TANZIA Patrick Mfugale wa TANROADS afariki dunia Jijini Dodoma

Haa haa eti ukurutu jamani forum raha sana
 
Zingesi
Katika kipindi chake hakuna madudu ndani ya TANROADS ambayo hata tetesi tumezisikia.
Barabara zimejengwa kwa mamia ya kilometa nchini kote.
Bw. Mfugale alikuwa ni mtu makini sana.

RIP Boss!
Zingesikika Vipi wakati hakuna alieruhusiwa kuziona??

Barabara Nyingi ni Mbovu na zinatitia hata baada ya muda mfupi tu....Kuwa nazo Km nyingi finyu na mbovu sio sahihi.
 
Zingesi
Zingesikika Vipi wakati hakuna alieruhusiwa kuziona??

Barabara Nyingi ni Mbovu na zinatitia hata baada ya muda mfupi tu....Kuwa nazo Km nyingi finyu na mbovu sio sahihi.
Ya kwako isiyo titia ni ipi?

Makao makuu tu ya chadema ni kama banda la choo
 
Unamaoni gani kuhusu daraja la Kikwete na kile kitengo cha moyo chenye jila lake.
RIP P. Mfugale.
 
RIP Eng
 
Unamaoni gani kuhusu daraja la Kikwete na kile kitengo cha moyo chenye jila lake.
RIP P. Mfugale.

Maoni yangu msingi wake ni maoni (au mausia) ya baba wa Taifa bila exception.

Au wewe unaona je ndugu yangu?

Apumzike kwa amani bwana Mfugale.
 
Duhhhh alikuwa genius wa ujenzi!...timu yooote ya Mzee inaenda chini kuanzia kina kijazi what is going on jaman!
 
 
Umeona ee
Wanakera sana
Kazi kufuata mkumbo wa kisiasa tu
 
Nawakumbusha....Ripoti ya ukaguzi maalum wa BOT itakabidhiwa kesho. Presha inapanda presha inashuks
 
Daraja la Kijazi.... Daraja la Mfugale.... huku sio kuchuriana? Wazee wa maeneo husika wamekasirika! Turudishe majina ya asili ya maeneo husika! Daraja la Tazara, Daraja la Ubungo, stendi ya Kuu ya Mabasi Mbezi Louis!
Hivi jina la Kijazi si lilitolewa akiwa kashafariki? Labda la mfugale lakini sio hoja maana kuna daraja la Kikwete pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…