The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Relax dada angu. Elewa kwanza mada na ujue Fauci amehusishwaje hapo.Peleka jukwaa la kimataifa...
hivi huko Marekani hakuna ma forum mengine mukamjadili Dr. Fauci na Wamarekani wenzenu ??????
mods ondoa huu uchafuzi wa mada hapa tafadhali...
Mwacheni apumzike. Haya ulikuwa na uwezo wa kuyasema akiwa hai.
1963!! kazi kweli kweliInawezekana kwenye nyaraka za ofisi ikaonesha born1963
Pengine alikuwa Consultant kwenye nafasi hiyo ya Mtendaji Mkuu.Kwani hawawezi kumtumia kama consultant, yaani unavuka miaka 60 bado unakalia ofisi ya umma kama Chief Executive....huo ndo uroho wa madaraka tunaosema, watu wa design hii unaweza kuta wanatumia hadi ndumba....
Mkuchika mmemsahau....Kuna watu wengi wapo kazini wakiwa na umri mkubwa sana.mfano fuatilia wakuu wa mikoa na makatibu tawala utakubaliana nami.
Great minds discuss ideas. Small minds discuss people. Endelea kujadili watu.Kwa hiyo hatutakiwi kujadili watu... okay
na walio hai nao tusiwajadili ? Viongozi, ma Rais, mawaziri, ni sawa kuwajadili au pia ni kipoteza muda ?
Kama kuna ukweli flani vileWamemuacha babu wa watu mpaka kashfa ya ripoti ya Kichere imemuua, alipohojiwa presha ikapanda. Ila Kichere nae kaitoa kama ilivyo Tanroad wamelipa mikataba mara mbilimbili January to March 2021.
Hii hai apply kwa wanasiasa,viongozi wala wana celebrities....umefeli!!Great minds discuss ideas. Small minds discuss people. Endelea kujadili watu.
SawaHii hai apply kwa wanasiasa,viongozi wala wana celebrities....umefeli!
Wanastaafu na kuvuta mafao then anaajiriwa kwa mkataba huku mafao yake kashaweka mfukoni.Kwa hiyo hao waoga sheria ya kustaafu haiwagusi
Kichere na ripoti ya January- March imemuondoa duniani.Any law has an exception in it mkuu /upo hapo ! Huwez kumtoa Mfugale kisa amefikia umri wa kustaafu na ukamweka kanjanja ili apige fedha za umma a big NO
Whaaaaat. Huhuhuhuhuhuuuuu. Dahhhhhhhh. Kweli ilikuwa ni conduit ya kupigia pesa. Hii inabidi iingie Giness Book.Umri sahihi wa kustaafu utumushi wa umma ni miaka 55 kwa hiari na miaka 60 kwa lazima, japo kanuni zinaruhusu kuendelea kutumikia umma kwa mkataba wa miaka miwili miwili, Mfugale hajawahi kustaafu na amekuwa akiongezewa mikataba juu kwa juu.
Madhara yake mnabana nafasi za ajira kwa wengine.
RIP Mfugale 1950-2021
πππΆππKichere na ripoti ya January- March imemuondoa duniani.
Mbele ya JPM ungeanzia wapi.Ujui tuKuna wakati nilipomuona akiwa kazini anakagua mabarabara nilimuonea huruma kwa hali yake ya kiafya, nilijiuliza kwanini hapumzishwi au kwanini yeye haombi kupumzika? Maskini! hadi amefia kazini.
Hili ni fundisho pia kwa watumishi wengine wenye umri mkubwa au wana matatizo ya kiafya ni vyema wakaomba kustaafu kwa hiyari ili wapate muda wa kupumzisha miili yao kuliko kuifia kazini.
Kumbukeni kazi na afya, Afya yako/uhai wako ni muhimu sana kuliko kazi, ukifa leo kesho tunateua mwengine anashika nafasi yako.
wazee mnaotaka kuifia kazini pumzikeni, pisheni vijana nao wapige kazi.
Kichambo siku hizi hakiogopi marehemu kinamfata huko hukoMwacheni apumzike. Haya ulikuwa na uwezo wa kuyasema akiwa hai.