Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Sasa hawa kuna mwenye akili hapo?Aah unasemea yule mtakatifu sio.......angekua kama mnavyotaka kuaminisha watu wakina Makonda wasingerudi.....,,,,tunashangaa kambi ya wazuri hawafi ndo inasambaratikaView attachment 3071594
Ushauri kuntu kabisa uliojaa hekima.Uongo mbaya. Tulumiss Makonda.
Karibu sana, naona umetia akili sio kama ulivyokua kabla ya mama Samia kushika madaraka, ulijimwambafai sana kwa kumuiga yule mjinga mwenzako.Tunakuombea aklli yenye manufaa kwa taifa iwe imekuingia. Maana hiyo ilikua huna.
Wasio na akili tunaona wanachomolewa taraaatibu,,,,,,,,,wazuri hawafiiii kazi kwenuSasa hawa kuna mwenye akili hapo?
Ni yule Mboga ndiye aliyefanya mchezo huoMakonda aje atueleze ni akina nani walimwekea sumu kwenye chakula!
Moto ni ule ule,,,,,tena aongeze kasi wachochea moto tupo,,,,,,,,,na bado zamu yetu inakuja.....Uongo mbaya. Tulumiss Makonda.
Karibu sana, naona umetia akili sio kama ulivyokua kabla ya mama Samia kushika madaraka, ulijimwambafai sana kwa kumuiga yule mjinga mwenzako.Tunakuombea aklli yenye manufaa kwa taifa iwe imekuingia. Maana hiyo ilikua huna.
britanicca ni mccm mwenzenuChadema njooni mtuambie sumu Ile R.I.P imeishia wapi? 😂😂😂😂😂
Kabisa..!Kiki za kijinga.
Yule ni sehemu ya Watu wa Makonda au Team ya Taifa ya PropagandaYule kilaza anayejifanya ndio mchawi wa JF alikuja na uzi wa kumtabiria kifo,nilipombana na maswali,chawa wake aliowashikia akili wakaanza kubweka,
Long Live Makonda.
Kwani amesilimu siku hizi au Mimi ndio sielewi?Uongo mbaya. Tulumiss Makonda.
Karibu sana, naona umetia akili sio kama ulivyokua kabla ya mama Samia kushika madaraka, ulijimwambafai sana kwa kumuiga yule mjinga mwenzako.Tunakuombea aklli yenye manufaa kwa taifa iwe imekuingia. Maana hiyo ilikua huna.
Britanicca ni muongo sana huyo! Huyo kama mganga wa kienyeji muda mwingine anapatia lakini boko ndo nyingi!Britanicca katulisha Tango Pori lingine.
Cc: Massawe
Britanicca ni muongo sana huyo! Huyo kama mganga wa kienyeji muda mwingine anapatia lakini boko ndo nyingi!
Noma sana mkuu!Kabisa livypobashiri mkeka wa kina nape na february akaona atembelee hiyo ngekewa ,sasa mara ya pili MWINDI kamchania MKEKA.
Mpira tena? Mbona kulikuwa na angle nyingi za kushambulia hoja yake kisiasa?alisikika shabiki mmoja wa kolo ambae aliwekewa kono la mo kwenye kalio🤣🤣🤣muhindi kafaidi sana kuwapapasa na majezi yake, au ndo alikua analipiza ile ishu ya kuachwa na kanga tu akaamua kulipiza kwa makolo🤣🤣🤣
Fita ni fita mraaa unatafuta engo....kalia 4 engoMpira tena? Mbona kulikuwa na angle nyingi za kushambulia hoja yake kisiasa?
Kwani mgonjwa huwa haponi? Mangula aliyewekewa sumu kafa?Britanicca ni muongo sana huyo! Huyo kama mganga wa kienyeji muda mwingine anapatia lakini boko ndo nyingi!
Unamtakia kwenda jehanam kama yule nduli wa Chato?Mungu ameitikia maombi, rudi ujiandae kuwa JPM.
Unateseka ukiwa wapi wewe wakala wa Shetani! Makonda amekupiga nockout Bwege wewe! Wewe endelea na mchango wa Gari wa Lisu ndo unaoweza!Unamtakia kwenda jehanam kama yule nduli wa Chato?