Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afuatilie aliyeleta uzi.Nifuatilie mimi kwani mimi ndo nimeweka uzi hapa????Acha uvivu fuatilia
Nadhani hapa ndipo wau wenye akili mchundo hawajamuelewa. Hajabariki ndoa hizo, lkn ikitokea mtu akawa kwenye kundi hilo "asipigwe mawe mpaka kufa", sheria imlinde maana naye ni binadamu!He added that he 'stood up for that' in an apparent reference to his time as archbishop of Buenos Aires when he opposed legislation to approve same sex marriages but supported some kind of legal protection for the rights of gay couples.
Wewe wasemaKwani uyo papa ni mungu maana una jaribu kumtetea kama vile hanyi au hakojoi
Amina"They say everyone's life is precious, but nobody cares about mine" ni mstari toka nyimbo ya LOGIC kuhusu suicide..
Kila mtu ana haki sawa hapa duniani, either awe gay or lesbian. Mambo ya kuhukumu tumuachie Mungu kwa wale believers.
Ndomana hunielewi....Sijakuelewa!Mimi siamini katika uwepo wa Mungu lakini mimi kutokuamini katika uwepo wa Mungu hainizuii mimi kukuuliza wewe unaeamini katika uwepo wa Mungu maswali yanayomuhusu Mungu.
Hapana..."They say everyone's life is precious, but nobody cares about mine" ni mstari toka nyimbo ya LOGIC kuhusu suicide..
Kila mtu ana haki sawa hapa duniani, either awe gay or lesbian. Mambo ya kuhukumu tumuachie Mungu kwa wale believers.
I can see this topic has gone viral in the social media arround the world! Celebration and thankful has emerged to some members of LGBT.
I think this is the time for Catholic Church to come and elaborate basing on the moral and Church's decision upon this issue.
Wengine tulisema na tukaonya, jamani ukristu ni wa wazungu, ni wao, wanaweza badili namna ya kuamini na kuomba, nyie waafrika hasa mkitaka poa mkikataa shauri yenu, watu wakabisha mpaka mapovu, sasa hawai hawai yamefika, je watajitenga wasiotaka ya papa francis au watarudi kuabudu mizimu yetu ya mababu?!
Wewe umesikia wapiii kwamba kucheka kunaongeza sku za kuishi?? Au Papa ndo kasema hvyo Mana.....?Wewe endelea kucheka kwasababu kucheka ni muhimu kiafya,inasaidia kuongeza siku za kuishi
Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
Mkuu.. mzee wangu ni Mkatoliki.
Ila vijana wake wote tumeamua kua wasabato....
Soma hii document vizuriView attachment catholicnewsagency.com-What did Pope Francis say about civil unions A CNA Explainer (1).pdfTunaposema Papa na Roman ni tawi la Shetani ....Muwe mnatuelewa!
Hakuna mtu atarudi kuabudu mizimu ya babu,hizo zama za giza zilishapitwa na wakati.
Hatimaye Papa Francis akubali kubariki ndoa za jinsia moja, kwa kudai mashoga nawo ni watoto wa Mungu na hakuna sababu ya kuwabagua.
Je, makanisa Katoliki Afrika, Asia, Mexico, Brazil na kwingineko watakubaliana na uamuzi huu? Tukumbuke kwenye biblia haisomeka ndoa za jinsia moja au za ushoga kukubalika, na kusomeka kwenye hichi kitabu kitakatifu kuwa sodom na gomorrah kuchomwa moto.
Je, ndiyo mwanzo wa kanisa katoliki kuvunjika au imani zao ndiyo zitazidi?
Karibuni.
===
Papa Francis ameviunga mkono vikundi vya harakati vinavyotetea ndoa za jinsia moja akiwa Mjini Roma wakati wa Maazimisho ya uzinduzi wa filamu iliyoitwa Fransisco.
Aidha, katika kuelezea jambo hili Papa Fransis amesema "Mashoga (Wapenzi wa jinsia Moja) wana haki ya kuwa katika familia. Wao ni watoto wa Mungu. Hakuna mtu anayepaswa kuwabagua au kufadhaishwa juu yao. "
Aliongeza kuwa wakati alipokuwa Askofu Mkuu wa Buenos Aires alipinga sheria ya kuidhinisha ndoa za jinsia moja lakini aliunga mkono aina fulani ya ulinzi wa kisheria kwa haki za wenzi wa jinsia moja.
Zaidi Soma:
Pope Francis has endorsed same-sex civil unions, saying in a documentary that homosexual people are 'children of God' and that they 'have the right to be in a family'.
His approval came midway through a feature-length film, titled Francesco, which had its premiere at the Rome Film Festival earlier today.
The film delves into issues Francis cares about most, including the environment, poverty, migration, racial and income inequality, and the people most affected by discrimination.
'Homosexual people have the right to be in a family. They are children of God. Nobody should be thrown out or be made miserable over it,' the 83-year-old said in one of his sit-down interviews for the film.
'What we have to have is a civil union law; that way they are legally covered.'
He added that he 'stood up for that' in an apparent reference to his time as archbishop of Buenos Aires when he opposed legislation to approve same sex marriages but supported some kind of legal protection for the rights of gay couples.
The Pope's remarks will come as a shock to millions of Roman Catholics who have long followed the doctrine that gay relationships are sinful and accepted the Church's stand against the worldwide advance of gay rights.
source: MailOnline
Kwani wapagani na wasiomuamini Mungu wanapohubiriwa ili wamwamini Mungu hawaruhusiwi kuuliza maswali yanayomuhusu Mungu?Ndomana hunielewi....
Huamini ktk Mungu but unaniuliza maswali yanayomuhusu Mungu...upo serious aisee??
Ni Mungu yupi huyoo?