πππππMakonda angekuwa na busara angefanya haya
1. Angelaani tukio lile.
2. Angempa pole Lissu.
3. Angekanusha kuhusika.
4. Angempigia simu IGP na kumuuliza uchunguzi umefika wapi.
5. Angetoa maelekezo kwa IGP uchunguzi ikamilike ndani ya siku 30 kama alivyotoa maelekezo kwa Waziri Mkuu.
Kuambiwa ukamuulize mama yako ni kosa?Hapa siyo suala la Saed Kubenea peke yake. Ni suala la ukosefu wa maadili na dharau kwa waandishi wa habari wote.
Kwani hujui??Basi TISS imejaa mbumbumbu na mafala
Nitawaona mazuzu, mashubwada, mnaojikomba na kulamba makalio ya viongozi wa viongozi ili kupata uteuzi endapo mtaendelea kutoa habari zinazohusu ccm.
Makonda amesema muwe mnaenda kuwahoji mama zenu. Hili ni tusi la nguoni kwa waandishi wote.
N.B. Msikubali
Alyemshambulia Lisu ni Makonda. Sasa mama wa mwandishi anaingiaje hapo?Kuambiwa ukamuulize mama yako ni kosa?
Na wewe kamuulize mama yakoKuambiwa ukamuulize mama yako ni kosa?
Na dhambi zake zitamtesa mpk atamua kunywa sumuHuyu ataishia kushtakiwa kwa dhambi zake za Nyuma.
Na dhambi zake zitamtesa mpk atamua kunywa sumu
Amesema wapi?
Ahsante, tunaye.
Duh! Kweli Tundu Lisu ana Mungu, asiache kumuomba Mungu, kumshukuru Mungu na kutoa sadaka.Hivi unadhani ana jibu jingine zaidi ya hilo? Sasa hapo tu mwandishi wa habari kamuuliza katoa hilo boko, siku akiulizwa na wapelelezi wa DCI si atawataja akina Mabeyo, Kapilimba na Sirro na tarehe na mahali kikao kilipofanyika cha kumuua Lissu chini ya Magufuli.
Frustration yake kubwa ni pale waliposhindwa kutoa roho ya Lissu kwa kuwa Kapilimba na Mabeyo walimuonya Makonda kwenye kikao kuwa inaweza ika abort, yeye na Musalika Makungu (RAS Tabora 2018-20) wakasema hawatafeli.
Ndipo hata taratibu za kuchimba kaburi Ikungi zikawa zimeandaliwa chap.
Ila take it from me huyu PIMBI Zerobrain Bashite atakufa kifo kibaya sawa na Samuel Doe wa Liberia
Msaliti yuko bwenini ChatoDamu ya msaliti wa taifa
Itamtafunaje? Si ishamtafuna aliyepigwa risasi? Are you saying Tundu hamjui sura yake Makonda, angemuona si angejua? Swali li kishenzi jibu la kishenzi. Dereva wa Lissu yuko wapi? Si naye atakuwa alimuona Makonda si aende Polisi?Na itamtafuna mpaka hata waliompa cheo hicho
Mhuni kamwe huwa haachi uhuni.Sio kauli nzuri kwa Kiongozi mkubwa kama yeye
Saed Kubenea ni mpuuzi sanaHata Me ningekua makonda ningemjibu zaidi ya hapo, waandishi wapumbavu na watafuta kiki hiyo dawa yao.
Ndio kipimo cha ushenzi wa CCM hicho.Makonda amehojiwa na mwandishi wa habari kwamba Lissu amesema ulihusika na shambulia lake Dodoma
Jibu amepewa kamhoji MAMA YAKO
Bashite ameshindwa hata kukana kwamba hakufanya lile tukio, ni wazi jibu la kwanza ilikuwa ni kukataa kuhusika
Damu ya mtu ni nzito bana.