko background unawatetea waliokuharibu.
Kwa hiyo Yesu alikataza watu wasilipe kodi kwa kaisari??

Kwamba Yesu aliwaambia watu atabomoa hekalu na kujenga ndani ya siku tatu?

Kama jinsi tuhuma hizo hazikuwa za kweli ndivyo ilivyo kwa kanisa! Pamoja na yote Yesu alikuwa mnyenyekevu!

Wewe sio RC ndiyo maana matusi kwako ni kawaida! Nitakuonyesha kwa mfano wala sitakujibu chochote hata ukitukana kwa maana sijafunzwa hivyo! Bali dini yangu imenifunza kuwa mnyenyekevu hata kwa watu kama nyie!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo Yesu alikataza watu wasilipe kodi kwa kaisari??

Kwamba Yesu aliwaambia watu atabomoa hekalu na kujenga ndani ya siku tatu?

Kama jinsi tuhuma hizo hazikuwa za kweli ndivyo ilivyo kwa kanisa! Pamoja na yote Yesu alikuwa mnyenyekevu!

Wewe sio RC ndiyo maana matusi kwako ni kawaida! Nitakuonyesha kwa mfano wala sitakujibu chochote hata ukitukana kwa maana sijafunzwa hivyo! Bali dini yangu imenifunza kuwa mnyenyekevu hata kwa watu kama nyie!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kodi na kulawiti wapi na wapi wewe? Una akili timamu kweli?

Endelea kuwatetea waliokulawiti.
 
Mbona watu walikuwa wanajua kuwa anasema uongo tangu mwanzo.
Ingekuwa mbaya sawasawa na mzazimwingine kadiri ya uchungu wa mtoto.
Nilijaribu kuelezea jinsi binadamu tunavyo ishi na siri za uovumwingi maishanimwetu mbaka siku ya mwisho.

Kitendo cha mtu kukirikosa kubwa kama hilo ambalo tulikuwa hatujui na kuutangazia ulimwengu kosalake na kuomba msamaha inatia moyo kuonyesha majuto aliyonayo moyoni kwa kosa hilo.

Wengine tunaishi na siri za makosa yakutisha tulio watendea binadamu wenzetu huku tukionyesha wemawetu kwa nje na kuwa wakwanza kulaumu wakosaji wengine sababu tu makosayao yameonekana wazi.

Ameonyesha mfano mzuri wa kujishusha na kujutia kosalake hadharani.

Nijambo la kutia moyo hata kwa walio tendewa ubaya huo.
 
Kuomba msamaha ni ushujaa. Kongole kwake.

Sasa unakuja kumkashfu na id yako feki hapa, yani jina lako tu umeidanganya jf na umma tunaokufatilia ila unamdhihaki aliyejitokeza dhahiri kuomba radhi, nyambaf zako.

Usije kuwalawiti watoto na wewe huko.. utahadhibiwa tu MKUU na hatutokubali masamaha wako wa kinafki.. si uache huo uasisi uoe Nani? Atakufunga jela.. mnatuharibia watoto tu.. wewe assume mtoto afanyiwe hivyo vitendo kwa miaka yote hiyo ambayo yupo mafunzoni alaf aje kuwa PADRI mnataka mje mtutengenezee kizazi gani! Cha MAPADRI.. kipara tu
 
Papa mstaafu Benedict XVI amekiri kwamba aliwahi kusema uongo kwa wachunguzi na wapelelezi wa kesi ya kuwalawiti watoto kuhusu padri aliekua anachunguzwa kwa kuwalawiti wavulana.

Papa Benedict ameomba asamehewe kwa kusema uongo na kuficha ukweli kwa wachunguzi.

Soma mwenyewe hapa

Hapa hapana dini vurug tupu mapadri Maskofu na mapapa wanaongoza biashara za madawa ulawiti na umalaya
 
Kukiri kwake kumronyesha uongo wa miaka mingi wa kanisa katoliki kuwa pope is infallable kuwa akiwa papa kwenye kazi zake za kipapa hawezi kukosea

Huyu alikuwa papa kwenye kiti cha upapa na akatetea uovu akiwa kitini

Kukiri kwake kumebomolea mbali ile theory ya uwongo

Nampongeza Papa Benedict kwa kuanika hadharani uongo wa kanisa katoliki
Ungekuwa Mkatoliki usingeandika hivi! Papa ni binadamu tu kama ulivyo wewe. Hata anapoitwa Baba Mtakatifu, haimaanishi hana dhambi! Anaitwa jina hilo kwa heshima tu ya cheo chake.

Sasa kama kuna mtu aliwahi kukulisha theory za uongo kichwani mwako, nadhani ni wakati sasa wa kwenda kumdai fidia.
 
Hii hapa CNN

Bado hutaki kuamini kwamba papa alikua anashirikiana na padri anaelawiti watoto? Kwa maana kwamba huyo papa nae amelawiti watoto.

Inawezekana vijana wengi hasa mapadri na maaskofu waliopitia kwenye mikono yake aliwatafuna.

Papa anakiri kwamba alimficha mshikaji wake aliekua analawiti watoto ili asikamatwe na polisi ili waendelee kulawiti watoto.

Hii ilikua collusion, papa aligundua iwapo huyo padri atakamatwa angeweza kusema mengi hivyo ikabidi wakubaliane kuficha ukweli ili kulindana.

Hili ni kanisa ana chama cha mashoga?
Al Jazeera, CNN, Washington Post, Newyork Times, BBC na other Western medias hawajawahi kuwa reliable sources kwenye habari zihusuzo Kanisa.

Reliable sources ni Catholic Herald, Catholic Online, EWTN, na nyinginezo kama hizi. Seek right information from the right sources.

Note: Ushoga ni dhambi. Kanisa Katoliki linapinga ushoga na kamwe haliwezi kuruhusu ushoga wala kuchangamana na dhambi nyingine iwayo yote.
 
Chanzo cha habari Al Jazeera!!!
Kituo cha luninga ambacho hata kwenye baadhi ya nchi za Waarab wenzao mfano Misri, Saudi Arabi, nk. Kimepigwa marufuku!

Kituo kinacho unga mkono wazi wazi vikundi vya kigaidi na ugaidi kwa ujumla kupitia kibuli cha dini.
 
Back
Top Bottom