3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 5,350
- 15,426
Siku zake zimetimia na sasa amelala usingizi wa mauti mpaka parapanda itakapolia. Bwana aifariji familia yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Has passed🙏🏿The chief executive officer of TanRoads have passed on.
3rd vvvvv ndio nini King Kong?
Kujifanya mjuaji eti Mfugale kaacha alamaAlikuibia pesa gani wewe masikini namna hiyo?
Ndio maana rais kawambia acheni porojo za katiba fanyeni kazi!
Vijana mtakufa koo zenu zikiwa zinaliwa na umasikini huku mkitumika kuwapandisha madaraja kina Mbowe!
Mfugale kaacha alama kwenye ukoo wake, wewe ukifa hapo ulipo utaacha nini zaidi ya ukurutu tu?
Alafu eti ametuibia! Amekuibia wew na nani?
Eloi Eloi lama sabaktanAsante Yesu, wewe unatoa uhai na kuuchukua.
Wewe endelea kujifariji nakwambia kama hutamsamehe yeyote kati ya wabaya wako hata Mungu hatakusamehe. Na ninakwambia usipende sana kushadadia mambo yasiyokuhusu bibilia inasema cheka na wanaocheka na lia na wanao lia.Unapigia chapuo kumbukumbu ya ukabila,ukanda na wizi wa fedha za umma?Hata kama nitafukiwa haina shida cha msingi na chenye maana yeye pamoja na yule BLADIFAKENII wa chato wamewahi kufukiwa.
Who knows about future hadi ujue kuwa mimi nafuata?It won't save any purpose, manake na ww unafata
Mbona yule profesa b hukusema hivyo?
Huyo baba yako ulitaka akufanyie nini wewe pimbi? Na wewe utazikwa hivohivo mnajitoaga ufahamu tu.
Kwa uongo tu uko vzr,watu wakifanana majina tu tayari ameshakua ni baba ake.Kujifanyamjuaji eti Mfugale kaacha alama
Kwa taarifa yako baba yake ni fogo wa long time Peacock hotel kisutu
Pengine kitaaluma alikuwa juu sana na kupata mrithi wa kiwango chake inakuwa ni ngumu.Atakuwa ameondoka na hii phase 3, watanzania tujifunze kustaafu umri ukisogea, toka 77 upo kazini kweli jamani hakuna watanzania wengine? angekuwa ametulia na wajuu haya yasingetokea labda
BBaregu aliugua muda mlefu Sana toka mwaka jana
Sasa hapo mkuu si ungesema ALIKUWA!-2018 Alituzwa tuzo ya uhandisi ya Engineering Execellency
- Ni Mwenyekiti wa kikosi cha ujenzi wa Reli ya kisasa SGR inayoendelea kujengwa.
- Ni mjumbe wa timu ya majadiliano ya miradi mikubwa ya umeme.
Labda taaluma ya BOQ, uliwahi kumuona ameshika pima maji au tape?Pengine kitaaluma alikuwa juu sana na kupata mrithi wa kiwango chake inakuwa ni ngumu.
Kwani kifo cha Covid 19 ni aibu?!Mtu akifa hata kwa kipindupindu mtasema covid ......