Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikariri maandiko ndo maana umesema mwenyewe yeyote anayeua kwa upanga atauliwa kwa upanga ni sawa na yeyote anayefurahia kifo cha mwenzake badala ya kusikitika mauti yako mlangoni mwake maana Mungu hathihakiwi apandalo mtu ndo atakalovuna ukipanda uovu utavuna uovu so nimuhimu sana kumwachia Mungu mambo yanayomhusu kwa maana hata wewe na mimi tuna makosa mengi tunahitaji msamaha pia, Na hauwezi kujua unayemhukumu huyo yawezekana alitubu kabla ya mauti na akapokelewa na Mungu.Biblia hiyohiyo inasema kuwa yeyote anayeua kwa upanga nae atakufa kwa upanga.
You COVID-19 season 3; go away!! Ondokaaa!!Patrick Aron Nipilima Mfugale mhandisi tajwa nchini Tanzania na alikuwa mtendaji mkuu wa Mamlaka ya barabara nchini Tanzania TANROADS.
Injinia Patrick A. N. Mfugale RIP
=====
Mtendaji Mkuu wa Tanroads, Injinia Mfugale amefariki Jijini Dodoma.
Mfugale jana aliondoka na ndege akiwa na Katibu Mkuu ujenzi kuelekea Dodoma kwa safari ya Kikazi
Amezidiwa leo saa tano asubuhi na kukimbizwa Hospitali ya Benjamin Mkapa mjini Dodoma, Tanzania ambapo ndipo Mauti umemfika muda mchache baada ya kufikishwa.
Tutaendekea kuwapasha kinachoendelea.
Apumzike kwa Aman
Wasifu:
Alipata elimu yake ya msingi katika shule ya Consalata Fathers Primary School mjini Iringa
-1975 Alimaliza elimu yake ya shule ya upili katika shule ya upili ya Moshi.
-1977-Mfugale aliajiriwa katika wizara ya ujenzi
-1983 alijipatia shahada yake ya kwanza katika chuo kikuu cha Rocky nchini India
-1991 Mfugale alisajiliwa kama muhandisi mtaalam.
-1992- Aliteuliwa kuwa mkurugenzi wa barabara za mikoa.
-1994-1995-Alipokea shahada yake ya pili katika chuo kikuu cha Loughborough, nchini Uingereza
-2003-Alipokea tuzo ya Distinguished Engineering Accomplishment.
-Aliteuliwa kuwa muhandisi mkuu wa madaraja nchini Tanzania wakati huohuo na akiwa masomoni nchini Uingereza mwaka 1995 alitafiti na kutengeneza mfumo wa madaraja nchini.
-Alitengeza mfumo wa usimamizi wa madaraja kwa jina Tanzania Bridge Management System
-2014- Alisajiliwa kuwa muhandisi mshauri na kuwa mwanachama wa chama cha wahandisi Tanzania.
-Ametumia muda wake mwingi kama mtaalamu wa madaraja .
Alibuni daraja la Malagarasi lenye mita 178 kwa shilingi za Tanzania milioni 300.
-Baadhi ya madaraja aliyoweza kusimamia yakakamilika kujengwa ni:
- Mfugale akiwa mtendaji mkuu wa Tanroads amesaidia ujenzi wa madaraja 1400 nchini Tanzania.
- Daraja la Mkapa Rufiji
- Daraja la Umoja linalounganisha Tanzania na Mozambique huko Ruvuma.
- Daraja la Rusumo
- Daraja la Kikwete huko Malagarasi.
- Daraja la Nyerere huko Kigamboni
Amebuni na kusimamia barabara za kitaifa zenye urefu wa takriban kilomita 36,258.
-2018 Alituzwa tuzo ya uhandisi ya Engineering Execellency
- Alikuwa Mwenyekiti wa kikosi cha ujenzi wa Reli ya kisasa SGR inayoendelea kujengwa.
- Alikuwa mjumbe wa timu ya majadiliano ya miradi mikubwa ya umeme.
Picha: Daraja la Kikwete mto Malagarasi Daraja la Kikwete lililopo Mto Malagarasi
Mwendawazimu na legacy yake wanawachukilia poa sana watu wa Pwani. Wakuja wananuka mifugo leo wanafuta akili za watu na wamejipa majina kwa wazaramo, acha wafe watajua hawajui.Daraja la Kijazi.... Daraja la Mfugale.... huku sio kuchuriana? Wazee wa maeneo husika wamekasirika! Turudishe majina ya asili ya maeneo husika! Daraja la Tazara, Daraja la Ubungo, stendi ya Kuu ya Mabasi Mbezi Louis!
Ni mfanyabiashara mkongwe na maarufu jijini Darhuyo mwingine Naye yupo kwenye system?
Dada mbona unaongea kama vile umekalia kitu chenye ncha kali?Mbowe ni tajiri chini ya utawala huu huu wa ccm.
Naamini ukijigonga hilo bichwa lako yatakujia majina ya watu matajiri hapa tz chini ya utawala huu huu wa ccm!
Diamond tu huyo hajanusa hata darasa la chuo ila ni tajiri chini ya utawala huu huu wa ccm!
Sasa wewe endelea kukaza matakle ukisikiliza porojo za Lisu kwamba ipo siku yeye akiwa rais wako na chadema ndio utakuwa tajiri! Huku ukishangilia watu waliotengeneza alama kwenye koo zao wakifa, ukihisi kwamba umasikini wa ukoo wako ni sababu ya utajiri wao,!
Habari za Tanzia ndio zinaletwaga kishambenga hivi? Ila wajue, Hizo chanjo hatununui, na hata za msaada hatutaki! Wafanye wanavyowezaThe Managing Director Patrick Mfugale is dead!!
Chanjo zinaanza kudoda nini? Mbona ghalfla sana?Delta Variant, phase 3.
Mfalme Daudi alipokuwa anaenda vitani na kuua maadui zake wengi hakua anafurahia vifo vyao?Usikariri maandiko ndo maana umesema mwenyewe yeyote anayeua kwa upanga atauliwa kwa upanga ni sawa na yeyote anayefurahia kifo cha mwenzake badala ya kusikitika mauti yako mlangoni mwake maana Mungu hathihakiwi apandalo mtu ndo atakalovuna ukipanda uovu utavuna uovu so nimuhimu sana kumwachia Mungu mambo yanayomhusu kwa maana hata wewe na mimi tuna makosa mengi tunahitaji msamaha pia, Na hauwezi kujua unayemhukumu huyo yawezekana alitubu kabla ya mauti na akapokelewa na Mungu.