jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Kuna vitu vingine vina kera sana..sijawahi kuwa kukubaliana na ushenzi wa LGBTQ ila siwezi hangaika na mtu aliyekubali kufanya hayo afanye wenyewe juu ya mwili wake wenyewe na mola wake..that's none of my business.Akikujibu nitag, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umempa za uso kabisaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na unajua kuwapa za usooo.Kuna vitu vingine vina kera sana..sijawahi kuwa kukubaliana na ushenzi wa LGBTQ ila siwezi hangaika na mtu aliyekubali kufanya hayo afanye wenyewe juu ya mwili wake wenyewe na mola wake..that's none of my business.
Ila kuna pimbi humu wanakaza fuvu..ila kitaa kila siku wanagonga hi five na mapunga na hawana cha kuyafanya..ila wakija huku wanajitia u keyboard worrier.[emoji706]
#MaendeleoHayanaChama
We kenge nakutaman sanaaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na unajua kuwapa za usooo.
Anza na Hawa 1. Hadrian 2. Elagabalus ( mwehu kabisa aliyewachagua viongozi wa kiume kutokana na size ya 🍆)
Lesbian, gay, bisexual, transgender, questioning and queer (LGBTQ)Hiki kirefu cha LGBTQ ndo nini..?
Ishu za lesbians na gay ni movement itakayoingia na kutawala ulimwengu kwa kuwa roho hiyo chafu tayari imemwagwa kama hujakaa sawa unabebwa either kwa kuwa miongoni mwa wateja au watoa huduma au unapiga kampeni za kuunga mkono.Hao jamaa wana hela kama njugu ila mwisho wake ni balaa. Kuna vijana wa kiume sasa hivi wanajiingiza vitu katika Miku.. yao eti wanadai wanatafuta network na wengine wanafanya mapenzi na wanawake ni mpaka waingizwe vidole ndo raha yao.Chunga sana hali ni mbaya sana.Simama mwenyewe ukijiombea wewe na familia yako na jamii ya vijanaPapa Francis Jana tarehe 11.11.2022 alikutana na kufanya mazungumzo na Fr. James Martin, ambaye ni kiongozi kutoka jumuiya ya Jesuits.Mazungumzo hayo ya dakika arobaini na tano yaliangazia jamii ya mashoga (LBGTQ).
ikumbukwe kuwa mwezi May mwaka huu, papa Francis alinukuliwa akisema "God doesn't disown his child because they are LBGTQ"
Inashangaza kuona agenda hizi zikijadiliwa tena Vatican! Unaweza kuisoma habari hii kwa urefu katika tovuti ya Catholic news agency CNA.
Ama kweli, ukistaajabu ya Musa,je kanisa linaelekea kusapoti agenda hizi ovu?
======
Pope Francis received Father James Martin, SJ, in a private audience in the apostolic palace inside the Vatican on Friday.
In a tweet published after the encounter, Father Martin wrote he was “was deeply grateful to meet with Pope Francis in the Apostolic Palace this morning for 45 minutes.”
The conversation covered “the joys and hopes, the griefs and anxieties, of LGBTQ Catholics,” Martin added, writing: “It was a warm, inspiring and encouraging meeting that I’ll never forget.“
The Vatican does not customarily comment on papal meetings with individual priests or bishops.
Martin is the author of “Building a Bridge: How the Catholic Church and the LGBT Community Can Enter into a Relationship of Respect, Compassion, and Sensitivity” and frequently speaks on issues pertaining to homosexuality and Catholicism.
Pope Francis met with Father Martin in 2019 and expressed support for the American Jesuit’s ministry in a letter a year later, encouraging him to “continue this way.“
CNA
Wazazi wangu hawakosei kuwa na msimamo walio nao,
Kuhusu mie kupenda au kutopenda kuwaona wao wakishiriki hivyo inabaki kuwa ni hisia, ila wao wakiamua kufanya ni sawa. Mie sitabadilisha chochote ili hali wao wameamua kufanya hivyo.
Yaaah si ndio Wana influence Feminism na Haki sawa kwa wote ila Sasa mmeanza kujua haki sawa waliyokuwa wanaisema ni ipi
Unafikiri nini kifanyikeIshu za lesbians na gay ni movement itakayoingia na kutawala ulimwengu kwa kuwa roho hiyo chafu tayari imemwagwa kama hujakaa sawa unabebwa either kwa kuwa miongoni mwa wateja au watoa huduma au unapiga kampeni za kuunga mkono.Hao jamaa wana hela kama njugu ila mwisho wake ni balaa. Kuna vijana wa kiume sasa hivi wanajiingiza vitu katika Miku.. yao eti wanadai wanatafuta network na wengine wanafanya mapenzi na wanawake ni mpaka waingizwe vidole ndo raha yao.Chunga sana hali ni mbaya sana.Simama mwenyewe ukijiombea wewe na familia yako na jamii ya vijana
Bora turudi kwenye vilinge vya wazee wetu au sio..mana hizi dini za majahazi zimejaa matamanio matupu.Tukiwaambia hizi dini zenu ni za kufuata matamanio mnakataa
Ona sasa mnavoaibika
rudia kusoma comment yako hlf jiite kichaa , hv wagumba na tasa mbona wapo na nimezaliwa , una mjua kim kardashian , je baba ake ana sexual hobby gan ? kuwaheshimu mashoga haimaanish ipo siku dunia nzima watakuwa mashoga HAPANA , Mbona din ya mnyaz mung ipo na sio kila mtu anaifuata , tujifunz kireason kabla ya kukosoa , fantassy ya mtu km haikugus inakuuma nn ? I AM NOT GAY BUT I HAVE NO REASON TO FIGHT THEMHivi wazazi wako wangekuwa hivyo ungezaliwa?
Hata Mimi 👽👽👽👽Wakipitishi hii kitu mm naama ukatoriki yani nitakuwa mkristu ambae sina zehebu....
kafanya kwa hiar yake , ww inakuuma nin ? Ishirikishe akil yako mara mbiliWee msenge nn, yaani unaafiki mwanaume kuinamishwa apumliwe, wee punga kabisa yaani, so privacy gani unayoiongelea hapa, kwamba na akili zetu hizi na sie tukubali upumbavu huo au unafikiri kila cha mzungu ni chema kwetu waafrica?
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
kwa passion hii uliyonayo inaonekana dhahiri unawaunga mkono! Shamerudia kusoma comment yako hlf jiite kichaa , hv wagumba na tasa mbona wapo na nimezaliwa , una mjua kim kardashian , je baba ake ana sexual hobby gan ? kuwaheshimu mashoga haimaanish ipo siku dunia nzima watakuwa mashoga HAPANA , Mbona din ya mnyaz mung ipo na sio kila mtu anaifuata , tujifunz kireason kabla ya kukosoa , fantassy ya mtu km haikugus inakuuma nn ? I AM NOT GAY BUT I HAVE NO REASON TO FIGHT THEM
Uzuri ni kwamba hakuna mtu anayeshikiwa bunduki kuwa LGBTQ ni utashi wa mtu binafsi.Naona kuna hoja za watu ambao wamejiweka kundi ambalo halipingi hili swala na wala hawalitangaz wakidai kuw ni privacy za watu na zaid wakiend mbali kusema wanaopinga hawana sababu za msingi kupnga ushoga lakin yangu haya
[emoji736]kama ushoga hauna faida wala hasara kwann wautangaze na unamanufaa gani NA KWA nani
[emoji736]Kwann biology iliweka jinsia mbili ke na me
[emoji736]Je mwanao hasa wa kiume akiwa shoga kwako utaona sawa
[emoji736]kwann walazimuishe kama ni nature wangeacha i take place automatically.
[emoji3522] Mimi naona haya mambo yana agenda za siri kidunia sambamba na wanamikaka yao ya utawala mpya na biashara mpya ambazo zitatoka na hali hizo za kishoga
Kwangu mimi napng ushoga kwa [emoji817][emoji817] ukiona wew sawa jiulize sana kuhusu familia yako na kizazi chako jambo kubwa bado Africa atujawa na uwezo wa kuchagua jambo sahihi tunashinikizwa na kugeukia jambo ovu ambalo litatugharimu zaid kutokan na Elimu zetu na hali za maisha.
hayo ni matatizo yenu ya ki psychology , unaamin usichokiona , amin mazur na mabaya yanatokana na ww mwenyew hizo story nyingine ni fununu tu , KILA TAIFA AU UFALME UTAFIKA KIKOMO , WW UNAIZUNGUMZIA ROMA EMPIRE ILA UMEISAHAU PRUSSIA MAMA WA UJERUMAN , AUSTRIA , ITALY , ROMANIA NK ILA LEO HUIJUI KILA KITU KINA KIKOMOHadi unaondoka dunian utakuwa Bado unatawaliwa Kama ilivyo Sasa kikubwa ishi milele yako hiyo nyingine ibakie History
“If you want to express your views on the LGBT cause, do so in a society where it will be accepted.Mkuu hii kitu ipo dunia nzima inashika kasi
Ndo maana unaona World Cup nchi kama 9 za ulaya zimejipanga 'kuvua nguo' pale Qatar
Hata ligi zao hizi wanachochea hayo mambo sana. Na hayo mambo sasa hivi wanaume wanayapenda sana maana pepo mchafu kaachiliwa kumtafuna kila atakayekubali.
BEWARE WHEN YOU SEE THIS:
View attachment 2414294View attachment 2414298View attachment 2414299
Wenyewe wanakuambia ONELOVE
gharika is soon coming!!!