Papa Francis amtimua Askofu anayempinga kuhusu kuruhusu ndoa za jinsia moja, kutoa mimba na waliobadili jinsia

Kwanini ushoga usiruhusiwe tu? Maana watu wanaupenda sana
 
Msimamo wa Papa Francis nauelewa vizuri sana, hayupo mwenye dhambi anayetakiwa kutengwa, hata Yesu Kristu hakuja duniani kwa ajili ya wenye haki, alikuja kwa wenye dhambi ili wapate kuokoka...
"We cannot be judges who only deny, reject and exclude," he said.

He added, however, that the Church still considered same-sex relationships "objectively sinful" and would not recognise same-sex marriage.
 
Subirini Papa atakapoanza kumtukana YEHOVA-YESU waziwazi ndipo akili zitawakaa sawa.

Matusi na maneno ya makufuru si mnajua?

Hakuna hoja yoyote inayohalalisha wewe kuwa karibu na mwenye DHAMBI ambaye Hana mpango wa kuacha DHAMBI, hakuna hoja hiyo katika BIBLIA TAKATIFU.

1 Kor 6:9-11​

Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi. Na baadhi yenu mlikuwa watu wa namna hii; lakini mlioshwa, lakini mlitakaswa, lakini mlihesabiwa

Na tena...

2 Kor 6:14-18​

Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza? Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini? Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu. Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha. Nitakuwa Baba kwenu, Nanyi mtakuwa kwangu wanangu wa kiume na wa kike, asema Bwana Mwenyezi
 
Tunajadili hoja za kisomi siyo za kidini kwa hiyo peleka dini yako mbali na huu mjadala

"We cannot be judges who only deny, reject and exclude," he said.
He added, however, that the Church still considered same-sex relationships "objectively sinful" and would not recognise same-sex marriage.
 
Abaki na misimamo yake.....neno lake lisiwe neno la kanisa
"We cannot be judges who only deny, reject and exclude," he said.


He (Pope Francis ) added, however, that the Church still considered same-sex relationships "objectively sinful" and would not recognise same-sex marriage.
 
Mimi ndio maana huwa nasema tatizo sio dini kuwa mbaya bali watu ndio wabaya. Hata kwa wenzetu waislam sidhan kama dini yao mbaya bali kuna maislam mapumbafu..ndio sawa na huyu papa mapumbu mpinga kristo.

Heko kwake padri Strickland hakubaliani na mausenge ya Papa mkubwa wake. Ukatoliki utabaki ila huyo papa ataenda zake na wenzake wanaokubaliana upotofu
 
"We cannot be judges who only deny, reject and exclude," he said.


He (Pope Francis ) added, however, that the Church still considered same-sex relationships "objectively sinful" and would not recognise same-sex marriage.
Sijui kizungu kaka
 
"We cannot be judges who only deny, reject and exclude," he said.
He added, however, that the Church still considered same-sex relationships "objectively sinful" and would not recognise same-sex marriage.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…