Passport ya Tundu Lissu iliibwaje akiwa Ujerumani?

Lissu kasema ameomba passport mpya na wamemzungusha?

Halafu, kama ulichodai ni kweli, kwa nini haya yanatokea chini ya Samia?
 
Mwendazake aliamrisha awindwe auliwe. Mtu anayepaswa kuuliwa kama ngedere anaweza kupewa passport?

Jaribu kutumia akili zako vizuri utaelewa.
Hiyo aliyokuwa nayo ambayo imepotea, aliipataje?

Alipewa? Aliiokota? Alijitengenezea mwenyewe?
 
Lisu angeibiwa hivyo huko twitter kusingekalika kwa mijadala lukuki toka kwa wana space

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo unadhani Rais hawezi kuwa na ufahamu kwa jambo kama hilo? Anao watu wakuweza kumpa ukweli ndani ya serikali.
Chama chenu pekee ndicho chenye washauri hopeless lakini serikalini wapo wenye weledi na ndio hao wamemshauri atenge muda mchache wa ziara yake kuongea na Lissu
 
Huu Uzi umenifanya niwafahamu watu upeo wa akili zao,nilidhani wana akili ni ma great thinker kumbe hata Ku reason kitu kidogo hiki wameshindwa![emoji848][emoji848]
Kwanini madame?
 
Unyamaze kuhoji vitu ambavyo huwezi kuvielezea unapoulizwa, huna utofauti na mashahdi wa michongo kazi kujikojolea wanapoulizwa na kujifanya wagonjwa.
Nafanya chochote kile ninachotaka kufanya na huwezi kunifanya kitu!
 
Naunga mkono hoja, dhumuni lilikuwa ni kudhibiti safari zake
 
Siasa za Africa wapo watu wanazuia wengine kupata haki yao Rais ndio mwenye maamuzi juu ya vikwazo hivyo...

Haya masuala hayako Africa tu ni Global mzee baba. Tena afadhali huku Africa, lakin kwa mtu aina ya TAL (uzalendo ulipungua, kutaka Tanzania kushitakiwa Na kuzuiliwa ama kushikiliwa kwa mali za Taifa nyakati za Makinikia Na Acacia)ingekuwa ni kwa baadhi ya nchi kama za magharibi pengine asingekuwepo Duniani akipumua au kupata nafasi ya kuzungumza Na Mh Rais kama aliyoipata. Ni agharabu sana.
 
Nafanya chochote kile ninachotaka kufanya na huwezi kunifanya kitu!
Ninaouwezo na sema SUU hapo ulipo uangalie nitakachokufanya unaona tumo humu kwa bahati mbaya tu kwasbaabu tunaandika jumbe. Ila uache upuuzi wako nitakachkufnya usijekujakulia humu.
 
Hajamuomba Rais amsaidie, amesema amehakikishiwa kuwa atapata hati ya kusafiria... hajasema ataipata kwa namna ipi
 
Inaelekea watu bado wanafanya kazi kama awamu iliyopita...zama zile kutoa passport kwa mtu kama Tundu Lissu ni kujitafutia kutumbuliwa tu....taratitu zinaaply kwa wananchi wa kawaida tu...
 
Duh! Kumbe alishajilipua. Lissu, alidhamilia kweli kubaki huko. Hivi, amemuonyesha Mama "lost report" ya polisi?
====
Swali lililo kwenye heading ya uzi huu lijibiwe.
Hujui hata maana ya kujilipua?

Unajilipua kama nchi unayoenda hawajui kiukweli unatoka wapi. Kwa mfano Mtanzania anajilipua na kuwa mkimbizi wa Rwanda.
Suala la Lissu linajulikana Kwahiyo hana haja ya kutupa passport yake ya Tanzania. Wanaompa ukimbizi wanajua yeye ni mtanzania na ana passport ya Tanzania
 
Maandishi yanayojibu hoja na zaidi.
Mjadala huu sasa ufungwe rasmi maana majibu yote yapo hapa kwenye maandishsi haya ya ndugu tutafikatu .
Kongole kwako tutafikatu .
 
Naona mna hasira kwelikweli,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…