Papa Francis: Hisani ya Kichungaji itumike wapenzi wa jinsia moja wanapowaomba mapadri baraka

Papa Francis: Hisani ya Kichungaji itumike wapenzi wa jinsia moja wanapowaomba mapadri baraka

Status
Not open for further replies.
Nafikiri huu ndio wakati wa wakatoliki kusilimu au kurejea kwenye dini za mababu.

Sisemi kuwa miongoni mwa waislamu hakuwa watu wanao fanya mambo hayo? La haha! Mambo hayo yanafanywa na watu wa dini zote wakristu kwa waislamu. Tatizo ni pale taasisi kama taasisi ya kidini inapo yatambua mapenzi ya namna hiyo.

Poleni sana wakatoliki.

====


"Hatuwezi kuwahukumu ambao wanakanusha tu, kukataa na kuwatenga,"

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis amependekeza kuwa atakuwa tayari kuona Kanisa Katoliki likibariki wapenzi wa jinsia moja.

Akijibu kundi la makadinali waliomuomba ufafanuzi juu ya suala hilo, alisema ombi lolote la baraka linapaswa kushughulikiwa na "hisani ya kichungaji".

Aliongeza, hata hivyo, Kanisa Katoliki bado linachukulia uhusiano wa jinsia moja "kuwa dhambi" na halitatambua ndoa za jinsia moja.

Ombi hilo lilikuwa mojawapo ya maombi yaliyotumwa kwa Papa kabla ya mkutano wa kimataifa wa wiki nzima kujadili mustakabali wa Kanisa unaotarajiwa kuanza mjini Vatican siku ya Jumatano.

Katika Kanisa Katoliki, baraka ni maombi au ombi, ambalo kwa kawaida hutolewa na kiongozi wa kiroho, akimwomba Mungu amtazame mtu au watu wanaobarikiwa.

BBC
Usikute huyu papa ni chocolate wenzake wanambokoa
 
Tate Mkuu alikua anakanusha wakati ule swahiba wa ubelgiji alipotetea hili jambo la ushoga akisema ati ni jambo praiveti
Kuna sehemu nimesoma, Papa hajaruhusu hilo jambo.

Ila ikitokea siku wakaamua kubariki huo ushweitwani, haki ya nani nitaachana kabisa na mambo ya kusali. Kubariki huo upuuzi, kutaleta mgawanyiko mkubwa kwenye Kanisa.
 
Dunia ipo kasi sana kiasi waliyomo ndani wanashindwa kuruka wataumia!
 
Mkuu Acha zako bhna ubadili mwenendo kwa kupewa Baraka Ya kuozeshwa?...

Mkuu hiyo ni psychology ya aina gani.? Kupromote uovu kwamba unaweza ukaisha...

Kama ndiyo mawazo ya Papa hayo nasema kuwa washauri wake wa psychology wmemdanganya...
Huwezi kuruhusu Utumiaji wa mdawa eti ukiamini kwakuwa nimeruhusu watu wataacha kutumia watarudi kwenye njia nzuri Iz this even make Fu**# sense...
Hata yesu alipomkuta Mariam magdalena anadanya umalaya/Ukahaba hakumwambia kwamba nenda kafanye ili ukiwiwa ubadilike alimwambia nenda zako na usifanye dhambi tena na akakemea dhambi yake...kupongeza na kubariki dhambi hakuwezi kufanya dhambi hiyo ikaondoka
Kama kawaida yako unatoka nje ya reli. Maelezo mengi ila out of context. KANISA LINASEMA NI DHAMBI NA HALITAMBUI MAPENZI YA JINSIA MOJA. Kasema inatumika hekima ya kiuchungaji,na ni swala la kibinadamu which means makosa hayakwepeki. ILA MSIMAMO WA KANISA UPO WAZI.
 
Kama kawaida yako unatoka nje ya reli. Maelezo mengi ila out of context. KANISA LINASEMA NI DHAMBI NA HALITAMBUI MAPENZI YA JINSIA MOJA. Kasema inatumika hekima ya kiuchungaji,na ni swala la kibinadamu which means makosa hayakwepeki. ILA MSIMAMO WA KANISA UPO WAZI.
Nilichoandika kinatokana na mleta mada ya majibu yako wew wala sijatoka nje ya mada yyte
 
Mawazo ya papa sio mawazo ya kanisa.
Kanisa ni kubwa kuliko papa labda tu kama kasahau nguvu ya kanisa
 
Papa
Ingekua heri kama haina ukweli

Na ungefanya vyema kuleta uthibitisho hapa ili watu waelewe lipi ni lipi

Mimi binafsi nimeipata taarifa hiyo huku

View: https://www.instagram.com/p/Cx7dGTiNFhP/?igshid=MmU2YjMzNjRlOQ==

Hii ni fake News. Hawa walioandika hawajaandika kilicho ripotiwa bali wameandika wanachotamani kiwe. Taarifa hiyo wanaoisambaza wameitoa udaku special, na hata wao udaku hawajatoa link.


Angalia hiyo taarifa ya kiswahili uliyo nayo, halafu linganisha na hii
 
Mawazo ya papa sio mawazo ya kanisa.
Kanisa ni kubwa kuliko papa labda tu kama kasahau nguvu ya kanisa
Pole sana mkuu,naona umeamua kua mbunifu wa kujifariji na kilichosemwa na Papa,Papa ndio final say,nani wakumpinga?
 
Huko ndiko wale Jamaa wa Kanisa Moja takatifu la mitume wamefikia.

Ni muda Sasa Waafrika kuwa na dini zenu ,hizi za Wazungu zinaambatana na mambo ambayo ni kinyume na Maadili ya Kiafrika.

johnthebaptist Naendelea kula popcorn 🍿🍿

View: https://twitter.com/bbcswahili/status/1709102085034135916?t=a5fb4p-fuB1HwHwnBtE_Cw&s=19

Baada ya kuisoma hiyo taarifa unaweza ukaonyesha pale Papa au Kanisa limeruhusu hizo ndoa?
Kichwa cha habari na kilichoandikwa ni vitu viwili tofauti kabisa.
Au mnashangilia kwa kuwa ndiyo kitu mnachokitamani na kukip8gania huku mnajifanya mnakipinga.
 
Nafikiri huu ndio wakati wa wakatoliki kusilimu au kurejea kwenye dini za mababu.

Sisemi kuwa miongoni mwa waislamu hakuwa watu wanao fanya mambo hayo? La haha! Mambo hayo yanafanywa na watu wa dini zote wakristu kwa waislamu. Tatizo ni pale taasisi kama taasisi ya kidini inapo yatambua mapenzi ya namna hiyo.

Poleni sana wakatoliki.

====


"Hatuwezi kuwahukumu ambao wanakanusha tu, kukataa na kuwatenga,"

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis amependekeza kuwa atakuwa tayari kuona Kanisa Katoliki likibariki wapenzi wa jinsia moja.

Akijibu kundi la makadinali waliomuomba ufafanuzi juu ya suala hilo, alisema ombi lolote la baraka linapaswa kushughulikiwa na "hisani ya kichungaji".

Aliongeza, hata hivyo, Kanisa Katoliki bado linachukulia uhusiano wa jinsia moja "kuwa dhambi" na halitatambua ndoa za jinsia moja.

Ombi hilo lilikuwa mojawapo ya maombi yaliyotumwa kwa Papa kabla ya mkutano wa kimataifa wa wiki nzima kujadili mustakabali wa Kanisa unaotarajiwa kuanza mjini Vatican siku ya Jumatano.

Katika Kanisa Katoliki, baraka ni maombi au ombi, ambalo kwa kawaida hutolewa na kiongozi wa kiroho, akimwomba Mungu amtazame mtu au watu wanaobarikiwa.

BBC
Katika haya maelezo yote hapa, sijaona sehemu Papa ameruhusu ndoa za jinsia moja.

By the way, Papa hana mamlaka ya kuamua kitu chochote kile, pasipo kupitia kwenye michakato ya mamuzi ndani ya Kanisa.

Hivyo taarifa kama hii ni ya kupuuzwa. Na hata ikitokea Kanisa likaruhusu huo upuuzi, bado usitegemee kuona Wahafidhina ndani ya Kanisa wakihamia kwenye Uislam, Usabato, Ulokole, nk!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom