Mama kamziba mdomo na akawa hana la kusema hajui amwambie nini, akaanza kubwabwaja.Hebu usimjadili mtoa mada jaribu hoja zake.
Mtoa mada yupo mambele.
Umemjibu vizuri sana huyo adui nambari moja wa mh lissuPassport kitu bhana watu wanapoteza hela ndio maana kuna balozi kwenye hizo Nchi cha kwanza ukifika ni kutoa taarifa ili ukipata matatizo yeyote inakua rahisi wao sehemu ya kuanzia kwa wasafiri kupoteza passport ishu ya kawaida tuu unaongea kama vile upo kwa Mpalange wakati unajinasibu upo Nje.
Huna uwezo kuelewa wewe mtu asiye julikana.Duh!
Sijakuelewa aisee.
Hongera sana kwa majibu mazuri sanaKwamba huelewi anaposema ameibiwa passport? Kama aliibiwa mkoba wenye passport, leseni, pesa, nguo za ndani, kitabu cha katiba ya chama chake na vitu vingine, je alipaswa avitaje vyote?
Suala la nani aliiba passport anajua aliyeiba. Inawezekana ni wale ambao hawataki arudi Tanzania.
Kuhusu kumwambia Rais, ukiacha kuwa Rais ni taasisi, anayeshika nafasi ni mtu. Kila mtu huomba msaada kwa mtu mwenye connection na kitu fulani. Kama wewe una jamaa uhamiaji kwani ni shida kuomba msaada? Sasa yeye kakutana na mtu mwenye nafasi ya juu, na inawezekana alikuwa anakataliwa kupewa passport nyingine. Kaomba msaada kwa mtu mwenye connection naye.
Tatizo huna akili ya kujua kinachoendeleaSasa raiis anatoa passport? Kwani utaratibu hsufahamiki? Namwona samia akicheza na nyani.
Hutaki lissu kuomba msaada kwa rais wa nchi yake?Taratibu za kupata passport mpya kama uliyokuwa nayo imepotea, zipo wazi.
Kwanini uombe msaada wa Rais?
Kama alikuwa anakataliwa, alikuwa anakataliwa kwa misingi gani?
Bado sielewi aisee!
Hatujui the whole story yet.Sasa si mjibu hoja za mtoa mada
Mbona mnamtetea huyo Lissu kwa kila kituπ
Hutaki kajinyongeUtaratibu unajulikana kabisa.
Umeona wapi ? Kwani na wewe upo Ubelgiji ?Ninachokiona hapo ni kuwa Tudu Lissu hakutegemea kama mama atakutana nae, alipoomba kukutana nae alikuwa katupa turufu na alishakuwa na jibu la kukataliwa kuonana nae kwa 100%, ili apayuke kisiasa. Mama kamziba mdomo na akawa hana la kusema hajui amwambie nini, akaanza kubwabwaja.
Nipumzishe kidogo lol!Hatujui the whole story yet.
Pengine kuna mambo hapo Tundu hajayazungumza.
___________
Hilo hapo ni jibu tayari nimekupa.
Unless mmekuja na majibu yenu mfukoni.
Embu kwanza nikurarue dislikes π€£π€£π€£
Sasa kwanini asifwate taratibu za kuipata!Mama kamziba mdomo na akawa hana la kusema hajui amwambie nini, akaanza kubwabwaja.
Unafahamu maana ya hoja?
Unajua hoja inatakiwa iweje hadi iitwe hoja?
Tundu kuzungumza haya hapa, mtu anaita kubwbwaja and you call that hoja?
Hii kumassumia ni gani... ama ni ki'mbarali π€£π€£Kwanini mnapenda kumassumia Lissu?π€£
Alisema yeye na Magufuli ni kitu kimoja, kuna minions wa jiwe waliojaa kwenye system wanaamini hivyo.Lissu kasema ameomba passport mpya na wamemzungusha?
Halafu, kama ulichodai ni kweli, kwa nini haya yanatokea chini ya Samia?
ππππHii kumassumia ni gani... ama ni ki'mbarali π€£π€£
Ukinidhibitishia hapa kwamba hajafuata taratibu, your point is valid.Sasa kwanini asifwate taratibu za kuipata!
Mbona unamtetea sana babe?πππ
Reasoning mtoto mzuri, reasoning....let us reason with factsππππ
Si nyie hapo mna mahaba naye kiasi kwamba mnamtetea kwa kila kitu.
Usiwe na mahaba maandazi bhana.
Kwahiyo hujaziona facts kwenye hii mada?Reasoning mtoto mzuri, reasoning....let us reason with facts
Sasa kama si mara ya kwanza kwanini asiende kurenew?Ukinidhibitishia hapa kwamba hajafuata taratibu, your point is valid.
Lakini bila hilo, hii sio hoja bado.
Tundu sio mara ya kwanza kutafuta ama ku renew passport.
Anafahamu process.
Hiyo iliyopotea nani alimtafutia? Hayati Magufuli? Rais Samia? ama ni JK?
Hivi mimi nikisema sasa hivi kwamba nimekosa ada ya shule, naitisha harambee nichangiwe....hilo litamaanisha sikujaribu pengine kukopa ila nikakosa?
The fact Tundu haja mention kwamba ame fail kupata pass yake kwa njia rasmi ina negate kwamba hajafuata hizo njia?
Si nyie mna assume mambo kwa niaba yakeHii kumassumia ni gani... ama ni ki'mbarali π€£π€£