Paul Makonda apewe Ubalozi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati au Burundi?

Bashite ni swala la muda tu aingie kwenye list ya intapol akashtakiwa marekani kwa mauaji ya kimbari. Nafikiri mama fadhila zitamponza
Teh ndo wamewatuma hivyo mabwana zenu,,,,hayo kafanyeni kenya sio huku
.....kete za huku hamziwezi
 
Teh ndo wamewatuma hivyo mabwana zenu,,,,hayo kafanyeni kenya sio huku
.....kete za huku hamziwezi
Endelea kufadhiliwa condom, neti za mbu, dawa za malaria na ARV kwa msaada wa watu wa marekani
 
mi nadhani apelekwe Israel akawe mpatanishi wa Israel na waparestina nakuhakikishia popote atakakopelekwa atafaa tu kwa sababu ana maono kwa kile anachofanya. naona mnaweweseka mnaanza hata kuogopa kivuli chake kwa taarifa yako akigombea ubunge akapita tumhesabu kwenye uwaziri mkuu atawanyosha kwelikweli
 
Endeleeni kuwalamba miguu maana bila hao hamuendi chooni na familia zenu
Hahaahaha bila msaada wa mabeberu hupumui nchi hii kama hujui pesa za miradi ya maendeleo zote za mabeberu poleni jiwe aliwadanganya
 
Makonda anastahili kupelekwa Gerezani.
 
ukimpa ubalozi hizo nchi si atavamia kazi za raisi wa hizo nchi
 
Mpeleke tangulia fasta
Tatizo ni hizo Mahakama za CCM zinazofunga Wezi wa Kuku na kuyaacha Mafisadi.

Mike Pompeo alisema Makonda anawanyima Watanzania HAKI YA KUISHI weye unajua maana yake?!
 
Tatizo ni hizo Mahakama za CCM zinazofunga Wezi wa Kuku na kuyaacha Mafisadi.

Mike Pompeo alisema Makonda anawanyima Watanzania HAKI YA KUISHI weye unajua maana yake?!
Kanye boga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…