Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Pasco acha hizi mambo za kupiga baoGanda la mua la jana...
Usicho kithamini wewe, wenzako wanakitafuta.
Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!
Wanabodi, Kabla Magufuli hajawa rais wetu, sisi wengine wenu tulijua tangu mwaka 2014 na tukasema humu!.Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli Miongoni mwa sifa zilizomuibua Magufuli ni sifa inayoitwa "uthubutu" boldness and sometimes unreasonably boldness...www.jamiiforums.com
Ila pia kiukweli watu humu wana wivu mpaka basi...
Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho dhidi ya mafanikio yake! Makonda wapuuze
Wanabodi. Naanza na kanuni ya haki duniani inayoitwa "the presumption of innocence until proven guilty" Yaani mtuhumiwa yoyote anahesabiwa kuwa hana hatia hadi atakapotiwa hatiani, na mahakama yenye mamlaka sahihi, hivyo Paul Christian Makonda anaendelea kuwa ni Paul Christian Makonda na Mkuu...www.jamiiforums.com
P
Ile ya Magu ulipenyezewa na watu wa kitengo
Hi utabuma.tu na utaibika mchana mweupe
Tutakuja kukumbusha Hapa 2025
Let's wait huna karama ya utabiri labda unampigia promo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]