Paul Makonda apewe Ubalozi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati au Burundi?

ukweli ni kwasababu wengine walishindwa.
Wengine walishindwa lkn hatimaye mama amebaini kuwa Makonda ni mfitini, muuaji, mzandiki na mshenzi wa tabia ndiyo maana kamtoa kwenye nafasi nyeti ya uenezi kampeleka kuwa RC Arusha aende akakague madawati huko .
 
Nabadilika kutokanana Mazingira, Ningeteuliwa kipindi cha Magufuli Chuma, wale jamaa wangenyooka - unatamani kupiga panchi onaona Mama sio Mapigo yake"
Mshenzi sana huyu mwanaibilisi Makonda. Roho yake inatamani kuua, kuteka na kupiga watu risasi tu.

Asipokuwa makini atatupwa nje mazima.
 
HUYU MTOTO MAMA AMUONDOE KWENYE KAZI ZAKE HANA AKILI YA KUFANYAKAZI NA WENZIE, MAMA ABAKI KUWA SWAHIBA WAKE TU
 
Ukiwaza kidogo unapata majibu kidogo awamu ya sita ilani yake iliandikwa wapi na ilinadiwa na nani akapigiwa kura na watu wangapi?
Unahitaji utafakari hii ilani ya mtu binafsi au ya chama
 
Jamani nauliza hii ilani inakua ya chama au mtu binafsi

kila awamu inapokea mambo ambayo hayajakamilika kiutkelezaji ktk awamu nyengine kila rais ana utafauti wa uendeshaji wa serekali yk

ikiwa kuna wtu hawaridhik utendaji wa awamu hii wasubir awamu nyengne ila haki yk mpeni rais amejitahid kuwaleta pmj wtzn hili ni jambo kubwa sana hata hao wanompinga nafsi zina wasuta hii nchi ilikua inapoteza mwelekeo lkn sasa mambo yameanza kuwa sawa huwezi kuwarizisha wtu wte ila hulka ya binaadam tuna sahau harak lkn baada 2030 tutapat tathmin saiv ni unaona wazi chuki za kijinga tu na siasa za maji taka ndio zimeshamiri
 
Kwani waliopewa ubalozi hawaendani sera na marais?
Kama mtu huendani nae sera simnakaa kilamtu upande wake
 
Umesahau huyu jamaa anatuhumiwa na mataifa makubwa kunyima watu haki ya kuishi.
 
Ukiwaza kidogo unapata majibu kidogo awamu ya sita ilani yake iliandikwa wapi na ilinadiwa na nani akapigiwa kura na watu wangapi?
Serikali ni ya Samia sio ya awamu maana serikali ya dictator aliita serikali ya jiwe aka dictator katili roho mbaya alielekea motoni
 
Serikali ni ya Samia sio ya awamu maana serikali ya dictator aliita serikali ya jiwe aka dictator katili roho mbaya alielekea motoni
Ninacho jua mimi ccm ipo madarakani hayo mengine ni yako na wachawi wenzio!
 
Bashite ni swala la muda tu aingie kwenye list ya intapol akashtakiwa marekani kwa mauaji ya kimbari. Nafikiri mama fadhila zitamponza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…