CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 7,001
- 23,449
Kama papa akisema YES na wewe utaanza kufanya huo ujinga basi huna akili.
Fanya kile ambacho hata dini zisingekuepi unajua fika kabisa MUNGU hapendi na usingeweza kukifanya.
Kutofanya au kufanya kwasababu umeambiwa na kiongozi wako wa kanisa huo si ukristo bali ni utumwa.
Kuna vitu hata Bila uwepo wa DINI huwezi fanya,leo unaambiwa fanya nawewe unafanya, Huna tofauti na Mmbwa tena Jibwa.
Fanya kile ambacho hata dini zisingekuepi unajua fika kabisa MUNGU hapendi na usingeweza kukifanya.
Kutofanya au kufanya kwasababu umeambiwa na kiongozi wako wa kanisa huo si ukristo bali ni utumwa.
Kuna vitu hata Bila uwepo wa DINI huwezi fanya,leo unaambiwa fanya nawewe unafanya, Huna tofauti na Mmbwa tena Jibwa.