luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Bila kujiuzulu Ukuu wa Mkoa?
Kwa hiyo ni Mkuu wa Mkoa pekee nchi nzima aliechukua fomu akiwa na madaraka yake yoote ya Ukuuu Wa Mkoa.
Na atapiga kampeni huku akiwa na Cheo Chake Cha Ukuu wa Mkoa kama Kawaida.
Kuna hatari Makonda akawa Mbunge, Mkuu wa Mkoa na Waziri kwa wati mmoja.
Bila kujiuzulu Ukuu wa Mkoa?
Kwa hiyo ni Mkuu wa Mkoa pekee nchi nzima aliechukua fomu akiwa na madaraka yake yoote ya Ukuuu Wa Mkoa.
Na atapiga kampeni huku akiwa na Cheo Chake Cha Ukuu wa Mkoa kama Kawaida.
Kuna hatari Makonda akawa Mbunge, Mkuu wa Mkoa na Waziri kwa wati mmoja.
Mwanri, Gambo?
Jokate anaweza chukua jiji hiliTunamsubiri Rais wetu mpendwa asiyekuwa na upendeleo kuteua mkuu mpya wa mkoa wa Dar es Salaam na kumwapisha chap chap.
Mbona yeye haja staafu kwanza nafasi yake ya Rc? Hapa ndipo tunapo ona sub standards za JPM aliye pita kwa 100%Hatimaye mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa sana Paul Christian Makonda achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la kigamboni.
View attachment 1507310
Double stdBila kujiuzulu Ukuu wa Mkoa?
Kwa hiyo ni Mkuu wa Mkoa pekee nchi nzima aliechukua fomu akiwa na madaraka yake yote ya Ukuu wa mkoa.
Na atapiga kampeni huku akiwa na Cheo Chake Cha Ukuu wa Mkoa kama Kawaida.
Kuna hatari Makonda akawa Mbunge, Mkuu wa Mkoa na Waziri kwa wati mmoja.
Na Patrobas Katambi Pia ni msukumaHatujasikia akifanyiwa replacement, na Mnyeti pia kachukua form hatusikii replacement yao.
Wengine wakigusa tu unasikia wametumbuliwa.
Mshikaji kwa double standard hajambo.
Mnyeti na Makonda ni wasukuma.
Mwanri naye kachukua fomu Siha kwa Naibu Waziri wa Afya wa sasa.Na yule Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto aliyetumbuliwa hagombei!!?
Jizi la vyeti sasa linaomba Ubunge.Hatimaye Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa sana Paul Christian Makonda achukua fomu ya kugombea Ubunge Jimbo la Kigamboni.
Kuna kitu hapo, sasa Gambo CCM haiwezi, ahamie chademaMwanri
Mbona yeye haja staafu kwanza nafasi yake ya Rc? Hapa ndipo tunapo ona sub standards za JPM aliye pita kwa 100%