TANZIA Patrick Mfugale wa TANROADS afariki dunia Jijini Dodoma

Alianza Eng wa Songoro marine amefuata Eng Mfugale! Watu wa miradi mikubwa wa Jiwe wanaondoka kwa staili moja!
 

Sasa kama unayajua yote haya,hayo maneno makali yanakutoka ya nini? Nikidhani wewe ni Immortal ndiyo maana unaongea kwa lugha ya majigambo kwa Marehemu
 
rest easy engineer
 
Unasema ukweli
 
Namtafuta Mzee Mfugale kwenye hotuba za awamu ya sita simsikii, namtafuta kwenye vyombo vya habari simsikii tofauti na awamu iliyopita.

Je, amepotea na taaaluma yake yakudesign madaraja?
Nonsense,
 
Poleni kwa Msiba Mke na Watoto kwa Kumpoteza Mume na Baba yenu.

Pole nyingi kwa Familia kubwa ya Tanroads Nchi nzima kwa kumpoteza Mhandisi Mwandamizi na Wahandisi wote kwa Ujumla kwa msiba huu mzito.

Nchi imempoteza mtaalamu mbobezi kwenye nyaja ya Madaraja na Ujenzi kwa Ujumla.

Natumai kulikuwa na urithishaji wa taaluma yake kwa Vijana (Junior Engineers hapo Tanroads) kupitia yeye, whom they can fill the void that will be left by his absence.

Enda uwape salaam swahiba zako JPM na John Kijazi waambie Mama anaendelea kuupiga mwingi kwenye kuiendeleza Tanzania ya Uchumi wa Kati.

Pumzika kwa amani, ninyi mmetangulia sisi tuko nyuma yenu 😭😭😭😭😭😭
 
RIP Patrick Mfugale, Engineer aliyeboboea, mtu asiye na makuu, hakuwa na mdomo wa kubwabwaja kama ma CEO wengi.
Kwenye Elimu, sahihisha alienda Loughborough University of Technology, MidLands , Leicester UK.
Watu wanaandika kashfa kwa sababu tu alipendwa na Magufuli. Kusema ukweli mimi nilikuwa simjui na wala utendaji wake siujui lakini kwa kutumia hisia nadhani alikuwa mchapakazi na asiyependa kujikweza. Kwanini: Sijawahi kumsikia kwenye skendo au kujiona anajiweka mbele mbele kwenye media au mitandao au kuonyesha kwa namna yoyote kuwa ni msomi. Uzoefu unanifundisha kuwa watu wa aina hii huwa wachapakazi na wazalendo. Sijui huenda nimekosea lakini hisia zangu zinanituma hivyo.
 
Hasara kwa Taifa Mungu akupe pumziko la milele.
 
Sasa kama unayajua yote haya,hayo maneno makali yanakutoka ya nini? Nikidhani wewe ni Immortal ndiyo maana unaongea kwa lugha ya majigambo kwa Marehemu

Nimekwambia unionyeshe masimango yoyote niliyoyaandika popote, kwenye uzi huu, humu JF au popote pale duniani. Hadi sasa umeshindwa.

Nakukumbusha tena, wapi nimetoa simango lolote achilia mbali masimango, popote?

If you are unable to show, please shut up!
 
Hiyo itakuwa ni BIP tu tokea kwenye lile wimbi.

Hebu leteni chanjo wajameni. Chanjo zenyewe si hiari?
Kijana na kilio cha chanjo, wake up, angalia aljeezera watu waliochanjwa wamelazwa kwa corona huko Russia. Uganda sasa wanaokufa ni wale waliochanjwa hata M7 amelazwa ingawa amechanjwa.
 
Katika kipindi chake hakuna madudu ndani ya TANROADS ambayo hata tetesi tumezisikia.
Barabara zimejengwa kwa mamia ya kilometa nchini kote.
Bw. Mfugale alikuwa ni mtu makini sana.

RIP Boss!
Ulitaka tetesi uzisikie wapi? nani angezisema kama hajaokotwa kwenye magunia kokobichi?
 
hawa ndi walikua chawa wa mwendazake na kwakua alikua kichaa aliona kama hawezi kazi yake kumpa mtu mwingine
Unavyoongea kama vile unamfahamu kwa karibu, kwa taarifa yako alishaomba kustaafu kitambo jamaa kachomoa
 
Yani jiji la Dodoma tangia lianzishwe umaarufu pekee lililo nao ni kuchinja chinja. Kama wewe ni mzee au kijana lakini una afya mbovu tafadhali sana epuka kwenda Dodoma.

Zingatia kisha unishukuru baadaye!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…