Paul Makonda amtaka mwandishi kumuuliza mama yake baada ya kumhoji tuhuma za kumshambulia Lissu

Tuliwanyang'anya wabunge woooote chama mfuuu hicho cha nn takataka faaraaaa kabisa misukule ya Mbowe nyie
Lile Jizi lenu linalolilia Ikulu toka enzi za 92 mpaka leo limewaweka mfukoni limekula hela za ruzuku likajengea watoto wake apartments Dubai hela za nyumbu wajinga limeiba hela za wanachama kwa mgongo wa operations na kuwachangisha nyumbu na pia haitoshi limedhulumu hela za mirathi za marehemu baba yake limeua na kutesa watu wengi libakie kwenye uenyekiti na limeteka Ben saanane na kumuua Wangwe acheni ushenzi nyie misukule wa makengeze madalali
 
Duuuu.
Wewe syo kichaa ni bangi tu zinakutesa
 
Umepanick Hadi unarudia utoto huuhuu Kila post!
 
Duh! Huyo mwandishi apewe maua yake kwa kuwa na moyo wa kuulhza swali hilo kwa huyo bwana anayeogopwa kama moto uunguzao
 
Unapoenda kuhojiwa uwe na Free Mind......tarajia swali lolote kama Mwenezi
Na hapo ndio tunapodhibitisha kuwa Makonda ni Zero brain na chama kikongwe kimeweka mwenezi zero brain [emoji3447] kwa sababu kimechoka!
 
Matunda yenyewe ni ule msambwanda
 
Na lile sambwanda lake linavyoning'inia kama sega la asali
 
Ndio jibu alilopaswa kupewa huyo muandishi! Kwa hiyo kama ni kweli huyo Muandishi alitegemea apate jibu la ndio kutoka kwa makonda!

Mimi naongezea na akamuhoji na baba yake…..
Huyo muandishi kuuliza ilo swali ni mpango wa msoga gang ... Nape ndiye aliye mtuma kuuliza ilo swali ....makonda anatakiwa kujua kua ana maadui wengi sana nyuma ya pazia wanao toka msoga gang .....huyu mzee kikwete na mwinyi wasipokufa mapema nchi itapitia magumu mengi sana
 
CCM ni chama kilichojifia kitambo! Haiwezekani mpaka leo kinawatumia watu waliofoji vyeti vya kitaaluma kwenye nafasi zao za kiuongozi.
Tofauti ya ccm na chadema ni moja tu....vyote vimeshajifia ....ccm ni mzoga ulio flesh bado aujatoa arufu .. chadema ni mzoga ulio oza nakutoa arufu.
 
Hawa Waandishi wengine Huwa wanajitafutia matatizo wenyewe.Ukiwa unasomea udreva unaambiwa Ukiona kuwa unaweza kuzuia ajari jitahidi uizuie hata kama wewe utakuwa upande sahihi.
Tumia akili huyo mwandishi katumwa kufanya hivyo na team msoga Nape ndiye aliye muagiza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…