Vijana mnachekesha sana, kuupinga ukweli ni ngumu sana yaani haiwezekani.
Achilia mbali tu suala la dini, ila suala la Ushoga na usagaji akili timamu ina kataa, hili jambo. Mnapoambiwa ukweli dawq yale ni kuukubali na ibakie tu kuufanyia kazi au kuuacha, ila kuupinga tena pasi na hoja ni matumizi mabaya ya akili.
Mwenzako huko juu, alitoa andiko toka katika Biblia, lakino ukilosoma halionyeshi ya kuwa wale wahalifu walikuwa ni mashoga na wasagaji. Lakini tangu lini shoga au msagaji akawa muhalifu ? Bali wao ni waovu na watenda dhambi chafu kupata kutokea hapa duniani.
Akili iliyo salama, hujiuliza kwanini kuna mwanamke na kuna mwanaume ? Kwanini mwanaume akimuingilia mwanamke hupata mimba na hatimae kupata mtoto (Hapa kwa wale ambao si tasa). Sasa lengo la mwanaume kuumbiwa mwanamke ni wapendane na wahurumiane na kisha wapate uzao Mola akitaka. Je lengo la mashoga na wasagaji ni kufurahishana na kutumia akili vibaya, na si kutumia viungo vya uzazi inavyotakiwa na ndiyo lengo kuu.
Sasa jalia tunaongelea Biblia, je Biblia inasemaje kuhus Ushoga ? Inaruhusu ? Je Biblia inasemaje kuhus Sodoma na Gomoroa ?
Huwezi kuwa na akili timamu ukaupigia chapuo ushoga na usagaji. Na tafiti zinaonyesha ya kuwa wale wote wanao fanya mapenzi ya jinsia moja huwa ni wagonjwa wa akili.
Yaani ni sawa sawa, chakula ukipitishie sikioni au puani wakati njia sahihi na stahiki ni Mdomoni.
Acheni uhayawani. Ila cha moto mnakiona wale wote mnao shiriki mapenzi ya jinsia moja na Allah awalaani.