Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
-
- #201
Lissu kasema ameomba passport mpya na wamemzungusha?Kuibiwa passports kwenye hizo trains za Europe kitu cha kawaida sana. Kuna Waturuki wengi tu wanaiba bags hasa za laptop na ukiweka passport humo inakwenda.
Sasa Lissu kaenda kuomba passport mpya na wanamzungusha tu. kumbuka huyo Sokoine alipoteza cheo kwa kwenda kumuona Lissu hospitali .
Mwendazake aliamrisha awindwe auliwe. Mtu anayepaswa kuuliwa kama ngedere anaweza kupewa passport?But why?
Siasa za Africa wapo watu wanazuia wengine kupata haki yao Rais ndio mwenye maamuzi juu ya vikwazo hivyo...
Basi unyamaze.Kawaulize waliomnyima. Mimi sikumnyima!
Hiyo aliyokuwa nayo ambayo imepotea, aliipataje?Mwendazake aliamrisha awindwe auliwe. Mtu anayepaswa kuuliwa kama ngedere anaweza kupewa passport?
Jaribu kutumia akili zako vizuri utaelewa.
Ninyamazishe tuone…Basi unyamaze.
Kwa hiyo unadhani Rais hawezi kuwa na ufahamu kwa jambo kama hilo? Anao watu wakuweza kumpa ukweli ndani ya serikali.Lisu angeibiwa hivyo huko twitter kusingekalika kwa mijadala lukuki toka kwa wana space
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Unyamaze kuhoji vitu ambavyo huwezi kuvielezea unapoulizwa, huna utofauti na mashahdi wa michongo kazi kujikojolea wanapoulizwa na kujifanya wagonjwa.Ninyamazishe tuone…
Kwanini madame?Huu Uzi umenifanya niwafahamu watu upeo wa akili zao,nilidhani wana akili ni ma great thinker kumbe hata Ku reason kitu kidogo hiki wameshindwa![emoji848][emoji848]
Nafanya chochote kile ninachotaka kufanya na huwezi kunifanya kitu!Unyamaze kuhoji vitu ambavyo huwezi kuvielezea unapoulizwa, huna utofauti na mashahdi wa michongo kazi kujikojolea wanapoulizwa na kujifanya wagonjwa.
Naunga mkono hoja, dhumuni lilikuwa ni kudhibiti safari zakeTundu Anthipas Lissu ni mwanasheria na msomi. Sina wasiwasi kuwa alishafuatilia taratibu zote, lakini mamlaka zinazohusika haziwezi kufanyia kazi maombi yake kwa hofu iliyojengwa na watawala hasa utawala uliopita wa ile awamu ya giza.
Waliomwibia Lissu passport yawezekana walitumwa kumdhuru na/au kumwibia nyaraka mbalimbali anazofanyia kazi. Nina imani kuwa hizo nyaraka na passport zipo Tanzania zimekaa tu mezani kwa mtu.
Kwa mazingira hayo, ilifaa Lissu apeleke ombi lake kwa Rais ambaye anaweza kutoa tamko tu na wahusika wakaondoa hayo mambo machafu yanayoendelea kuiweka Tanzania katika zama za ujinga na giza.
Siasa za Africa wapo watu wanazuia wengine kupata haki yao Rais ndio mwenye maamuzi juu ya vikwazo hivyo...
Ndo utaratibu wa serikali ya mama. Mwendazake hakuruhusu upuuzi huu.Kwa hiyo wale ambao hatujuani na watu walioko kwenye hizi idara nyeti ndo hatuna letu kabisa?
Ninaouwezo na sema SUU hapo ulipo uangalie nitakachokufanya unaona tumo humu kwa bahati mbaya tu kwasbaabu tunaandika jumbe. Ila uache upuuzi wako nitakachkufnya usijekujakulia humu.Nafanya chochote kile ninachotaka kufanya na huwezi kunifanya kitu!
Hajamuomba Rais amsaidie, amesema amehakikishiwa kuwa atapata hati ya kusafiria... hajasema ataipata kwa namna ipiSijaelewa kabisa!
Tundu Lissu kasema kuwa amemuomba Rais Samia amsaidie kupata passport mpya kwa sababu aliyokuwa nayo iliibwa mwezi uliopita huko Ujerumani.
Aliyeiiba hiyo passport ni nani? Na iliibwa au yeye aliipoteza na anachanganya kupoteza na kuibwa?
Na kama iliibwa, kwa nini hilo liwe suala la Rais kumsaidia yeye aipate tena passport yake?
Kwani hakuna taratibu za kufuata pale passport yako inapoibwa au inapopotea mpaka yeye amtumie Rais kuipata mpya?
Kwa kweli kwenye hili sijamuelewa!
Hujui hata maana ya kujilipua?Duh! Kumbe alishajilipua. Lissu, alidhamilia kweli kubaki huko. Hivi, amemuonyesha Mama "lost report" ya polisi?
====
Swali lililo kwenye heading ya uzi huu lijibiwe.
Maandishi yanayojibu hoja na zaidi.Kwamba huelewi anaposema ameibiwa passport? Kama aliibiwa mkoba wenye passport, leseni, pesa, nguo za ndani, kitabu cha katiba ya chama chake na vitu vingine, je alipaswa avitaje vyote?
Suala la nani aliiba passport anajua aliyeiba. Inawezekana ni wale ambao hawataki arudi Tanzania.
Kuhusu kumwambia Rais, ukiacha kuwa Rais ni taasisi, anayeshika nafasi ni mtu. Kila mtu huomba msaada kwa mtu mwenye connection na kitu fulani. Kama wewe una jamaa uhamiaji kwani ni shida kuomba msaada? Sasa yeye kakutana na mtu mwenye nafasi ya juu, na inawezekana alikuwa anakataliwa kupewa passport nyingine. Kaomba msaada kwa mtu mwenye connection naye.
Naona mna hasira kwelikweli,,Ninachokiona hapo ni kuwa Tudu Lissu hakutegemea kama mama atakutana nae, alipoomba kukutana nae alikuwa katupa turufu na alishakuwa na jibu la kukataliwa kuonana nae kwa 100%, ili apayuke kisiasa. Mama kamziba mdomo na akawa hana la kusema hajui amwambie nini, akaanza kubwabwaja.