Kigera Kwetu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,448
- 1,311
Pole yako πView attachment 2961090
View attachment 2961092
View attachment 2961093
View attachment 2961094
Wananchi huyu shabiki wa Simba aitwae Patrick Nyembera anaefanya kazi Azam media amekuwa akitumia nafasi yake pale Azam kuihujumu Yanga.
Popote utapomuona huyu kolo mwambie kaa mbali na Yanga ikibidi tumia ile kauli mbiu sisi tuna watu.
Hivi mtu anasema mguu bado umevimba ila kwasasa hasikii maumivu, yeye kama muandishi wa habari alishindwa nini kumwambia Mayele awaoneshe watazamaji mguu wake ulivyovimba? Au kipindi kilikuwa ni cha redio sio cha Tv? Kama jambo dogo hilo limemshinda kufanya ni vipi nitawaamini hao wote kuwa hawakuwa na nia mbaya ya kuichafua Yanga?Hayo ni mawazo yako binafsi, yeye ni muandishi wa habari hvy amefanya kazi yake, ingekuwa kilichoongelewa ni uongo au kimetoka kwenye mdomo wako bc ungekuwa na hoja.
Uzi mmoja umejibu mara tano harafu madudu tu daah si ulikua unajifanya unaandika kushabikia mpira wa Yanga/Simba ni Ujinga..sema unatamani kuujua mpira ukubwani unakushinda...MLETA UZI HIVI UNA AKILI TIMAMU KABISA??????
Wewe ni mpuuzi.Patrick kuw shabiki wa Simba ndiyo awe adui yako?Pambaff kabisa.View attachment 2961090
View attachment 2961092
View attachment 2961093
View attachment 2961094
Wananchi huyu shabiki wa Simba aitwae Patrick Nyembera anaefanya kazi Azam media amekuwa akitumia nafasi yake pale Azam kuihujumu Yanga.
Popote utapomuona huyu kolo mwambie kaa mbali na Yanga ikibidi tumia ile kauli mbiu sisi tuna watu.
Huu ni uongo typical aisee.Na ww unajuaje n ukweli au uongo wakati Yanga hawajaongea zaid ya kuwaambia Azam wafute video, bc na wao wangeacha hy video na kumjibu mayele
Mayele Vs Yanga, vita ya marafiki wawili wakubwa waliogeukana na kuwa maadui wakubwa.View attachment 2961090
View attachment 2961092
View attachment 2961093
View attachment 2961094
Wananchi huyu shabiki wa Simba aitwae Patrick Nyembera anaefanya kazi Azam media amekuwa akitumia nafasi yake pale Azam kuihujumu Yanga.
Popote utapomuona huyu kolo mwambie kaa mbali na Yanga ikibidi tumia ile kauli mbiu sisi tuna watu.
Hiki ndicho anachotaka Mayele na wale wanao onekana nyuma yake.wangeacha hy video na kumjibu mayele
Mbona manara kila siku anatukana watu mitandaoni na kashfa nzito dhidi ya simba bila ushabiki tatizo mashabiki wa yanga wengi ni empty set wao wanafuata kila anachoambiwa yaani mambo anayofanya manara dhidi ya simba alitakiwa awe jela.
Hawezi kuelewa huyo mbumbumbuMkuu kila timu inafanya inavyoona ili kulinda brand yake, huyo Manara alichofanya dhidi ya Simba, je Simba mlichukulia hatua gani? Si mliamua kumnyamazia aropoke anavyoweza. Ila Yanga wao wameona hawajatendewa haki na Azam na isitoshe wana mkataba nao wa haki ya kimaudhii.
Ndio Mama KUBWA nimekuelewaTumehama kwenye goli letu tuliloporwa SASA Yuko na na Azam na Mayele. Tukimaliza tunaenda kuchochea Simba ' Hatumtaki Mangungu'. Yuko busy ππ
Yaani mpira wa bongo!!sasa kosa lake ni nini?wao wanataka kusikia kile wanachokipenda tu.Ndio maana leo unaambiwa eti mo sasa amerudi kwenye timu kama zamani!!ni lini alitoka?!!Hayo ni mawazo yako binafsi, yeye ni muandishi wa habari hvy amefanya kazi yake, ingekuwa kilichoongelewa ni uongo au kimetoka kwenye mdomo wako bc ungekuwa na hoja.
Ety lawama kwa Azam badala ya mhusika mwnyw mayele πYaani mpira wa bongo!!sasa kosa lake ni nini?wao wanataka kusikia kile wanachokipenda tu.Ndio maana leo unaambiwa eti mo sasa amerudi kwenye timu kama zamani!!ni lini alitoka?!!