Paskali Mayala, mbona huleti "analysis" ni nini zitakuwa athari kisiasa za uamuzi wowote kesi ya Mbowe?

Paskali Mayala, mbona huleti "analysis" ni nini zitakuwa athari kisiasa za uamuzi wowote kesi ya Mbowe?

Remember, Mbowe failed miserably by scoring ZERO in his ACSEE.

Sadly, today he pulls and uses a ton of hopeless gays to his advantages.
And can you compare Mbowe and Musukuma and so and so in our CCM? Forma education does not always matter!
 
Mkuu Unataka kumwagia mchanga kitumbua. Hii kesi sio ya kukurupukia. Ni kesi kubwa sana.
Kubwa ya wapi? Mashahidi wote wanasema ni hearsay na chooni hawabanduki, kwa Daktari pia hivyo hivyo na Judge anasema waende tu kwa daktari ili waendelee kula per diem yao... si waifute tu.. ya nini kung'ang'ania mambo? Unga hautoshi ya nini kulazimisha kupika ugali mbichi na kuendelea kuhala kila baada ua dakika 10 ?
 
Hii kesi kuiita kubwa sana ni kulikosea neno hilo heshima. Hii kesi ni AIBU sana kuwa kesi kwenye nchi ya watu wastaarabu.
Yeah. Ni aibu kubwa.

Ni kama vile kuna “mtu mkubwa” aliyeamua kuadhirisha na kudhalilisha Ofisi ya DPP, Polisi na JWTZ kwa pamoja mbele ya umma wa Watanzania kwa makusudi kabisa.

Sijui kwa lengo gani hasa? Yaani kumfix Mbowe tu ndiyo itumike “gharama” kubwa kiasi hicho? Labda walifikiri kwamba watanzania wengi hawatakuwa na interest kufuatilia kesi hiyo au hawana uelewa wa mchakato wa kimahakama. Big embarrassment; aibu kubwa!
 
Tafuta pesa usaidie familia yako.

Ukiona matokeo yote unayohisi, wewe hujihusishi ujue hakuna kitakachoendelea. Hata kama Mbowe akifungwa, Maisha yataendelea kama kawaida.

Hakuna mbongo Yuko tayari kuumia kwasababu ya mtu. Wabongo Ni mabinhwa sana wa MIHEMKO na USHABIKI.

KILA mtu anataka akiamka, anaoga anavaa vizuri, ana pesa ya bando, baadaye anakaa kwenye viti virefu anashabikia tu huko Twitter.

" Duuh, aisee, makamanda ni noma Leo wamekinukisha balaaa.........[emoji3]

Au unakaa unawaza Mara Wazungu sijui watasaidia Nini, hakuna kitu.

Kwa lugha rahisi Ni kwamba watawala wanna uwezo wa kufanya chochote na wewe hakuna kitu utafanya zaidi ya kununua kibando kulalamika mitandaoni.
Sio kila mtu anatafuta pesa wengine pesa zinawatafuta
 
Back
Top Bottom