Tetesi: Papa Francis akutana na Kiongozi wa Jesuits kujadili masuala ya LBGTQ

Huu nao ni mtindio wa ubongo kila kitu USA ,kwamba USA ndio anaamua maamuzi ya kanisa katoliki ? ,
 
Babeeee hawa straight uchwara ni wa kuwapuuza tyuuh.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sipendi hiyo habari.

But iwe na isiwe Papa atapitisha.
 
Mna kipi cha maana nyie wapuuz mpaka mkae kila muda kuhisi kila agenda ni kwa ajili yenu ,nyie wajengewa vyoo vya misaada , mxieew .
Recognition ya LGBTQ ni world wide agenda na si kwamba watu wa Afrika ndio wamelengwa .Muwe mnatumia akili ,hizo dini mmeletewa na hao hao wanaosambaza hizo agenda za new age mbona huwa hamtoi mapovu mkienda kwenye misikiti na makanisa yenu huko kuabudu hiyo miungu ambayo hata hamjawahi kuiona
Mlishamuona huyo mwamedi ,yesu au mungu wenu huyo mliyekaririshwa ?
Kuwa open minded , sio kitu unakuwa too brainwashed mpaka ukitoa hoja unaonekana taahira .
Idiots
 
Mkuu yani ukifuatilia Sana hizi dini utajikuta huendi kabisaa, wanaoujua ukweli ni walio na vyeo vikubwa wengine huku chini wanafuata maelekezo, Vatican ikisema dunia inafuata !
Ukiona watu wanavyotokwaga na mapovu kukaa na kutetea maupumbavu ya dini zao za kiislamu na ukristo ,ni nawaonaga misukule ++ , we kama una imani yako hiyo kaa nayo usimjudge mtu mwingine kisa umekariri hayo makaratasi na upuuzi wako wa kuabudu rosali ,masanamu ,misahafu na matakataka mengine huko . Put that shit to yourself .
Mtu kama ni shoga kama sijui ni nani ,that's none of my business ,after all ni faragha na uhuru wa maamuzi ya mtu , it's his /her asshole ,what does it has to do with me ? .
 
Ukiona watu wanavyotokwaga na mapovu kukaa na kutetea maupumbavu ya dini zao za kiislamu na ukristo ,ni nawaonaga misukule ++ , we kama una imani yako hiyo kaa nayo usimjudge mtu mwingine kisa umekariri hayo makaratasi na upuuzi wako wa kuabudu rosali ,masanamu ,misahafu na matakataka mengine huko . Put that shit to yourself . Kuna wengine wanakuona kama mwehu tu na dini zako hizo .
Mtu kama ni shoga kama sijui ni nani ,that's jobs of my business ,after all ni faragha na uhuru wa maamuzi ya mtu , it's his /her asshole ,what does it has to do with me ? .
Siwezi kukaa na kujadili trivial matters eti fulani ni shoga ,wtf Huna kazi ya kufanya au una mtindio wa ubongo .
 
Anglican tayar wameshapisha Sera la LBGTQ , Roman Catholic church walikuwa wanasubiriwa kupitisha, NI swala la muda,

Haya wafia na dini za kikoloni , KAZ kwen
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnawapiga kwenye mshonooooo.
 
Ningekutukana tusi wewe lakini wala hustahili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…