Papa Francis atetea watu wanaojihisisha na Mapenzi ya jinsia moja

Papa Francis atetea watu wanaojihisisha na Mapenzi ya jinsia moja

[emoji3][emoji3][emoji3] ni kwasababu wengi ni wazinzi, tena hakuna watu wanaopendana na kupeana support kama wazinzi.
Halafu hao hao wanaojifanya kukemea ushoga wengi wao wanaona ni sawa kuwafukua mtaro wanawake.
Pambav zao...
Hahahahahaaaaa

By the way hiyo sodoma hivi iko wapi?

Huwa nasikiaga tu sodoma sijui gomora!

Ni nchi halisi au ya kusadikika tu?
 
Hahahahahaaaaa

By the way hiyo sodoma hivi iko wapi?

Huwa nasikiaga tu sodoma sijui gomora!

Ni nchi halisi au ya kusadikika tu?
Teh tuwaulize wanaojua historia, inawezekana ilibadilishwa jina. Halafu mi nahisi kipindi Mungu anateketeza sodoma na gomora kuna mwamba mmoja alisurvive...maana dah....hali ni ile ile.
 
Teh tuwaulize wanaojua historia, inawezekana ilibadilishwa jina. Halafu mi nahisi kipindi Mungu anateketeza sodoma na gomora kuna mwamba mmoja alisurvive...maana dah....hali ni ile ile.
Hahahahaaaaaaaaa

Halafu hiyo hadithi ya sodoma huwa inapotoshwa kwa kiasi kikubwa sana.

Lutu aliwakaribisha wageni nyumbani kwake bila kutoa taarifa rasmi kwa wenyeji wa eneo lile.

Kilichofwata, wale miamba wakaona Lutu anahatarisha usalama wa kijiji. Wakamfuata kwa hasira wakataka kuwalawiti wale wageni kwa nguvu.

Huo ulikuwa ni ubakaji wala haukuwa ushoga.

Walitaka kuwafira wageni kwa nguvu ili kuwakomoa pamoja na kumkomoa Lutu.

Ni kama vile wagoni wanavyofirwa ili kuwakomesha.

Kilichotokea sodoma sio ushoga, ila ni kitendo cha ubakaji.

Attempted rape, i would say.

Sasa hawa wafia dini huwa wanatueleza nini?
 
Nikwambie tu ndugu yangu kuwa Papa haungi mkono ushoga,isipokuwa msimamo wake unalenga kutowatenga,kwasababu kadiri ya Maandiko Matakatifu tunaelekezwa kuwa hata Yesu alichangamana na Wadhambi kiasi cha kunung'unikiwa na wale waliojihesabia haki,rejea Lk 15:1-2.Hivyo Papa Francis anaitaka jamii kutowatenga hao mashoga maana kwa kufanya hivyo inakuwa tumeshawahukumu wakati wa kuhukumu ni Mungu mwenyewe;Isitoshe sisi sote tu Wadhambi tunatofaitiana aina ya dhambi.

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
Ukisoma andiko hilo limetumika tamko "Wahalifu" kwani tangu lini Wafanya ushoga na usagaji wakawa ni wahalifu ?

Siyo kile mwenye madhambi ni muhalifu.

Lakini swali la msingi ni je Biblia inasemaje juu ya watu wafanyao liwati ?

Huwezi kufananisha dhambi la wizi na usagaji au liwati ? Labda kama Dini yenu inafundisha ya kuwa madhambi yote ni sawa, na huku ni kupingana na akili iliyo salama na uhalisia.
 
Hahahahaaaaaaaaa

Halafu hiyo hadithi ya sodoma huwa inapotoshwa kwa kiasi kikubwa sana.

Lutu aliwakaribisha wageni nyumbani kwake bila kutoa taarifa rasmi kwa wenyeji wa eneo lile.

Kilichofwata, wale miamba wakaona Lutu anahatarisha usalama wa kijiji. Wakamfuata kwa hasira wakataka kuwalawiti wale wageni kwa nguvu.

Huo ulikuwa ni ubakaji wala haukuwa ushoga.

Walitaka kuwafira wageni kwa nguvu ili kuwakomoa pamoja na kumkomoa Lutu.

Ni kama vile wagoni wanavyofirwa ili kuwakomesha.

Kilichotokea sodoma sio ushoga, ila ni kitendo cha ubakaji.

Attempted rape, i would say.

Sasa hawa wafia dini huwa wanatueleza nini?
Sikuwa nafahamu hilo...itabidi na mimi nifatilie hiyo story vizuri.
 
Hahahahahaaaaa

By the way hiyo sodoma hivi iko wapi?

Huwa nasikiaga tu sodoma sijui gomora!

Ni nchi halisi au ya kusadikika tu?
Sodoma na Gomora hii ni miji ambayo alitumwa kwayo nabii Luti,nabii alikuwa ni mpwa wa nabii Ibrahiim na alisoma toka kwa nabii Ibrahiim, kadhalika nabii Luti kwa Ibrahim alikuwa kama mtoto.

Sodoma na Gomorra (Saddoom na `Amoorah) hii ilikuwa ni miji mikuu katika eneo hilo, eneo ambalo lipo Kusini-Mashariki mwa "Dead Sea",ambapo kwa makadirio ni umbali wa kilomita 100 kutoka mji wa Jerusalemu.
 
Sikuwa nafahamu hilo...itabidi na mimi nifatilie hiyo story vizuri.
Fuatilia vizuri utaniambia. Angalia youtube pia kuona uchambuzi wa hicho kipande.

Hawa wafia dini ni wapotoshaji mno na ni chanzo kikubwa cha chuki miongoni mwa watu.

Kila mtu anayepinga ushoga lazima ataje sodoma. Wamelishwa uongo mwingi na chuki nyingi za bure.

Sodoma this sodoma that.

The sodomese were not gays. They were rapists, or perhaps they simply wanted to teach the guests a lesson.
 
Kwani wapagani na wasiomuamini Mungu wanapohubiriwa ili wamwamini Mungu hawaruhusiwi kuuliza maswali yanayomuhusu Mungu?
Huenda wakauliza kwa namna tatu..
1. Kuuliza kwa kutaka kujua ukweli
2. Kuuliza ili tu oenyeshe ujinga wake
3. Kuuliza kwa kejeli.

Sasa majibu nayo huja kwa namna hyohyo tatu...kulingana na muulizaji alivyouliza..

Je,wewe apo unaingia namba ipi apo juu ktk kuuliza?
 
Hahahahaaaaaaaaa

Halafu hiyo hadithi ya sodoma huwa inapotoshwa kwa kiasi kikubwa sana.

Lutu aliwakaribisha wageni nyumbani kwake bila kutoa taarifa rasmi kwa wenyeji wa eneo lile.

Kilichofwata, wale miamba wakaona Lutu anahatarisha usalama wa kijiji. Wakamfuata kwa hasira wakataka kuwalawiti wale wageni kwa nguvu.

Huo ulikuwa ni ubakaji wala haukuwa ushoga.

Walitaka kuwafira wageni kwa nguvu ili kuwakomoa pamoja na kumkomoa Lutu.

Ni kama vile wagoni wanavyofirwa ili kuwakomesha.

Kilichotokea sodoma sio ushoga, ila ni kitendo cha ubakaji.

Attempted rape, i would say.

Sasa hawa wafia dini huwa wanatueleza nini?
Naona unajifariji kijana. Hii habari wewe umeipata katika kitabu gani ?

Sababu watu wa Luti, walijiingiza katika michezo hiyo tangu zamani, tena walifika mbali kwani wao walikuwa na ngoma za mduara na ngoma hizo ziliwahusisha wanaume peke yao. Katika ngoma hizo katika huo mduara wakawa wanacheza huku wanaingiliana wenyewe kwa wenyewe.

Habari ya nabii Luti ni tamu sana na ina mafundisho kwa watu wenye akili. Kisa kilikuwa hivi, wageni wale hata nabii Luti mwenyewe hakuwajua ya kuwa ni kina nani, wale mahayawani kwa kuwa walipata hizo habari kupitia mke wa nabii Luti (Yeue ndiyo aliwatonya). Wakaja kwa nabii Luti, nabii Luti akawasihi sana wale wajinga, mpaka ikafikia hatua kuwaambia nitawapa mabinti zangu badala ya hawa.

Sasa wewe unawaita hao mahayawani Miamba (Nimcheka kwa huzuni). Nabii Luti akapewa maelekezo na wale wagebi ya kuwa aondoke katika ule na wafuasi. Nakukumbusha tu ya kuwa wale wageni walikuwa Malaika, tena walikuwa Wawili tu. Kilichofata baada ya hapo ni Historia isiyofutika vizazi na vizazi.

Kisa cha Sodoma na Gomora kina mafundisho makubwa sana, ukisoma Historia hakuna watu walio pewa adhabu kali kama watu wa Sodoma na Gomora, halafu leo hii watu mnawachekea chekea tu.
 
Sodoma na Gomora hii ni miji ambayo alitumwa kwayo nabii Luti,nabii alikuwa ni mpwa wa nabii Ibrahiim na alisoma toka kwa nabii Ibrahiim, kadhalika nabii Luti kwa Ibrahim alikuwa kama mtoto.

Sodoma na Gomorra (Saddoom na `Amoorah) hii ilikuwa ni miji mikuu katika eneo hilo, eneo ambalo lipo Kusini-Mashariki mwa "Dead Sea",ambapo kwa makadirio ni umbali wa kilomita 100 kutoka mji wa Jerusalemu.
Hilo eneo kwa sasa linaitwaje?

Au halina jina?

Kwa mfano nikienda kuzuru sasa hivi hilo eneo, inawezekana? Nitaliona kwa macho yangu kwamba hapa ndio sodoma?

Nitakutana na masalia ya nguzo ya chumvi na masalia ya uharibifu uliotokana na moto wa mbinguni?

Kwa inavyohadithiwa, inaonekana sodoma ilipigwa nyuklia kama mvua!

Hayo mabaki ya huo uharibifu na maangamizi ya nyuklia nikienda nitayaona?
 
Fuatilia vizuri utaniambia. Angalia youtube pia kuona uchambuzi wa hicho kipande.

Hawa wafia dini ni wapotoshaji mno na ni chanzo kikubwa cha chuki miongoni mwa watu.

Kila mtu anayepinga ushoga lazima ataje sodoma. Wamelishwa uongo mwingi na chuki nyingi za bure.

Sodoma this sodoma that.

The sodomese were not gays. They were rapists, or perhaps they simply wanted to teach the guests a lesson.
Nani amekwambia hao walikuwa si mashoga ? Watu wale waliwaacha wanawake wakawa wanaingiliana wenyewe kwa Wenyewe.

Hata hizi habari za Wanaume kukata mauno kisenge kisenge, vyote asili yao ni huko ? Wanaume kujilegeza maumbile vyote asili yao ni kule, nyinyi mnajua ya kuwa watu wa Sodoma na Gomora walikuwa waba ingiliana tu wanaume kwa wanaume tu. La hasha, bali mpaka michezo ya Wanaume kunengua na kuimba na kulegeza sauti vyote asili yao ni kwa Watu wa Sodoma na Gomora.

Labda tuongee kielimu, wewe habari za Sodoma umezisoma wapi mpaka ukafikia hatua ya kusema wao walikuwa ni Wabakaji ? Usilete maoni ya wenzako ukayapa jina la Ukweli.
 
Huenda wakauliza kwa namna tatu..
1. Kuuliza kwa kutaka kujua ukweli
2. Kuuliza ili tu oenyeshe ujinga wake
3. Kuuliza kwa kejeli.

Sasa majibu nayo huja kwa namna hyohyo tatu...kulingana na muulizaji alivyouliza..

Je,wewe apo unaingia namba ipi apo juu ktk kuuliza?
Kwani wapagani na wasioamini wanapouliza maswali wakati wanahubiriwa neno la Mungu huwa wanapangwa katika hayo makundi matatu uliyoyaorodhesha na wahubiri wao?Sijawahi kumuona mhubiri yeyote akimuuliza muuliza swali kama ana nia ya kujua ukweli au ana nia ya kukejeli,etc.

Nakumbuka hata Yesu mwenyewe alikuwa anakejeliwa sana na wayahudi lakini alijibu maswali yao yote kwa ufasaha bila ya kuuliza nia ya muuliza swali hadi wayahudi waliouliza maswali kwa nia ya kukejeli wakawa wanaondoka wakiwa wameinamisha vichwa vyao chini kwa aibu!
 
Naona unajifariji kijana. Hii habari wewe umeipata katika kitabu gani ?

Sababu watu wa Luti, walijiingiza katika michezo hiyo tangu zamani, tena walifika mbali kwani wao walikuwa na ngoma za mduara na ngoma hizo ziliwahusisha wanaume peke yao. Katika ngoma hizo katika huo mduara wakawa wanacheza huku wanaingiliana wenyewe kwa wenyewe.

Habari ya nabii Luti ni tamu sana na ina mafundisho kwa watu wenye akili. Kisa kilikuwa hivi, wageni wale hata nabii Luti mwenyewe hakuwajua ya kuwa ni kina nani, wale mahayawani kwa kuwa walipata hizo habari kupitia mke wa nabii Luti (Yeue ndiyo aliwatonya). Wakaja kwa nabii Luti, nabii Luti akawasihi sana wale wajinga, mpaka ikafikia hatua kuwaambia nitawapa mabinti zangu badala ya hawa.

Sasa wewe unawaita hao mahayawani Miamba (Nimcheka kwa huzuni). Nabii Luti akapewa maelekezo na wale wagebi ya kuwa aondoke katika ule na wafuasi. Nakukumbusha tu ya kuwa wale wageni walikuwa Malaika, tena walikuwa Wawili tu. Kilichofata baada ya hapo ni Historia isiyofutika vizazi na vizazi.

Kisa cha Sodoma na Gomora kina mafundisho makubwa sana, ukisoma Historia hakuna watu walio pewa adhabu kali kama watu wa Sodoma na Gomora, halafu leo hii watu mnawachekea chekea tu.
Upotoshaji kama kawaida yenu.


Hizo ngoma za wanaume ndio nazisikia kwako!

Hebu weka kifungu kinachoonesha wanaume wa sodoma wakicheza ngoma za kishoga!
 
Nani amekwambia hao walikuwa si mashoga ? Watu wale waliwaacha wanawake wakawa wanaingiliana wenyewe kwa Wenyewe.

Hata hizi habari za Wanaume kukata mauno kisenge kisenge, vyote asili yao ni huko ? Wanaume kujilegeza maumbile vyote asili yao ni kule, nyinyi mnajua ya kuwa watu wa Sodoma na Gomora walikuwa waba ingiliana tu wanaume kwa wanaume tu. La hasha, bali mpaka michezo ya Wanaume kunengua na kuimba na kulegeza sauti vyote asili yao ni kwa Watu wa Sodoma na Gomora.

Labda tuongee kielimu, wewe habari za Sodoma umezisoma wapi mpaka ukafikia hatua ya kusema wao walikuwa ni Wabakaji ? Usilete maoni ya wenzako ukayapa jina la Ukweli.
Hahahahahaaa

Kwa kweli mna vipaji vya kupotosha.
 
Hilo eneo kwa sasa linaitwaje?

Au halina jina?

Kwa mfano nikkenda kuzuru sasa hivi hilo eneo, inawezekana?

Nitakutana na masalia ya nguzo ya chumvi na masalia ya uharibifu uliotokana na moto wa mbinguni?

Kwa inavyohadithiwa, inaonekana sodoma ilipigwa nyuklia kama mvua!

Hayo mabaki ya huo uharibifu na maangamizi nikienda nitayaona?
Sijui unaitwaje kwa sasa ila ukisoma Historia utaona ya kuwa miji hiyo ilipigwa "Kata funua",yaani juu chini na chini pakawa juu. Ushoga ba usagaji ni katika madhambi makubwa mno, ila hili ataliona yule mtu mwenye kufikiria mambo kwa undani.

Wajuzi wa Historia watakuwa wanajua, ila mimi sijui. Fatilia kwa wajuzii watakupa faida ya kuwa mabaki yako wapi na eneo hilo linaitwaje. Ila sababu mji wa Jerusalemu upo, wewe nenda Kusini Mashariki mwa Dead Sea.
 
Upotoshaji kama kawaida yenu.


Hizo ngoma za wanaume ndio nazisikia kwako!

Hebu weka kifungu kinachoonesha wanaume wa sodoma wakicheza ngoma za kishoga!
Safi kabisa, naona umedhihirisha ya kuwa huna unalo lijua kuhusu watu wa Sodoma na Gomora. Lakini unajifaragua ya kuwa sisi tunapotosha. Nachoweza kukusaidia ni kuwa rejea historia na kwa haraka haraka, tafuta kitabu kiitwacho "Qasa al A'biyaai" cha al Haafidh Ibn Kathir.
 
Sijui unaitwaje kwa sasa ila ukisoma Historia utaona ya kuwa miji hiyo ilipigwa "Kata funua",yaani juu chini na chini pakawa juu. Ushoga ba usagaji ni katika madhambi makubwa mno, ila hili ataliona yule mtu mwenye kufikiria mambo kwa undani.

Wajuzi wa Historia watakuwa wanajua, ila mimi sijui. Fatilia kwa wajuzii watakupa faida ya kuwa mabaki yako wapi na eneo hilo linaitwaje. Ila sababu mji wa Jerusalemu upo, wewe nenda Kusini Mashariki mwa Dead Sea.
Kwanza, sodoma haikuangamizwa kwa sababu ya ushoga.

Pili, wanasodoma hawakuwa mashoga. Hakuna ushahidi wowote wa maandishi kwamba walikuwa mashoga, isipokuwa walitaka kuwabaka malaika ili kuwakomesha kwa kuingia sodoma bila kutoa taarifa kwa wenyeji.

Tatu, ubakaji na ushoga ni vitu viwili tofauti. Naamini mtu anayemfira mgoni wake kwa malengo ya kumkomoa hawezi kuitwa shoga, wala hatuwezi kuita kitendo hicho kuwa ni ushoga. Huo ni ubakaji.

Hivyo, kwa muktadha huo, kuoanisha sodoma na ushoga ni kupotosha uhalisia wa tukio na kushindwa kuelezea tukio hilo kwa lugha sahihi.

Ama la, hadithi ya sodoma inatumiwa tu kama kichaka cha kuhalalisha chuki dhidi ya ushoga.

Sioni kingine tofauti na hayo.
 
tafuta kitabu kiitwacho "Qasa al A'biyaai" cha al Haafidh Ibn Kathir.
Huko ni kunipotezea muda.

Nasoma biblia kwa mujibu wa ilivyoandikwa.

Kama unaona biblia haijitoshelezi mpaka nikasome kitabu kingine basi hilo ni tatizo lako binafsi.

Wanasodoma hawakuwa mashoga, walikuwa wabakaji (situationally).

By saying "situationally", I MEAN, they were not really "habitual rapists", maana kitendo cha ubakaji kilitaka kufanyika katika hali ya hasira na kwa malengo ya kuwaadhibu wageni waliovamia kijiji na kwenda kujificha kwa Lutu.
 
Kwanza, sodoma haikuangamizwa kwa sababu ya ushoga.
Ngoja nikuombe ombi moja juu ya kadhia hii. Nakuomba usiweke maoni yako bali weka andiko na marejeo.

Pili, nitakapo kuuliza maswali ujibu na mimi nina kuahidi nitajibu kila swali utakalo niuliza,ikitokea sijajibu nikumbushe.

Ushoga maana yake nini ? Je ni kumuingilia mwanume mwenzako kwa idhini yake huku wakifurahi jambo hilo au kinyume chake ?

Ubakaji tunaujua na ungekuwa ni ubakaji basi habari zingetufikia kwamba hilo lilikuwa linafanyika kwa Wanawake, lakini hilo lilikuwa linafanyika kwa wanaune wao kwa wao.

Anasema katika Qur'aan juu ya kisa cha nabii Luti na watu wake.

165. Je! Katika viumbe vyote mnawaingilia wanaume?


26_166.gif

166. Na mnaacha alicho kuumbieni Mola wenu Mlezi katika wake zenu? Ama kweli nyinyi ni watu mnao ruka mipaka!


26_167.gif

167. Wakasema: Ewe Lut'i! Usipo acha, hapana shaka utakuwa miongoni mwa wanao tolewa mji!


26_168.gif

168. Akasema: Hakika mimi ni katika wanao kichukia hichi kitendo chenu.


26_169.gif

169. Mola wangu Mlezi! Niokoe mimi na ahali zangu na haya wayatendayo.


26_170.gif

170. Basi tukamwokoa yeye na ahali zake wote,


26_171.gif

171. Isipo kuwa kikongwe katika walio kaa nyuma.


26_172.gif

172. Kisha tukawaangamiza wale wengine.


26_173.gif

173. Na tukawanyeshea mvua, basi ni ovu mno mvua ya waliyo onywa.


26_174.gif

174. Hakika katika hayo ipo Ishara. Na hawakuwa wengi wao wenye kuamini.


26_175.gif

175. Na hakika Mola wako Mlezi bila ya shaka ndiye Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu. (Ashu'raa : 165 - 175 )

Sasa naomba unipe ushahidi wako unao onyesha ya kuwa watu hao waliangamizwa kwa sababu nyingine na si ushoga. Maana wale malaika walitumwa kwa ajili ya jambo hilo, na si wageni tu ilimradi ndiyo maana walimwambia nabii Luti, atoke katika ile miji na watu wake.
 
Back
Top Bottom