Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kkkk huyu alikuwa kwenye genge la awamu ya 5. Tuseme nini sasa? Maombi yanajibiwa!.Kama kafariki itakuwa jamaa malaika wamempa kitengo cha ujenzi anaita masela zake
Jiwe, Kijazi, Mfugale hawa wametupiga sana kwenye kujenga barabara, Mungu fundi bado wengineCovid ya tatu hiyo
Jamaa alikuwa mwizi sana na anajua ufisadi wote waliofanya na jiwe kwenye miradi..
Aende kunakostahili.
Biblia hiyohiyo inasema kuwa yeyote anayeua kwa upanga nae atakufa kwa upanga.Wewe endelea kujifariji nakwambia kama hutamsamehe yeyote kati ya wabaya wako hata Mungu hatakusamehe. Na ninakwambia usipende sana kushadadia mambo yasiyokuhusu bibilia inasema cheka na wanaocheka na lia na wanao lia.
KabadirisheNyerere hakupenda majina yake kutumika akiwa hai alisema ni uchuro.
Magufuli - Stendi, Daraja; Mfugale - tower, flyover; Kijazi - Daraja, Flyover.
Maneno ya Nyerere yanaweza kuwa na hoja.
Pale Dodoma napo pana soko nashauri jina kubadilishwa haraka.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Mbona unaonekana una makasiriko sana na Mfugale? Una ugomvi nae binafsi Mkuu,tangu mwanzo unamsimanga tu,jamani tujivunze walau jinsi ya kudeal na stress zetu za maisha.Haya ameshakufa,unadhani itakupa ahueni ya maisha wewe binafsi?
Huyo mwingine Naye yupo kwenye system?Mzee Mfugale mwenye Peacock Hotel Dsm, siyo huyo.
Labda awe na undugu naye
Bado wewe kichwa panzi. Maana unahisi utaishi milele?Jiwe,kijazi,mfugale hawa wametupiga sana kwenye kujenga barabara,mungu fundi bado wengine
Hilo jengo porini linazalisha nini, Tanroad huwa wanakaguliwa
Akiwa anashika vifaa vya ujenzi Kamera zinakuwa mbali nae, kumbuka huyo ni kama jenerali wa jeshi huwezi kumuona kashika bunduki au akiendesha kifaru.Labda taaluma ya BOQ, uliwahi kumuona ameshika pima maji au tape?
Kiki kwa nyumbu wa ufipaKwani kifo cha Covid 19 ni aibu ?!
Sgr wametupiga sana yeye kijazi,mekoNa ndio maana alikuwa mwenyekiti wa ujenzi wa SGR
Watu wanavyo comment humu utazani wao hawatakufa kabisa,jamani jamani Kila nafsi iliyoumbwa na Mwenyezi Mungu itaonja mauti,hebu tuwe na akiba ya maneno,maana katika msiba huu,teyari Kuna mtu amekuwa mjane,wapo watoto teyari mayatima wako wajukuu wamekosa babu n.k
Kabadirishe
Atakuwa ameondoka na hii phase 3, watanzania tujifunze kustaafu umri ukisogea, toka 77 upo kazini kweli jamani hakuna watanzania wengine? angekuwa ametulia na wajuu haya yasingetokea labda
Kama kick muulize JiweKiki kwa nyumbu wa ufipa
Wave 3 soko la Dodoma kukamilisha setNyerere hakupenda majina yake kutumika akiwa hai alisema ni uchuro.
Magufuli - Stendi, Daraja; Mfugale - tower, flyover; Kijazi - Daraja, Flyover.
Maneno ya Nyerere yanaweza kuwa na hoja.
Pale Dodoma napo pana soko nashauri jina kubadilishwa haraka.
Au nasema uongo ndugu zangu?