Pre GE2025 Pascal Mayalla amshauri Lissu kutumia jukwaa la JamiiForums kusoma maoni ili kuondokana na siasa za harakati na kufanya siasa za mikakati

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tunaomba Jf huyu ndg apigwe ban ya mwaka mmoja.
 

Mnyika kafumua hoja ya kaka yangu mpaka nikaona huruma.
 
As
Ajitambulishe kama mwakilishi wa ccm sjui prrr nin sjui. syo et mwakilishi wajamii foram
 
Pascal Mayalla mzee mwenzangu umeumbuka maana wamekukataa humu kama walivyokukataa siku ile ya kura za maoni huko CCM. Huyu roho wa kukataliwa naona amekuandama baada ya kugeuka kutoka kwenye hulka yako ya kusimama na ukweli toka enzi zetu zile za KITIMOTO ambazo najua members wengi humu walikuwa hawajazaliwa au walikuwa vijana wadogo sana na hayo hayakuwa size yao.
Wengi wamependekeza upigwe ban ili liwe fundisho kwa wengine maana hii tabia kujivika uwakilishi imeanza kuota mizizi kwako, ila mie nakuomba tuu waombe radhi na uiache watakusamehe.
Unajua uzee na John Mtembezi sometimes vinavuruga.
Pia hicho chama ulicho amua kukitetea, hata mbinguni kisha kataliwa kwa matendo yake. Jiepushe nacho
 
Pascal ni mjinga baba yake alikuwa chawa wa Nyerere na mama yake pia
Hapana aisee, kwenye hili namtetea porti aiseee! Ina maana watumishi wa serikali wakati wa Nyerere walikuwa chawa? Hapana aisee wazee wa Pascal walikuwa wamesoma, shauri yako wewe kama ka baba kako wakati wenzie wanaenda shule kenyewe kanakimbizana na kayoga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…