white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Unajua watendaji wetu, wakishajua/kuhisi labda huelewani na Mkuu wao, unapokuwa na tatizo na ukafika ofisi, kila mmoja anaogopa kwa kuhisi atachukuliwa ni msaliti!!na siasa zetu bila unafiki haziendi, unaweza kuta wala kiongozi hajatoa amri ya kuwa ukwamishwe ila wapambe ndio tatizo!!utaona kuanzia leo hata kama rais asipotoa maelekezo na hana haja ya kutoa, lakini ndani ya siku 3, unaweza sikia tayari lisu ameshakabidhiwa passport yake!!Sasa kama passport ya Lissu imepotea mwezi uliopita, ambayo ni ndani ya miezi 10 ya Rais Samia, shida iko wapi? Samia naye kawaelekeza watu wa ubalozi wamfanyie figisu Lissu?
Watu kufanya kazi kwa kuhisi hisi ni mbaya sana aisee!Unajua watendaji wetu, wakishajua/kuhisi labda huelewani na Mkuu wao, unapokuwa na tatizo na ukafika ofisi, kila mmoja anaogopa kwa kuhisi atachukuliwa ni msaliti!!na siasa zetu bila unafiki haziendi, unaweza kuta wala kiongozi hajatoa amri ya kuwa ukwamishwe ila wapambe ndio tatizo!!utaona kuanzia leo hata kama rais asipotoa maelekezo na hana haja ya kutoa, lakini ndani ya siku 3, unaweza sikia tayari lisu ameshakabidhiwa passport yake!!
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Ninachokiona hapo ni kuwa Tudu Lissu hakutegemea kama mama atakutana nae, alipoomba kukutana nae alikuwa katupa turufu na alishakuwa na jibu la kukataliwa kuonana nae kwa 100%, ili apayuke kisiasa. Mama kamziba mdomo na akawa hana la kusema hajui amwambie nini, akaanza kubwabwaja.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndo akamwomba na passport? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ww unachangia mqda ipiPassport kitu bhana watu wanapoteza hela ndio maana kuna balozi kwenye hizo Nchi cha kwanza ukifika ni kutoa taarifa ili ukipata matatizo yeyote inakua rahisi wao sehemu ya kuanzia kwa wasafiri kupoteza passport ishu ya kawaida tuu unaongea kama vile upo kwa Mpalange wakati unajinasibu upo Nje.
Sijaelewa kabisa!
Tundu Lissu kasema kuwa amemuomba Rais Samia amsaidie kupata passport mpya kwa sababu aliyokuwa nayo iliibwa mwezi uliopita huko Ujerumani.
Aliyeiiba hiyo passport ni nani? Na iliibwa au yeye aliipoteza na anachanganya kupoteza na kuibwa?
Na kama iliibwa, kwa nini hilo liwe suala la Rais kumsaidia yeye aipate tena passport yake?
Kwani hakuna taratibu za kufuata pale passport yako inapoibwa au inapopotea mpaka yeye amtumie Rais kuipata mpya?
Kwa kweli kwenye hili sijamuelewa!
Mimi sitishi nafanya kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lisu angeibiwa hivyo huko twitter kusingekalika kwa mijadala lukuki toka kwa wana space
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiyo shida ilikuwa inaletwa na watu wenye hofu tuHiyo shida ni nani sasa aliyekuwa anaileta? Na alikuwa anaileta kwa maagizo kutoka wapi? Juu? Katikati? Chini?
[emoji23][emoji23][emoji23]Yani shangaa mkuu![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haki ya nani
Anayedhani amesimama aangalie asianguke...dunia inazidi kusonga mbeleSijaelewa kabisa!
Tundu Lissu kasema kuwa amemuomba Rais Samia amsaidie kupata passport mpya kwa sababu aliyokuwa nayo iliibwa mwezi uliopita huko Ujerumani.
Aliyeiiba hiyo passport ni nani? Na iliibwa au yeye aliipoteza na anachanganya kupoteza na kuibwa?
Na kama iliibwa, kwa nini hilo liwe suala la Rais kumsaidia yeye aipate tena passport yake?
Kwani hakuna taratibu za kufuata pale passport yako inapoibwa au inapopotea mpaka yeye amtumie Rais kuipata mpya?
Kwa kweli kwenye hili sijamuelewa!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23]Yani shangaa mkuu!
Eti Lisu aibiwe pasport alafu akae kimya?
Inawezekana Lisu alikuwa ameshaukana uraia wa tz
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Wacha porojo wewee, achana na mimi. Soma na jibu hoja.Wewe haya uliyoyaandika umebwabwaja.
Mnapenda sana wenzenu wafikwe nimatatizo huku mkicheka na kutoa kejeli na kila siku unajifanya ulamaa wa dini humu kumbe buyu tupu.
Ulichokiona tu?????
Tatizo jamaa anafikiri Ulaya hamna vibaka.Kwamba huelewi anaposema ameibiwa passport? Kama aliibiwa mkoba wenye passport, leseni, pesa, nguo za ndani, kitabu cha katiba ya chama chake na vitu vingine, je alipaswa avitaje vyote?
Suala la nani aliiba passport anajua aliyeiba. Inawezekana ni wale ambao hawataki arudi Tanzania.
Kuhusu kumwambia Rais, ukiacha kuwa Rais ni taasisi, anayeshika nafasi ni mtu. Kila mtu huomba msaada kwa mtu mwenye connection na kitu fulani. Kama wewe una jamaa uhamiaji kwani ni shida kuomba msaada? Sasa yeye kakutana na mtu mwenye nafasi ya juu, na inawezekana alikuwa anakataliwa kupewa passport nyingine. Kaomba msaada kwa mtu mwenye connection naye.
Kaka nimekuelewa. Yaani unachimba chini kabisa. Hapo nafikiri ni Lissu mwenyewe ana majibu. Huenda kwa hali ilivyokuwa wahusika walihofia kurudishwa home, naye akaona awe mtulivu lkn Mungu si Athuman, mwenye kil kitu kwa mujibu wa Katiba amekutana naye, afanyeje sasa? Kaomba ya umma na yake binafsi.Taratibu za kupata passport mpya kama uliyokuwa nayo imepotea, zipo wazi.
Kwanini uombe msaada wa Rais?
Kama alikuwa anakataliwa, alikuwa anakataliwa kwa misingi gani?
Bado sielewi aisee!
Ila kweli aisee….halafu aende ubalozini wamzungushe na yeye akae tu kimya hadi Samia alipoenda Ubelgiji? Hmmm 🤔[emoji23][emoji23][emoji23]Yani shangaa mkuu!
Eti Lisu aibiwe pasport alafu akae kimya?
Inawezekana Lisu alikuwa ameshaukana uraia wa tz
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Yani hiyo ilikuwa agenda tosha kwake na wafuasi wake na angeitengenezea picha kwamba bado anawindwa hata huko alikoIla kweli aisee….halafu aende ubalozini wamzungushe na yeye akae tu kimya hadi Samia alipoenda Ubelgiji? Hmmm [emoji848]