Paul Kagame katoa onyo kwa Kiswahili, walengwa mmepata ujumbe?

Labda hizo methods apate kwa mabwana zake huko USA na Ulaya na njia kubwa wanayoweza kutumia Ni kuratibu mapinduzi au sumu kwa Viongozi na sio kwenda front hiyo jeuri hawana.
Sasa unamfundisha njia ya kutumia?,nyie mlimfanyaje Magufuli na nchi imewashinda,wewe ni [emoji706][emoji706][emoji706]
 

..M-23 wanafadhiliwa na Rwanda na Uganda.

..Waasi hao walishapigwa na kufukuzwa Congo na vikosi vya Tanzania, Afrika Kusini, na Malawi.

..Baada ya kupokea kichapo walikimbilia Rwanda na Uganda ambako ilitakiwa wanyang'anywe silaha na wasiruhusiwe kufanya chokochoko dhidi ya Congo.

..Kinachotakiwa kufanyika ni Congo na SADC-FIB kutoa kichapo kikali zaidi ya kile cha mwanzo.
 

Umemaliza kila kitu. Heshima
 
Mara nyingi watu wenye mikwara huwa hawana uwezo wa kupigana. Rejea kipindi cha Rais Mstaafu Jakaya Kikwete wakati hao M23 walipoteka maeneo ya karibu na Mji wa Goma. Kagame alimtishia Rais wetu Jakaya Kikwete kwenye mkutano wake na Vijana wa Kinyarwanda kuwa atamtwanga (I will hit him), kilichotokea baada ya Tanzania kupeleka Jeshi kule ni M23 wake kuchapwa na akamwomba Rais wa Uganda Mr. Museveni M23 wapate hifadhi kwenye nchi ya Uganda. Maana Rais Kikwete alishaamua kuwafuata M23 nchini Rwanda endapo wangekimbilia huko. Kwa hiyo, hapo anamtishia Kenya ambaye amepeleka majeshi nchini Congo D. R. C.
 
Africa hii kichefuchefu tu
 
Huyu anazeeka vibaya sasa, anadhani anachokifanya Congo anaweza kukifanya Tanzania? Athubutu aone, aliyekuwa kampanda mabegani hayupo tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…