Papa Francis hapaswi kukosolewa dhidi ya uamuzi wake juu ya LGBTQ

Unachoshindwa kujua ni kuwa upapa ni taasisi.
Mapapa ni watekelezaji tu.
Na hili lilikuwepo kwenye mpango tokea kuanzishwa kwa RC
 
Kama waliweza kumkana YESU Tena kwa kuuliza huyu ni nani watashindwa kukumbushia ya sodoma. Napita tu.
 
NAONA unapromote ushoga. Bila shaka wewe Ni mmoja wao.

Badala ya kukemea unawaita unawakumbatia unawatia moyo.

Kwahiyo kwa Sasa kanisa katoliki Ni kimbilio la mashoga.
 
Na wezi wanaingia Kanisani na kupata huduma za korosho kama kawaida si ndio
Sio wezi tu hata wauwaji wanapata huduma za kiroho ila ndio huwezi kujua kuwa huyu ni muuwaji. Mkuu mie nimetoa ushauri kwamba kama mashoga wanaona jamii inawabagua na wakati wao wanaona suala la dini ni muhimu kwao basi waanzishe dini yao ambayo itahalalisha ushoga na kuwa kitu cha kawaida na hapo watapokea huduma za kiroho kwa raha kabisa kuliko kuangaika kulazimisha jamii ichukulie ushoga ni kitu cha kawaida kama vitu vyengine.
 
NAONA unapromote ushoga. Bila shaka wewe Ni mmoja wao.

Badala ya kukemea unawaita unawakumbatia unawatia moyo.

Kwahiyo kwa Sasa kanisa katoliki Ni kimbilio la mashoga.
Mashoga wanapokaribishwa kanisani inamana kuwa yale mahubiri watakayosikiliza yatakuwa yakiwabadilisha taratibu
Na jambo jingine la kuzingatia jibu hoja acha kumwingiza mtoa mada kwenye hoja, huo unaitwa ni ubakaji wa mada mara nyingi wehu ndio wanafanya hivyo lakini mwenye uelewa atajibu kwa hoja
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
ni kweli upo sahihi kabisa wapo hata husemi uongo ila kamwe huwezi kusikia eti wamepongezwa ila watalaaniwa sio kama wengine wamepewa na baraka zooote kabisa
 
Asikosolewe yeye ni Mungu? Anaongoza taasisi kubwa, anaongoza sehemu ya dunia, akisemabkasemea waumini anaowaongoza. Kwanini watu wasimkososoe kama anaenda kinyume na matakwa ya imani ya Roman Catholics, kwanini atuhalalishie tusichokitaka waumini?
Ni binadamu huyo anaweza kukosea na ni lazima akosolewe.
 
Ushoga umeshamiri sana duniani kiasi kwamba takwimu zinatisha, ameamua kuwapokea tu mana mtu akishafirana hawezi kuacha tena
 
Yeye inabidi afate misingi ya dini sio nyomi then wenye imani watabaki na kanisa. Kanisa linatumika kama tawi la kueneza ajenda za kishetani na mpaka sasa shetani ameshalikamata barabara
Ukristo halisi unaenda kujidhihili ndani ya kanisa katika namna ya ajabu sana, yaliyofichwa yanaenda kufichuka,miongo hii mitatu tunaenda kutambua nyomi ya watakatifu ndani ya kanisa, mkatoliki mwenzangu tuendelee kuombea kanisa ,pale kwa papa Kuna roho mbaya anatamalaki katika madhaifu ya kibinadamu,
 
hapo sijaelewa yaani akubali wizi ili ahakikishe waumini wake ni wezi hii hatari
Maana yake ilikuwa kabla ya kumnyooshea kidole mtoto wa jirani kuwa ni mwizi hakikisha wako sio mwizi
 
Kwa hiyo hili andiko Papa halijui?

Wakorintho 5:11-13​

Neno: Bibilia Takatifu​

11. Lakini nilikuwa namaanisha kwamba msishirikiane na mtu ye yote anayejiita ndugu lakini ni mwasherati, mwenye tamaa mbaya, mwabudu sanamu, mtukanaji, mlevi na laghai. Wala msile na mtu kama huyo.

12. Si kazi yangu kuhukumu watu walio nje ya kanisa. Je, si hao walio ndani ya kanisa mnaopaswa kuwahukumu?

13. Mungu anawa hukumu walio nje ya kanisa. “Mfukuzeni mtu mwovu atoke kutoka katika ushirika wenu.”
 
Hapa unakosea.
Kwenda kubariki ndoa ya mwanaume na mwanaume huko ni kubariki dhambi.
Wapi imeandikwa ndoa? Kuwa shoga kunahitaji ndoa? Watu wengi humu huwa hawajui mada za nyuzi, nimeona hilo mara nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…