Paul Kagame katoa onyo kwa Kiswahili, walengwa mmepata ujumbe?

Si kweli hakuna baya lolote litakalotokea!
Acha uwoga wa kijinga kajikaka [emoji35]
 
Acheni kujipa moyo there is no way Rwanda akamkoromea Tanzania, Kenya na Uganda.

Hata DRC akiaamua kuitreat Rwanda kama magaidi anaipiga vizuri tu
 
Silaha kubwa kwenye Vita ni MORALE na COMMITMENT.

Hayo mavifaa huwa yanasaidia tu.

Iddi Amini alikiwa na vifaa vya kutisha na bado akawa na usaidizi wa Jeshi la Libya na Pakistan lakini hakushinda.
 
Kagame hawezi kupigana na Tanzania. Anachoweza ni kuua wanyarwanda wenzake na kuwavuruga wacongo. Kama anataka akimbie alipokaa, aanze kuigusa Tanzania.
Nafikiri anaamini DRC kuna wanaomvimbisha kichwa Tishikedi.
 
Acheni kujipa moyo there is no way Rwanda akamkoromea Tanzania, Kenya na Uganda.

Hata DRC akiaamua kuitreat Rwanda kama magaidi anaipiga vizuri tu
Kabisa. Atakuwa mpumbavu akiamua kupigana na Tanzania. Ndio siku atakimbilia ulaya kuwa mkimbizi
 
Ujumbe wa Jemadari Paul Kagame umefika kwenye yale Mafuvu magumu ya Kinshasa loud and clear.

 
Kabisa. Atakuwa mpumbavu akiamua kupigana na Tanzania. Ndio siku atakimbilia ulaya kuwa mkimbizi
Na nyinyi akili yenu maharage tu, vita ni lazima nchi iweke mizinga mpakani? Kwa nini mnamchagulia wakati hajasema..
 
Acha kamba wewe..
 
Sas kosa kubwa waliliolifanya congo Ni kuruhusu uganda Kama moja wa wana operation Ni kosa San kitakacho watokeaa jeshi la waKenya mtaonaa

Ni full uzaliti
Ndio maana museveni alimtoa dogo jeshi la ardhini ili asilete mkosi
 
Kagame anawatishia KENYA ambao wamepeleka jeshi lao kupambana na waasi wa M-23.
Hao naawaambie ukweli kwa sababu wanapenda kimbelembele hata kama hawajachokozwa. Wengine kama Tanzania asijaribu kuchokoza.Awaulize Malawi wakati wa Joyce Banda.
 
Mama kamuweka BASHUNGWA wizara ya Ulinzi hakika atavuna alichokipanda kwa Mnyarwanda huyu
Kuna wizara ukiwekwa ni formality tu, huwezi agiza au kuamrisha chochote, wewe ni kuwasikiliza hao wataalam na kupeleka kunakohusika wanachotaka. Umewahi sikia Waziri wa ulinzi anafoka kwa majenerali?
 
Kagame anawatishia KENYA ambao wamepeleka jeshi lao kupambana na waasi wa M-23.

President Kagame Speaks out on Rwanda-DRC Crisis​


Source : IGIHE
Hujamuelewa naona katumia Kiswahili ili kuongea na wakongomani wa kunako uwanja wa mapambano maana wanazungumza Kiswahili cha ‘kwa fasi ya’


KT PRESS
www.ktpress.rw
President Kagame Points Out Double Standards In Dealing With ...


2 days ago — President Paul Kagame says that the insecurity problems that have dogged the Democratic Republic of Congo (DRC) for the past three decades ...


https://www.theeastafrican.co.ke/te...crisis-to-delay-drc-poll-4039136?view=htmlamp
 
Mama kamuweka BASHUNGWA wizara ya Ulinzi hakika atavuna alichokipanda kwa Mnyarwanda huyu
Kuna mambo hii nchi yetu inaweza kuwa imelala..ila sio kila jambo.

Kuwa tu Incharge kwenye Hospitali zetu kubwa mfano JKCI kuna vetting ya hatari inapitishwa..itakuja kuwa Wizara ya ulinzi?.

Na jambo jingine Waziri pale WU anampelekea tu Rais maombi ya Jeshi na bajeti zao..hakuna lingine la maana analoweza kuingilia na kuinfluence lifanyike kama Jeshi halitaki.
 
Na balozi wa tz kule ruanda ni generali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…