Paul Makonda arejea, aibukia Uwanja wa Ndege Arusha uliopo eneo la Kisongo

Ushauri kuntu kabisa uliojaa hekima.
 
Moto ni ule ule,,,,,tena aongeze kasi wachochea moto tupo,,,,,,,,,na bado zamu yetu inakuja.....
 
Kwani amesilimu siku hizi au Mimi ndio sielewi?
 
Britanicca ni muongo sana huyo! Huyo kama mganga wa kienyeji muda mwingine anapatia lakini boko ndo nyingi!

Kabisa livypobashiri mkeka wa kina nape na february akaona atembelee hiyo ngekewa ,sasa mara ya pili MUHINDI kamchania MKEKA.
 
alisikika shabiki mmoja wa kolo ambae aliwekewa kono la mo kwenye kalio🤣🤣🤣muhindi kafaidi sana kuwapapasa na majezi yake, au ndo alikua analipiza ile ishu ya kuachwa na kanga tu akaamua kulipiza kwa makolo🤣🤣🤣
Mpira tena? Mbona kulikuwa na angle nyingi za kushambulia hoja yake kisiasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…