Pasco Mayalla ana vielement vya unabii afungue kanisa

Inasikitisha sana.
 
Hawa uliowataja wameweza nini??
 
Pasco yuko vizuri kwakweli sema ndio hivo hatujui kiundani what really the obstacle behind

Ila kuna mda nae anasahau kabisa professional yake anaanza kushabikia pumba za ccm kuwin teuzi. He should learn the strong men are those who stend alone
yes, "the strongest man in the world is he who stands alone"
--- by Dr. Thomas Stockmann (AN ENEMY OF THE PEOPLE)
 
Tatizo la Paschal ni kutokuwa na msimamo, huku anataka na kule anataka, kote anakosa
 
Kinachouma umri wake unakaribia 60,Taifa limeshindwa kabisa kuvuna maarifa yake kwa faida ya wote,sio haki
Yeye mwenyewe ndio aliharibu njia yake...watu wakaamua kumharibia.....

We fikiria alikuwa anaomba hadi chupi kwa wakubwa.......hadi mama wa watu anampigia magoti asiandike habari zake.....anamuomba miguu. Lazima wamzibie kupenyaa
 
Yeye mwenyewe ndio aliharibu njia yake...watu wakaamua kumharibia.....

We fikiria alikuwa anaomba hadi chupi kwa wakubwa.......hadi mama wa watu anampigia magoti asiandike habari zake.....anamuomba miguu. Lazima wamzibie kupenyaa
Hii sijaipata hebu dadavua mkuu
 



Biblia yenyewe haijui, niliwasihi wazee wa Mtaa wake wamfukuze Jumuia.
 
Yeye mwenyewe ndio aliharibu njia yake...watu wakaamua kumharibia.....

We fikiria alikuwa anaomba hadi chupi kwa wakubwa.......hadi mama wa watu anampigia magoti asiandike habari zake.....anamuomba miguu. Lazima wamzibie kupenyaa
Hebu tuache mambo mengine bhana sio fresh kumpaka matope hivi.. Staha itawale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…