Passport ya Tundu Lissu iliibwaje akiwa Ujerumani?

Passport ya Tundu Lissu iliibwaje akiwa Ujerumani?

Sasa kama passport ya Lissu imepotea mwezi uliopita, ambayo ni ndani ya miezi 10 ya Rais Samia, shida iko wapi? Samia naye kawaelekeza watu wa ubalozi wamfanyie figisu Lissu?
Unajua watendaji wetu, wakishajua/kuhisi labda huelewani na Mkuu wao, unapokuwa na tatizo na ukafika ofisi, kila mmoja anaogopa kwa kuhisi atachukuliwa ni msaliti!!na siasa zetu bila unafiki haziendi, unaweza kuta wala kiongozi hajatoa amri ya kuwa ukwamishwe ila wapambe ndio tatizo!!utaona kuanzia leo hata kama rais asipotoa maelekezo na hana haja ya kutoa, lakini ndani ya siku 3, unaweza sikia tayari lisu ameshakabidhiwa passport yake!!
 
Unajua watendaji wetu, wakishajua/kuhisi labda huelewani na Mkuu wao, unapokuwa na tatizo na ukafika ofisi, kila mmoja anaogopa kwa kuhisi atachukuliwa ni msaliti!!na siasa zetu bila unafiki haziendi, unaweza kuta wala kiongozi hajatoa amri ya kuwa ukwamishwe ila wapambe ndio tatizo!!utaona kuanzia leo hata kama rais asipotoa maelekezo na hana haja ya kutoa, lakini ndani ya siku 3, unaweza sikia tayari lisu ameshakabidhiwa passport yake!!
Watu kufanya kazi kwa kuhisi hisi ni mbaya sana aisee!
 
Ninachokiona hapo ni kuwa Tudu Lissu hakutegemea kama mama atakutana nae, alipoomba kukutana nae alikuwa katupa turufu na alishakuwa na jibu la kukataliwa kuonana nae kwa 100%, ili apayuke kisiasa. Mama kamziba mdomo na akawa hana la kusema hajui amwambie nini, akaanza kubwabwaja.
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]

Pep
 
  • Dislike
Reactions: Pep
Passport kitu bhana watu wanapoteza hela ndio maana kuna balozi kwenye hizo Nchi cha kwanza ukifika ni kutoa taarifa ili ukipata matatizo yeyote inakua rahisi wao sehemu ya kuanzia kwa wasafiri kupoteza passport ishu ya kawaida tuu unaongea kama vile upo kwa Mpalange wakati unajinasibu upo Nje.
Ww unachangia mqda ipi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijaelewa kabisa!

Tundu Lissu kasema kuwa amemuomba Rais Samia amsaidie kupata passport mpya kwa sababu aliyokuwa nayo iliibwa mwezi uliopita huko Ujerumani.

Aliyeiiba hiyo passport ni nani? Na iliibwa au yeye aliipoteza na anachanganya kupoteza na kuibwa?

Na kama iliibwa, kwa nini hilo liwe suala la Rais kumsaidia yeye aipate tena passport yake?

Kwani hakuna taratibu za kufuata pale passport yako inapoibwa au inapopotea mpaka yeye amtumie Rais kuipata mpya?

Kwa kweli kwenye hili sijamuelewa!

Mazingira ya Lissu kuibiwa Passport yanaweza kweli kuwa tata, ila swala la yeye kuomba Rais asaidie yeye kupata Passport nyingine nalitazama kwa kuzingatia mazingira aliyo ondokea Lissu baada ya uchaguzi 2020. Passport ilipatikana kwa kuwa fasttracked na wale Mabalozi waliokuwa wamempa hifadhi ubalozini. Bila Rais kutoa maelekezo unatarajia maafisa uhamiaji wampe ushirikiano?
 
Sijaelewa kabisa!

Tundu Lissu kasema kuwa amemuomba Rais Samia amsaidie kupata passport mpya kwa sababu aliyokuwa nayo iliibwa mwezi uliopita huko Ujerumani.

Aliyeiiba hiyo passport ni nani? Na iliibwa au yeye aliipoteza na anachanganya kupoteza na kuibwa?

Na kama iliibwa, kwa nini hilo liwe suala la Rais kumsaidia yeye aipate tena passport yake?

Kwani hakuna taratibu za kufuata pale passport yako inapoibwa au inapopotea mpaka yeye amtumie Rais kuipata mpya?

Kwa kweli kwenye hili sijamuelewa!
Anayedhani amesimama aangalie asianguke...dunia inazidi kusonga mbele
 
Wewe haya uliyoyaandika umebwabwaja.

Mnapenda sana wenzenu wafikwe nimatatizo huku mkicheka na kutoa kejeli na kila siku unajifanya ulamaa wa dini humu kumbe buyu tupu.

Ulichokiona tu?????
Wacha porojo wewee, achana na mimi. Soma na jibu hoja.

Achana kabisa na mtoa hoja, humjui hakujui.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Kwamba huelewi anaposema ameibiwa passport? Kama aliibiwa mkoba wenye passport, leseni, pesa, nguo za ndani, kitabu cha katiba ya chama chake na vitu vingine, je alipaswa avitaje vyote?

Suala la nani aliiba passport anajua aliyeiba. Inawezekana ni wale ambao hawataki arudi Tanzania.

Kuhusu kumwambia Rais, ukiacha kuwa Rais ni taasisi, anayeshika nafasi ni mtu. Kila mtu huomba msaada kwa mtu mwenye connection na kitu fulani. Kama wewe una jamaa uhamiaji kwani ni shida kuomba msaada? Sasa yeye kakutana na mtu mwenye nafasi ya juu, na inawezekana alikuwa anakataliwa kupewa passport nyingine. Kaomba msaada kwa mtu mwenye connection naye.
Tatizo jamaa anafikiri Ulaya hamna vibaka.
 
Taratibu za kupata passport mpya kama uliyokuwa nayo imepotea, zipo wazi.

Kwanini uombe msaada wa Rais?

Kama alikuwa anakataliwa, alikuwa anakataliwa kwa misingi gani?

Bado sielewi aisee!
Kaka nimekuelewa. Yaani unachimba chini kabisa. Hapo nafikiri ni Lissu mwenyewe ana majibu. Huenda kwa hali ilivyokuwa wahusika walihofia kurudishwa home, naye akaona awe mtulivu lkn Mungu si Athuman, mwenye kil kitu kwa mujibu wa Katiba amekutana naye, afanyeje sasa? Kaomba ya umma na yake binafsi.
Tuiombee nchi yetu iende mbele. Japo wale walioshtukia wamepitishwa bila kupingwa watamind sana haya mazuri yanayoendelea
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Yani shangaa mkuu!
Eti Lisu aibiwe pasport alafu akae kimya?

Inawezekana Lisu alikuwa ameshaukana uraia wa tz

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Ila kweli aisee….halafu aende ubalozini wamzungushe na yeye akae tu kimya hadi Samia alipoenda Ubelgiji? Hmmm 🤔
 
Back
Top Bottom