Papa Francis apenda picha ya mdada aliyevaa bikini instagram

Sio hvyo tu akaunti zao huwa znakua controlled na watu wengne so uskute admn wake kafanya vtu
 
HILO JIBU LA HUYO BIDADA TU, NDIO LIMENIFURAHISHA...WATASEMA AMEHAKIWA AU AMETELEZA KIDOLE WAKATI ANASCROW DOWN...
 
πŸ˜…πŸ˜…ila dah huu uzi nimecheka sana, kuna wakati unabofya kwa bahati mbaya kwa kushika vibaya hizi simu janja.
 
Papa nae ni binadamu na ana matamanio.
 
πŸ˜…πŸ˜… Religion is opium kwa kweli, yaani utajikuta unaitetea badala yenyewe ikutetee
 
WAKATOLIKI WANA KILA HOJA KUWA KUNA MAMBO YASIYO NA AKILI, LAKINI WANASHUPAZAGA SHINGO VIPOFU HAWAONI...

MFANO WAO HATA IBADA ZAO HAZIPO BIBLE KAMA KITABU MAMA, LAKINI WAMEZIBA MASKIO...
 
Every present situation has its past.

Na ndio maana Papa mwenyewe alitamka hio kitu coz ilikua ni katika harakati zake kama kijana so hakuna cha kushangaza hapo. Hata wewe kuna mambo ulifanya zamani ambayo watu wakisikia kwa sasa baadhi watashangaa
 
Alishangaa ni kitu gani hicho maana hajawahi kuona mwanamke akiwa mtupu tangu kuzaliwa.
 
Every present situation has its past.

Na ndio maana Papa mwenyewe alitamka hio kitu coz ilikua ni katika harakati zake kama kijana so hakuna cha kushangaza hapo. Hata wewe kuna mambo ulifanya zamani ambayo watu wakisikia kwa sasa baadhi watashangaa
That is neither here nor there.

It is taking stating the obvious to another level.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…