Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo atakua mpinga uchoko, achana nae mkuu.
Ametumwa na mabeberuHatimaye Papa Francis akubali kubariki ndoa za jinsia moja, kwa kudai mashoga nawo ni watoto wa Mungu na hakuna sababu ya kuwabagua.
Je, makanisa Katoliki Afrika, Asia, Mexico, Brazil na kwingineko watakubaliana na uamuzi huu? Tukumbuke kwenye biblia haisomeka ndoa za jinsia moja au za ushoga kukubalika, na kusomeka kwenye hichi kitabu kitakatifu kuwa sodom na gomorrah kuchomwa moto....
Mkuu mimi kuwa ni swali tu,wewe ulipaswa kujibu ndio au hapana,sasa CCM imeingiaje hapa.CCM bhana![emoji23][emoji23][emoji23]Hapo ndiyo umejenga hoja?Nikikuita mbumbumbu nitakuwa nimekuonea?
Mungu wao hana uwezo wote. Ni dhaifu.Mimi swali langu kwa wapinga ushoga huwa ni moja tu:Kama ushoga ni mbaya sana kwa nini Mungu mwenye uwezo wote pamoja na mamlaka yote anawaacha badala ya kuwaua wote?
Inasikitisha kwa vyombo vya habari kuwa natafsiri potofuHatimaye Papa Francis akubali kubariki ndoa za jinsia moja, kwa kudai mashoga nawo ni watoto wa Mungu na hakuna sababu ya kuwabagua.
Je, makanisa Katoliki Afrika, Asia, Mexico, Brazil na kwingineko watakubaliana na uamuzi huu? Tukumbuke kwenye biblia haisomeka ndoa za jinsia moja au za ushoga kukubalika, na kusomeka kwenye hichi kitabu kitakatifu kuwa sodom na gomorrah kuchomwa moto....
Papa anatoa kauli tata kimakusudi ili kupima upepo. Mkija kutetea mnasema ni tafsiri potofu wakati ni wazi kabisa. Hawezi kwenda direct ataenda kidogokidogo miaka mingapi mbele utasikia msimamo unatangazwa.Inasikitisha kwa vyombo vya habari kuwa natafsiri potofu
Sasa uchunguzi gani hapo unaotakiwa ufanyike ? Kwamba Papa hajasema hilo ? Au kwamba watu hawafanyi au unakusudia uchunguI gani ?
Hawa wapinga kristo wameanza kutoa makuchaNdugu yangu achana na Hawa wakuu wamakanisa
Soma maandiko , usisubiri waje wakuambie.
Soma maandiko Sheikh
Roma iliyomsulubisha Yesu, haijawahi badilika mpaka leo hiii
Ukiendelea kushupuza shingo utavunjika
Umenielewa vibaya mkuu...sijamaansha haya maneno ni ktk maandko laaa...namemwambia huyo jamaa arejee Kwenye vtabu vitukufu ili aondoe shaka juu ya Muumba wakeTunaoma hilo andiko ndugu
Nikwambie tu ndugu yangu kuwa Papa haungi mkono ushoga,isipokuwa msimamo wake unalenga kutowatenga,kwasababu kadiri ya Maandiko Matakatifu tunaelekezwa kuwa hata Yesu alichangamana na Wadhambi kiasi cha kunung'unikiwa na wale waliojihesabia haki,rejea Lk 15:1-2.Hivyo Papa Francis anaitaka jamii kutowatenga hao mashoga maana kwa kufanya hivyo inakuwa tumeshawahukumu wakati wa kuhukumu ni Mungu mwenyewe;Isitoshe sisi sote tu Wadhambi tunatofaitiana aina ya dhambi.Sasa uchunguzi gani hapo unaotakiwa ufanyike ? Kwamba Papa hajasema hilo ? Au kwamba watu hawafanyi au unakusudia uchunguI gani ?
Ongeza tusi jingine hilo mbona dogo sanaHuyo atakua mpinga uchoko, achana nae mkuu.
We endelea na kanisa, wenda utapata bahati ya kuolewa na mzungu ukaishi Europe.
Hivi wewe ukiambiwa kuwa ni Mchawi wakati uchawi wenyewe huujui utakubali?.Lkn mimi nawashukuru na kuwapenda sana Wasabato kwasababu mnasaidia sana kututimizia Unabii sisi RC,Yesu alizungumza juu ya kuteswa,kusemwa vibaya,n.k.kwa Wafuasi wake hayo ndio yanatimilika leo.Wakatoliki wakiambiwa kuhusu dhehebu Lao wanaona kama wanasingizia ndani Yake Kuna tarakimu ya za Mnyama wanakataa na kupinga.
Ndo hivyo mkuu,kila tamko hutolewa ktk Waraka.Duuuuuh Si Mchezoooooo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wewe endelea kucheka kwasababu kucheka ni muhimu kiafya,inasaidia kuongeza siku za kuishiNyie watu subconscious mind zetu hazipo sawa kabsa hasa Kwenye maswala ya Imani yenu...
Kuna rafiki yangu mmoja alitakaga kubakwa na kiongozi wake mkubwa wa kanisa....na Bado adi Sasa anaimani nae,anasema huenda Mungu alimtuma au shetani alimpitia...huwa nabaki kucheka tuu
Wewe umemaliza kazi.Logic ni very simple!Sasa wewe unataka kuwatenga binadamu kama nani?Wewe ni nani hata uwatenge binadamu?Kama kuwa shoga ni kosa kwani Mungu anashindwa kuwafuta humu duniani?Yaani Mungu mwenye uwezo wote anashindwa kuwafuta mashoga kama anachukizwa nao?...
AminaRc ilikuwepo itaendelea kuwepo mpaka mwisho wa dahali maana Yesu yupo pamoja nalo na aliahidi hivo. Mnajisumbua Sabatoz and the likes