Papa Francis: Hisani ya Kichungaji itumike wapenzi wa jinsia moja wanapowaomba mapadri baraka

Papa Francis: Hisani ya Kichungaji itumike wapenzi wa jinsia moja wanapowaomba mapadri baraka

Status
Not open for further replies.
Diamond kajenga msikini sio mmoja, hamonize kajanga msikiti mtwara. kwa muziki ule ule wa kunengua viuno, wadada kuvaa uchi nakadhalika, na mashabiki wakubwa wa muziki huo ni ndugu zako FaizaFoxy. na hakuna shehe wala yeyote aliwahi kukemea. nadhani hapo ninekupiga kwenye mshono.
Hata wewe unaweza kujenga msikiti na uchapwa (ushoga) wako, kwani unaesali msikiti au anayeingia kusali msikitini?
 
Ndomana Ulaya na Marekani watu wameshaachana na dini 🤔🤔🤔

Sio Uislam, sio Ukristo... majority wanajiishia tu! Maana viongozi wenyewe hawaeleweki

Dahh! *****! 😳😥😰🤔
 
UNAONA USIVYOMUELEWA POPE? Kwamba mapadri wataruhusiwa ushoga? Una lako jambo!
By the way, mtu akisema my boby my right ....anautumia mwili wake atakavyo, ana kosa gani? Mimi sioni tatizo mtu akiamua kuwa shoga....mwili wake anautumia anvyotaka (pampja na kuwa siungi mkono ushoga kama nisivyounga mkono ulevi wa pombe, dini etc etc). Lakini anyekunywa pombe mwache anywe.....
Ugependa watoto wako wawe mashoga ilihali wanatumia miili yao, mkuu heshimu utamaduni miiko na heshima, ungejisikia je kama baba ako ndo anafungwa ndoa ya kushoga yeye ndo demu.......acha weka msimamo kwamba ushoga hata kama utapitia kwenye dini au biashara ni usheitani na tuwa tenge wanao ushabikia na kuufanya.
 
Hata wewe unaweza kujenga msikiti na uchapwa (ushoga) wako, kwani unaesali msikiti au anayeingia kusali msikitini?
FaizaFoxy, mimi sio hao mashoga kama ndugu zaki wazenji, sijawahi kufanya icho kitu, sitegemei kufanya, God is my witness. however, nina uhakika asilimia 90% wewe hapo pamoja na kujifanya na dini, wewe mtoto sijui wa kizanzibar sijui kariakoo, matundu yako yote mawili hayana sphinters.

pili, mimi siwezi kujenga msikiti, haitakuja kutokea maishani mwangu kujenga hekalu la kuabudu miungu mingine.
 
Tukiwaambia njooni huku tunakosali mpk Roho Mtakatifu anashuka mnasema ooh sisi tunapenda kusali kimyakimya,haya sasa kumekucha...
 
Nafikiri huu ndio wakati wa wakatoliki kusilimu au kurejea kwenye dini za mababu.

Sisemi kuwa miongoni mwa waislamu hakuwa watu wanao fanya mambo hayo? La haha! Mambo hayo yanafanywa na watu wa dini zote wakristu kwa waislamu. Tatizo ni pale taasisi kama taasisi ya kidini inapo yatambua mapenzi ya namna hiyo.

Poleni sana wakatoliki.

====


"Hatuwezi kuwahukumu ambao wanakanusha tu, kukataa na kuwatenga,"

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis amependekeza kuwa atakuwa tayari kuona Kanisa Katoliki likibariki wapenzi wa jinsia moja.

Akijibu kundi la makadinali waliomuomba ufafanuzi juu ya suala hilo, alisema ombi lolote la baraka linapaswa kushughulikiwa na "hisani ya kichungaji".

Aliongeza, hata hivyo, Kanisa Katoliki bado linachukulia uhusiano wa jinsia moja "kuwa dhambi" na halitatambua ndoa za jinsia moja.

Ombi hilo lilikuwa mojawapo ya maombi yaliyotumwa kwa Papa kabla ya mkutano wa kimataifa wa wiki nzima kujadili mustakabali wa Kanisa unaotarajiwa kuanza mjini Vatican siku ya Jumatano.

Katika Kanisa Katoliki, baraka ni maombi au ombi, ambalo kwa kawaida hutolewa na kiongozi wa kiroho, akimwomba Mungu amtazame mtu au watu wanaobarikiwa.

BBC Swahili
Tunasubiri waraka wa wanafiki wa TEC
 
mungu anachukia dhambi. lakin anawatambua wenye dhambi na anawenyeshea mvua za baraka na anawapatia wenye dhambi riziki.
usijifanye unachukia dhambi kuliko Mungu.

basi na misikitini wangekua wanaswali manabii na mitume tu wasio na dhambi.
msimamo wa papa ni tunachukia dhambi lakini wenye dhambi tunawapenda. of coz wanapewa na nafas ya kutubu dhambi.

swala la baraka hata wewe na usenge wako unaweza kubarikiwa pia. lakini haimaanishi tuna upenda usenge wako

ahsante kwa kunisikiliza.
 
Ugependa watoto wako wawe mashoga ilihali wanatumia miili yao, mkuu heshimu utamaduni miiko na heshima, ungejisikia je kama baba ako ndo anafungwa ndoa ya kushoga yeye ndo demu.......acha weka msimamo kwamba ushoga hata kama utapitia kwenye dini au biashara ni usheitani na tuwa tenge wanao ushabikia na kuufanya.
Siungo mkono ushoga, lkn wakitaka kufanya hivyo shauri yao, it is none of my bussiness! nakwambia it is a matter of time dunia itakuja kuwa hivyo maana watu wanataka freedom kufanya ambayo wanaona ni haki yao. Tatizo wewe unajiona ni subject/object of somebody/ some culture ambazo zimetulea and the like! Mentality hiyo ikikutoka utaona ni kawaida.
Sitaki ulevi lkn wanao lewa wacha walewe, shauri zao! as long as hawaingilii haki zangu za kutotaka (nina haki ya kuikana pombe, mtu asiingilie haki yangu hiyo) pombe/ushoga!
 
Nafikiri huu ndio wakati wa wakatoliki kusilimu au kurejea kwenye dini za mababu.

Sisemi kuwa miongoni mwa waislamu hakuwa watu wanao fanya mambo hayo? La haha! Mambo hayo yanafanywa na watu wa dini zote wakristu kwa waislamu. Tatizo ni pale taasisi kama taasisi ya kidini inapo yatambua mapenzi ya namna hiyo.

Poleni sana wakatoliki.

====


"Hatuwezi kuwahukumu ambao wanakanusha tu, kukataa na kuwatenga,"

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis amependekeza kuwa atakuwa tayari kuona Kanisa Katoliki likibariki wapenzi wa jinsia moja.

Akijibu kundi la makadinali waliomuomba ufafanuzi juu ya suala hilo, alisema ombi lolote la baraka linapaswa kushughulikiwa na "hisani ya kichungaji".

Aliongeza, hata hivyo, Kanisa Katoliki bado linachukulia uhusiano wa jinsia moja "kuwa dhambi" na halitatambua ndoa za jinsia moja.

Ombi hilo lilikuwa mojawapo ya maombi yaliyotumwa kwa Papa kabla ya mkutano wa kimataifa wa wiki nzima kujadili mustakabali wa Kanisa unaotarajiwa kuanza mjini Vatican siku ya Jumatano.

Katika Kanisa Katoliki, baraka ni maombi au ombi, ambalo kwa kawaida hutolewa na kiongozi wa kiroho, akimwomba Mungu amtazame mtu au watu wanaobarikiwa.

BBC Swahili
Mods wameirekebisha habari kutoka vile ulivyoileta mwanzo.
 
Vipi kuna waraka mpya utatolewa na TEC kuhusu hili? Ukitoka huo usomwe kila jumapili mpaka Yesu atakaporudi
 
Sasa mbona ameruhusu kuzibariki... Kitu hukitambui au unasema ni dhambi alafu unakinariki vipi...

Kubariki maana yake umekubaliana nacho na unakitakia maisha mazuri... Yani wasiachane na waendelee
Wapi ameruhusu kuzibariki?
 
Aliongeza, hata hivyo, Kanisa Katoliki bado linachukulia uhusiano wa jinsia moja "kuwa dhambi" na halitatambua ndoa za jinsia moja
 
BBC wenyeww wanesharekebisha kuchwa cha habari walichotumia kutengenezea habari.
 
chapwa ni eneo lipo Tunduma, kama ilivyo magomeni, kariakoo, tandale na manzese kule ulikokulia wewe. Ukifika Tunduma kuna eneo linaitwa Chapwa, hapo ndipo naishi. shida yenu huwa mnajua Tanzania ni dsm tu huko mlikozoea kula ugali na chumvi.
Kwa hiyo na wewe ni chapwa.

Makubwa.
 
Tukuamini wewe kuliko yeye?

Kama hukubaliani na ushoga, karibu uwe Muislam.
ajuza umefurahi sana kusikia hilo. umesahau ndugu yako afande wa zanzibar aliyejirekodi kabisa, ndugu zako wote ninyi mmezaliwa kariakoo marinda ni ya kutafuta, pwani yote, zanzibar, uarabuni kote huko huu ushenzi ni kitu cha kawaida, ila mkija hapa mnajifanya watu wa dini sana. nakuhakikishieni wale wanaokula kitimoto watamwona Mungu kuliko ninyi hapo. kwasababu kile kilichopo midomoni mwenu sicho kilichopo mioyoni mwenu.

na kwa wakatoliki, siku zote nimekuwa nikiwaambia muokoke, imani yenu ilishachakachuliwa tangu enzi za augusto, mnasali msichokijua na hamtamwona Mungu kamwe.
 
Kwa hiyo na wewe ni chapwa.

Makubwa.
kwa lugha yako wewe wa kariakoo au uswahilini, kwasababu umezoea usodoma, ukisikia tu hivyo unahisi ni ushetani uliouzoea, ila kwa mtu ambaye moyo wake ni safi, anajua ni eneo tu ndani ya mji. sikulaumu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom