Patrick Mfugale katika umri wa miaka 71 alikuwa anafanya nini ofisi ya umma?

Peleka jukwaa la kimataifa...

hivi huko Marekani hakuna ma forum mengine mukamjadili Dr. Fauci na Wamarekani wenzenu ??????

mods ondoa huu uchafuzi wa mada hapa tafadhali...
Relax dada angu. Elewa kwanza mada na ujue Fauci amehusishwaje hapo.

Usikurupikie kila kitu mtoto mzuri kabla ya kuelewa mama angu utakuja kupigwa miti bila kujielewa.
 
Kwani hawawezi kumtumia kama consultant, yaani unavuka miaka 60 bado unakalia ofisi ya umma kama Chief Executive....huo ndo uroho wa madaraka tunaosema, watu wa design hii unaweza kuta wanatumia hadi ndumba....
Pengine alikuwa Consultant kwenye nafasi hiyo ya Mtendaji Mkuu.

Huko nyuma TANROADS ilishakuwa na watendaji wakuu maconsultant kutoka nje.
 
Kwa hiyo hatutakiwi kujadili watu... okay

na walio hai nao tusiwajadili ? Viongozi, ma Rais, mawaziri, ni sawa kuwajadili au pia ni kipoteza muda ?
Great minds discuss ideas. Small minds discuss people. Endelea kujadili watu.
 
Wamemuacha babu wa watu mpaka kashfa ya ripoti ya Kichere imemuua, alipohojiwa presha ikapanda. Ila Kichere nae kaitoa kama ilivyo Tanroad wamelipa mikataba mara mbilimbili January to March 2021.
Kama kuna ukweli flani vile
 
Great minds discuss ideas. Small minds discuss people. Endelea kujadili watu.
Tusijadili mtu aliyekula mshahara wa umma maisha yake yote kweli acha hizo mkuu,huwezi kuzuia kiongozi wa umma kujadiliwa
 
Whaaaaat. Huhuhuhuhuhuuuuu. Dahhhhhhhh. Kweli ilikuwa ni conduit ya kupigia pesa. Hii inabidi iingie Giness Book.
 
Mbele ya JPM ungeanzia wapi.Ujui tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…