Paul Makonda amtaka Gwajima afike ofisini kwake kutolea ufafanuzi juu ya kumkashifu Pengo

Yaani hizi sifa za kijinga zitatusumbua vichwa bure. Yupi kati ya Gwajima na Makonda ana afadhari? Makond dhambi ya kumpiga kofi Warioba itakusumbua sana.
 
hivi kuna sheria gan inayomtaka mtu kwenda kujieleza kwa mkuu wa wilaya kama anavyotaka makonda na kwani Gwajima asipoenda kutatokea nini?.Naomba mnaojua mnisaidie kwa hili tafadhali
 
Makonda kuwa mwangalifu sana na imani za watu na hawa viongozi wa kidini huwa wanafuatwa kwenye makanisa/misikiti yao huwa hawaitwi.....wanaheshimiwa.
 
Alitumwa.ndo maana akapewa ukuu wa wilaya

Makonda mwehu yeye alipomtukana lowasa waziri mkuu na kumpga Jaji Warioba waziri mkuu mstaafu alirpoti huyu mwehu asome Sheria vizuri tatzo chuo ata mitihan alkua anafanyiwa kuwa mwenyekiti kamati ya ulinzi na usalama si kujigeuza polisi ajiulizi kwanini CDF hawezi kumuita mtu ofsni kwake kwa kutoa lugha chafu
 
Kama mlikuwa hamjui gwajima kamgusa mwenye nchi haya yaliyo mkuta gwajima ndio yaliyo mkuta ponda pengo ndio kiongozi katika nchi hii bora umtukane mkuu wa kaya kuliko pengo sisi ndio tunaujua mfumo kristo unavyo tawara nchi
 
Kichaa kapata RUNGU.Polisi wameshaanza mambo ya kisheria na wewe Makonda unaingilia je? Achia polisi wafanye kazi zao.Pia muite nayule aliye mkwita Waziri mkuu mstafu Warioba,wote walivunja sheria.
 
Kama mlikuwa hamjui gwajima kamgusa mwenye nchi haya yaliyo mkuta gwajima ndio yaliyo mkuta ponda pengo ndio kiongozi katika nchi hii bora umtukane mkuu wa kaya kuliko pengo sisi ndio tunaujua mfumo kristo unavyo tawara nchi

Udini umekijaa kwani gwajima sio mkristo???
 
ni jambo jema lakini wasiwasi wangu kusije kukawa na conflict of interest. mfano kama makonda ni mkatoliki au anaunga mkono katiba pendekezwa sidhani kama gwajima atatendewa haki hapo japo sikubaliani na uwendawazimu alioufanya gwajima. nadhani hili liachiwe vyombo vya sheria kama polisi na mahakama ili kulinda haki za watu.
 
makonda ni nani mpka amwite gwajima mlinzi wa amani wakati anamfanyia fujo warioba alikuwa nani una akili wewe tena wacha niishie hapo
 
Mlalamikaji katika hiyo kesi atakuwa nani?

Au ndio mwendelezo wa pengo kuwa askofu wa serikali?
Katika kesi zote za jinai mlalamikaji mkuu/complainant kwa mujibu wa sheria ya mwenendo wa mashauri ya jinai ni serikali, muhanga kama Pengo kwa mfano anakuwa ni shahidi mkuu, hata ww kwa mfano ukipigwa mlalamikaji ni serikali ww utakuwa shahidi mkuu
 

Ukristo hauruhusu unafki...anachokifanya pengo ni unafki na kama mkristo anakosea sana.hata yesu alikuwa na msimamo kwenye mambo ya Mungu...Pengo kila siku anatoa kauli tata ambazo kwa kiasi kikubwa anonekana kuelemea siasa za Chama Cha Mapinduzi.Kama kweli yeye ni mkristo safi asingekimbilia polisi angemuita Gwajima ili waeleweshane
 
Huyu dogo ana matatizo, si bure.
Kama jambo limeshafika katika ofisi ya jeshi la Polisi kanda maalum ya Dar es salaam yeye aawezaje kuliingilia? Ukichukulia wote ni sehemu ya serikali na atakaowayumia kufanya law enforcement wapo chini ya kanda moja na jambo linaloshughulikiwa ni lile lile!!
 
makonda kawakamate waislam wa pale mbagala maana kila siku wao ni kusema wakristo makafir na mengine ambayo nashindwa kuyasema hapa.Achana na huyo askofu kuna kuna shtaka kafungue mahakamni,pengo mnafiki tu

Siku hizi Mbagala ipo Kinondoni au umepitiwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…