Papa Francis: Hisani ya Kichungaji itumike wapenzi wa jinsia moja wanapowaomba mapadri baraka

Status
Not open for further replies.
Warumi 1:21-28
[21]kwa sababu, walipomjua Mungu hawakumtukuza kama ndiye Mungu wala kumshukuru; bali walipotea katika uzushi wao, na mioyo yao yenye ujinga ikatiwa giza.
Because that, when they knew God, they glorified him not as God, neither were thankful; but became vain in their imaginations, and their foolish heart was darkened.
[22]Wakijinena kuwa wenye hekima walipumbazika;
Professing themselves to be wise, they became fools,
[23]wakaubadili utukufu wa Mungu asiye na uharibifu kwa mfano wa sura ya binadamu aliye na uharibifu, na ya ndege, na ya wanyama, na ya vitambaavyo.
And changed the glory of the uncorruptible God into an image made like to corruptible man, and to birds, and fourfooted beasts, and creeping things.
[24]Kwa ajili ya hayo Mungu aliwaacha katika tamaa za mioyo yao, waufuate uchafu, hata wakavunjiana heshima miili yao.
Wherefore God also gave them up to uncleanness through the lusts of their own hearts, to dishonour their own bodies between themselves:
[25]Kwa maana waliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, wakakisujudia kiumbe na kukiabudu badala ya Muumba anayehimidiwa milele. Amina.
Who changed the truth of God into a lie, and worshipped and served the creature more than the Creator, who is blessed for ever. Amen.
[26]Hivyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao za aibu, hata wanawake wakabadili matumizi ya asili kwa matumizi yasiyo ya asili;
For this cause God gave them up unto vile affections: for even their women did change the natural use into that which is against nature:
[27]wanaume nao vivyo hivyo waliyaacha matumizi ya mke, ya asili, wakawakiana tamaa, wanaume wakiyatenda yasiyopasa, wakapata nafsini mwao malipo ya upotevu wao yaliyo haki yao.
And likewise also the men, leaving the natural use of the woman, burned in their lust one toward another; men with men working that which is unseemly, and receiving in themselves that recompence of their error which was meet.
[28]Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.
And even as they did not like to retain God in their knowledge, God gave them over to a reprobate mind, to do those things which are not convenient;

Unajua watu waliokwisha haribika fahamu zao kwa jinsi Mungu alivyokwisha waacha hawawezi tena kupambanua kati ya mema na batili.
Wanazitumainia hekima za binadamu badala ya hekima ya Mungu ambayo ni neno lake.
Alicholaani Mungu mwanadamu hana mamlaka ya kukibariki na alichobariki Mungu mwanadamu hana mamlaka ya kukilaani.
Katika eneo hili ndipo kanisa la kimapokeo nje ya kweli ya neno walipopigwa upofu.
 
Papa ni shoga?
 
"Hatuwezi kuwahukumu ambao wanakanusha tu, kukataa na kuwatenga,"
Kanisa katoliki kwenye mafundisho yake kazi ya kutoa hukumu ni ya Mungu
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis amependekeza kuwa atakuwa tayari kuona Kanisa Katoliki likibariki wapenzi wa jinsia moja.
Alipendekeza wapi na nukuu ya hilo pendekezo iko wapi.
Akijibu kundi la makadinali waliomuomba ufafanuzi juu ya suala hilo, alisema ombi lolote la baraka linapaswa kushughulikiwa na "hisani ya kichungaji".
"hisani ya kichungaji" ndio mapendekezo ya ushoga? Ina maana kataja maneno mawili tu
Aliongeza, hata hivyo, Kanisa Katoliki bado linachukulia uhusiano wa jinsia moja "kuwa dhambi" na halitatambua ndoa za jinsia moja.
Kauli yake kuhusu hili iko wapi. Kwanini utoe taarifa ya kuambiwa wakati nukuu ya alichosema ipo.
Kwenye habari haionekani kasema nini. Kauli yake mwenyewe ya kupendekeza iko wapi, sio ulete kauli za mwandishi wa habari yako.

Leta speech hiyo uliyotumia kutafsiri Wakatoliki wasome wenyewe maana akili wanazo. Sio uwatafsirie unavyotaka wewe na uchomeke maneno manne tu aliyotamka kwenye Uzi wako mzima.
 
ametumia mkurupuko kuleta bandiko
 
Hi ni sawa na kusema huli Nyama ya Mbwa unakunywa supu ya nyama ya mbwa tu
Haviendani hata kidogo na nilichosema. Kanisa limeweka bayana kuwa mapenzi ya jinsia moja ni dhambi na halitambui ndoa za jinsia moja. Wanaihitaji baraka koz uenda wakabadili mienendo yao na kurudi ktk njia iliyonyooka.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…