Papa Francis atetea watu wanaojihisisha na Mapenzi ya jinsia moja

Upotoshaji kama kawaida yenu.


Hizo ngoma za wanaume ndio nazisikia kwako!

Hebu weka kifungu kinachoonesha wanaume wa sodoma wakicheza ngoma za kishoga!
Aisee kumbe kulikuwa na ngoma special ya mashoga. Dah!
 
Nacheka sana, ukiamua kuingia vitani hutakiwi kunichagulia silaha. Nakuchapa kwa ushahidi usio kuwa na shaka ndani yake.

Tangu tumeanza mjadala huu, huna marejeo zaidi ya maoni yako binafsi na tena mufilisi na maswali hujibi.

Nimekutajia hicho kitabu sababu ni kitabu cha Historia ambacho kimeelezea mambo kwa urefu na ukikisoma maswali yako ya kijinga yote yanajibiwa humo, a hiyo ndiyo maana ya marejeo. Nenda kasome ufaidike zaidi.

Maana hata hiyo Biblia imezungumzia habari za watu hao.
 
Clarifications
 
Naona hoja huna. Kuingiliana wanaume kwa wanaume kwa hiari yao kotendo hiki kinaitwa ni kitendo gani ?

Wale kilicho waponza ni tamaa zao ndiyo maana maandiko yasema wale walichupa mipaka, wanawaacha wanawake wanawafata wanaume wenzao na wale walikuwa wanatafunana wenyewe kwa wenyewe, na ule mchongo walipewa na mke wa nabii Luti, kwamba kuna wageni hao wapya, wakajua ni wa michezo ile ile kama yao, kumbe wale wageni (Malaika) walitumwa kwa kazi moja tu.
 
Wewe ni mpotoshaji tu.

Hakuna ushahidi wowote wa kimaandishi kuonesha kwamba wanasodoma walikuwa mashoga kabla ya malaika kwenda na baada ya malaika kushusha moto.

Tunaambiwa malaika walitumwa na mungu kwenda sodoma kwa sababu ya maovu ya wanasodoma. Hawakusema kwa sababu ya ushoga.

Hakuna mahali waliposema kwamba malaika walitumwa na mungu kwenda sodoma kwa ajili ya ushoga.

Swala linalodaiwa kuwa ni "ushoga" lilikuja baada ya wanasodoma kutaka kuwafira malaika kwa nguvu ili kuwakomoa baada ya malaika hao kufika sodoma bila kutoa taarifa kwa wenyeji.

Na huo sio ushoga. Ni ubakaji au tunaweza kuuita 'uhuni' tu.

Kama ambavyo unavyomfira mgoni wako kwa hasira, hatuwezi kukuita wewe ni shoga. Tutakuita mbakaji au muhuni.

Ushoga sio tukio, ni vitendo endelevu vya tabia.
 
Nacheka sana, onyesha wapi walikuwa wanawabaka wanaume wenzao hao Watu wa Sodoma.

Pili, kwanini hujibu maswali ninayo kuuliza ?

Ubakaji unajulikana kijana mzee, ule mchezo wao walikuwa wanaufanya kwa hiari yao na walikuwa wanafurahi ndiyo maana wakawa wanawaacha wake zao na kuingiliana wenyewe kwa wenyewe.
 
Kama ambavyo unavyomfira mgoni wako kwa hasira, hatuwezo kukuita wewe ni shoga. Tutakuita mbakaji.
Naona unaruka ruka, ubakaji unajulikana.

Niambie nini maana ya Ushoga,kisha niwekee andiko hapa linalo onyesha wale walikuwa wanabakana.
 
Naona umeamua kupoteza muda.
 
Naona umeamua kupoteza muda.
Hakuna yeyote dunia hii anae weza kupinga jambo la ushoga kielimu na kuonyesha uhalali wake isipokuwa mgonjwa wa akili.

Pili, nimekupa uwanja wa kujadilo kielimu unaruka ruka tu.

Hitimisho juu ya jambo hili ni kuwa Ushoga ni ushetani na madhara yake ni makubwa sana.

Mashoga hatupaswi kuishi nao majumbani sababu hakuna anae zaliwa akiwa shoga au awe shoga, bali watu hupenda kuwa hivyo.

Namuomba Allah atulindie vizazi vyetu na asitupe mtihani wa kuwa uzao wa mashoga, sababu ni mtihani mkubwa sana.

Waswahili husema hivi :

1. "Ng'ombe wa masikini hazai, na akizaa dume, basi Dume lenyewe ni SHOGA".
kauli hii ina maana kubwa sana, ya kuwa ni hasara juu ya hasara.

2. "Mtoto siyo rizki"
Kadhalika husema kisicho riziki hakiliki, mtoto siyo rizki maana yake ni hasara.
Hakuna mzazi asiyependa kuona amezaa dume halafu dume lenyewe likawa dume hasa na si galasa. Huwa ni faraha sana.

Kama ukitaka twende kielimu na hoja, nakuhakikishia huna hoja ya kusimamisha juu ya kuhalalisha USHOGA zaidi ya viroja na tamaa za kijinga.
 
Ufunuo wa Yohana 14 & Daniel 7 zinajieleza vizuri sana kuhusu 666/Papa/RC jinsi anavyowakilisha kazi za shetani/joka na atavyopoteza watu wengi wa Mungu.

Dhehebu la Wasabato liko sahihi kimaandiko kwa 100% lakini kwenda au kutokwenda mbinguni ni imani na matendo ya Mtu binafsi wala haihusiani na dhehebu.

Madhehebu mengine ni mawakala wasaidizi wa huyo mnyama, ndiyomaana Biblia inapinga vikali si kila aniitaye Bwana Bwana atauona ufalme wa Mungu.

2KORINTHO 11:14-15.



Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Isn't that elaboration enough?
I don't know if i have understood your question, but what i meant is! There should be an official statement from Vatican, that would either criticize or support the statement from Pope
 
Ndiyomaana huwa unafagilia sana habari za chura?

Acha uvivu wa kusoma Biblia, Mungu amesema yaacheni magugu na mazao yakue pa1 sababu anaamini ipo siku watabadilika, kuungama na kutubu dhambi zao na kuzaliwa upya kuwa viumbe vipya vya kumtukuza Bwana.

MATHAYO 13:24-30.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Hizi ni porojo binafsi tu.

Umeona hadithi za sodoma zimejaa uzushi ukaamua kuja na hisia binafsi.
 
Hizi ni porojo binafsi tu.

Umeona hadithi za sodoma zimejaa uzushi ukaamua kuja na hisia binafsi.
Nacheka sana, nimekuuliza maswali yako wazi sana, na ithibati nimekupa.

Nakupa miaka mia, mpaka unakufa hutakuwa na hoja wala wakubwa zako za kuhalalisha mapenzi ya jinsia moja.

Haya mambo yanataka elimu kijana.
 
Du mi ni mkatoliki. Ntatafuta kama kweli Papa kasema hayo. Nikiridhika na kuona mabara yote yanatii jambo hilo. Bora niwe na dini yangu pekee!
 

Sasa kama Mungu amesema yaacheni magugu na mazao yakue pamoja mbona mko busy kulaani magugu(Ushoga)?Mbona mko busy kukejeli magugu?Mbona mko busy kugandamiza magugu?Mbona mko busy kusema kuwa vyama fulani(Chadema) wanakumbatia magugu badala ya kuyaua?Mbona mko busy kukemea magugu?Mbona mko busy kuhakikisha kuwa magugu hayastawi?Mbona mko busy kunyanyasa magugu?Mbona mko busy kunyanyapaa magugu?Mbona mnatamani magugu yote yauawe?Mnaenda kinyume na neno la Mungu?Ninyi ni nani hadi mnapinga neno takatifu la Mungu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…