Papa Francis atetea watu wanaojihisisha na Mapenzi ya jinsia moja

Papa Francis atetea watu wanaojihisisha na Mapenzi ya jinsia moja

He added that he 'stood up for that' in an apparent reference to his time as archbishop of Buenos Aires when he opposed legislation to approve same sex marriages but supported some kind of legal protection for the rights of gay couples.
Nadhani hapa ndipo wau wenye akili mchundo hawajamuelewa. Hajabariki ndoa hizo, lkn ikitokea mtu akawa kwenye kundi hilo "asipigwe mawe mpaka kufa", sheria imlinde maana naye ni binadamu!
 
Sijakuelewa!Mimi siamini katika uwepo wa Mungu lakini mimi kutokuamini katika uwepo wa Mungu hainizuii mimi kukuuliza wewe unaeamini katika uwepo wa Mungu maswali yanayomuhusu Mungu.
Ndomana hunielewi....

Huamini ktk Mungu but unaniuliza maswali yanayomuhusu Mungu...upo serious aisee??

Ni Mungu yupi huyoo?
 
"They say everyone's life is precious, but nobody cares about mine" ni mstari toka nyimbo ya LOGIC kuhusu suicide..

Kila mtu ana haki sawa hapa duniani, either awe gay or lesbian. Mambo ya kuhukumu tumuachie Mungu kwa wale believers.
Hapana...

Mwanamke hana haki sawa na mwanaume....na mtoto hana haki sawa na wazazi wake...

Au unazungumzia haki ipi?
 
Isn't that elaboration enough?
I can see this topic has gone viral in the social media arround the world! Celebration and thankful has emerged to some members of LGBT.

I think this is the time for Catholic Church to come and elaborate basing on the moral and Church's decision upon this issue.
 
Hakuna mtu atarudi kuabudu mizimu ya babu,hizo zama za giza zilishapitwa na wakati.
Wengine tulisema na tukaonya, jamani ukristu ni wa wazungu, ni wao, wanaweza badili namna ya kuamini na kuomba, nyie waafrika hasa mkitaka poa mkikataa shauri yenu, watu wakabisha mpaka mapovu, sasa hawai hawai yamefika, je watajitenga wasiotaka ya papa francis au watarudi kuabudu mizimu yetu ya mababu?!
 
Kwa hiyo watu waf---ln tu
Huyu papa mbona anazingua
Wao Vatican wangeweka sheria iruhusu mapadre na maskofu waoe waweze kujamiana na wanawake
Maana kukaa Bila kufanya tendo la ndoa mtu unadata

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo mnataka mashoga wapelekwe wapi?

Nilichomuelewa papa ni kwamba mashoga wasitengwe wapewe huduma na haki kama watu wengine, tusiwatenge ila sidhani Kama kanisa katoliki litakuja kubariki/kufungusha ndoa za mashoga.

Mashoga
Wazinzi
Wauaji
Majambazi
Wasengenyaji
Walawiti
Walevi
Na wengine wengi wote ni wadhambi. Kama wazinzi hawatengwi kwanini mashoga watengwe? Muhubirie neno akuelewe aache dhambi na sio kumtenga.
 
Hatimaye Papa Francis akubali kubariki ndoa za jinsia moja, kwa kudai mashoga nawo ni watoto wa Mungu na hakuna sababu ya kuwabagua.

Je, makanisa Katoliki Afrika, Asia, Mexico, Brazil na kwingineko watakubaliana na uamuzi huu? Tukumbuke kwenye biblia haisomeka ndoa za jinsia moja au za ushoga kukubalika, na kusomeka kwenye hichi kitabu kitakatifu kuwa sodom na gomorrah kuchomwa moto.

Je, ndiyo mwanzo wa kanisa katoliki kuvunjika au imani zao ndiyo zitazidi?
Karibuni.

===
Papa Francis ameviunga mkono vikundi vya harakati vinavyotetea ndoa za jinsia moja akiwa Mjini Roma wakati wa Maazimisho ya uzinduzi wa filamu iliyoitwa Fransisco.

Aidha, katika kuelezea jambo hili Papa Fransis amesema "Mashoga (Wapenzi wa jinsia Moja) wana haki ya kuwa katika familia. Wao ni watoto wa Mungu. Hakuna mtu anayepaswa kuwabagua au kufadhaishwa juu yao. "

Aliongeza kuwa wakati alipokuwa Askofu Mkuu wa Buenos Aires alipinga sheria ya kuidhinisha ndoa za jinsia moja lakini aliunga mkono aina fulani ya ulinzi wa kisheria kwa haki za wenzi wa jinsia moja.

Zaidi Soma:
Pope Francis has endorsed same-sex civil unions, saying in a documentary that homosexual people are 'children of God' and that they 'have the right to be in a family'.

His approval came midway through a feature-length film, titled Francesco, which had its premiere at the Rome Film Festival earlier today.

The film delves into issues Francis cares about most, including the environment, poverty, migration, racial and income inequality, and the people most affected by discrimination.

'Homosexual people have the right to be in a family. They are children of God. Nobody should be thrown out or be made miserable over it,' the 83-year-old said in one of his sit-down interviews for the film.

'What we have to have is a civil union law; that way they are legally covered.'

He added that he 'stood up for that' in an apparent reference to his time as archbishop of Buenos Aires when he opposed legislation to approve same sex marriages but supported some kind of legal protection for the rights of gay couples.

The Pope's remarks will come as a shock to millions of Roman Catholics who have long followed the doctrine that gay relationships are sinful and accepted the Church's stand against the worldwide advance of gay rights.

source: MailOnline
 
Ndomana hunielewi....

Huamini ktk Mungu but unaniuliza maswali yanayomuhusu Mungu...upo serious aisee??

Ni Mungu yupi huyoo?
Kwani wapagani na wasiomuamini Mungu wanapohubiriwa ili wamwamini Mungu hawaruhusiwi kuuliza maswali yanayomuhusu Mungu?
 
Back
Top Bottom