Papa Sylvester alisoma madrasa. Alifuzu somo la hesabati

Alisoma ujinga gani huko Moroca. Acha kijipa matumaini hewa
 
Hesabu mzee wangu mpaka za chuo kikuu ni uvumbuzi wa waislamu.
Zimeendelezwa na kubadilika kulingana na wakati lakini muhimu nyingi zimebaki kama zilivyokuwa.
Yaani. Hata mashine ya kukamulia mafuta huko kwa waarabu (mpaka wanakuwa matajiri) inatumia mahesabu ya mzungu😀😀
 
And the hunters were Arabs pretending to spread Islam
Not at all.
The slave ship was functioning in Western Africa ,The hunters were solely the europeans themselves under the umbrella of christianity.
 
Alisoma ujinga gani huko Moroca. Acha kijipa matumaini hewa
Mbona kinyungu umechanganyikiwa kiasi hicho
Papa Slvester hakusoma ujinga.Alisoma hesabu na akawafundisha watu wa Ulaya kupitia kanisani kwake.
 
Halafu mkafika wapi.
Uliza tukafika wapi
Ndio hapa leo tuna computer na Microsoft ambazo zilianza na Algorithm (Alkhwarizm) kutokana na mvumbuzi wa hesabati aitwaye jina hilo.
 
Eva ndo Hawaa ila kwa wizi tu mudi na mkalimani wake walifanikiwa kacopy na kupaste vya kwenye biblia wafuasi mpo busy kulazimisha ni vyenu daah
Eva ndio nani?

Sisi tunamtambua Hawaa, na sio eva
 
Nakujibu kama ifuatavyo

1) Uislam ulikuwepo kabla ya Mtume Muhammad ajazaliwa

Qurani 42:13
- Amekuamrisheni Dini ile ile aliyo muusia Nuhu na tuliyo kufunulia wewe, na tuliyo wausia Ibrahim na Musa na Isa, kwamba shikeni Dini wala msifarikiane kwayo. Ni magumu kwa washirikina hayo unayo waitia. Mwenyezi Mungu humteua kwake amtakaye, na humwongoa kwake aelekeaye.

Hapo mtume Muhammad anaambiwa hi dini ya uislam yeye sio wa kwanza mitume wote waliomtangulia walikuwa waislam

Na hapa wengi huwa mnachanganya Muislam wa kwanza Kwa wanao ifuata Quran ni mtume Muhammad

Ila waislam wa kwanza Duniani kabla ya Mtume Muhammad wapo wengi


2) Allah ameleta vitabu 4 hapa Duniani
Taurati amepewa nabii Musa
Zaburi amepewa nabii Daudi
Injili amepewa nabii Isa
Quran amepewa nabii Muhammad

Hivyo basi Muhammad Saw ndio mtume wa mwisho na Quran ndio kitabu Cha mwisho


3) Hesabu duniani zilikuwepo za aina nyingi hata mababu zetu wa hapa Tanzania naamini walikuwa na hesabu zao

Ila hasabu kuu hapa Duniani ni za aina 2 Yani za Kirumi na ndio hesabu za kwanza hapa Duniani na za Kiarabu Yani algebra

Hesabu za Kirumi zilifeli Kwa sababu hazinyumbuliki Yani hauwezi kutumia hesabu za Kirumi kufanya Calculation kubwa kubwa

Hesabu za Aljebra ndio zikafiti Kila sehemu na Kila aina ya Calculation hesabu hizi waanzilishi ni wasomi wa Misri Kwa msaada wa Quran katika miaka 830



The word "algebra" is derived from the Arabic word الجبر al-jabr, and this comes from the treatise written in the year 830 by the medieval Persian mathematician, Al-Khwārizmī, whose Arabic title, Kitāb al-muḫtaṣar fī ḥisāb al-ğabr wa-l-muqābala, can be translated as The Compendious Book on Calculation by Completion

Source website ya Cambridge university
 
Hata ingeitwa Holy Ghost haiondo ukweli kuwa Muhamad was a slave trader, alimiliki, kuteka na kuuza watumwa
hakuna ukweli huo.
wakristo mungemfuata Yesu kweli usingekuwa mzushi
ndio maana mlifanya biashara haramu kwa kutumia jina lake
 
hakuna ukweli huo.
wakristo mungemfuata Yesu kweli usingekuwa mzushi
ndio maana mlifanya biashara haramu kwa kutumia jina lake
Kwamba unapinga jamaa hakujihusihsha na hayo mambo?🤣🤣🤣
 
Kwamba unapinga jamaa hakujihusihsha na hayo mambo?🤣🤣🤣
Yesu hawezi kufanya mambo ya kijinga na kikafiri ya kuuza watu na ndugu yake Muhammad saw pia hawezi kufanya upuuzi wowote.
wakristo wa sasa mumekosa heshima sana na mitume wa Allah.
 
Mshaanza story za kutunga wazee wa dozi mara tano kwa siku 🤣🤣🤣....Na adithi zenu za kudanganyana kwenye msikiti wa mtambani..!!
Tangu lini Moor's ambao ni watumwa wa waarabu wakawa wanajua hesabu.
Mnapenda kujifariji.....mradi tu mjishindanishe na wagalatia 😂🤣🤣😋
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…