Pre GE2025 Paul Makonda: Arusha hawakupata barabara kwa muda mrefu kwa sababu waliendekeza majungu, ushirikina na siasa uchwara!

Pre GE2025 Paul Makonda: Arusha hawakupata barabara kwa muda mrefu kwa sababu waliendekeza majungu, ushirikina na siasa uchwara!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu,

Makonda ameendelea kutoa spana huko Arusha baada ya kusema kuwa wakazi wa mkoa wa Arusha kwa muda mrefu kwa sababu walikuwa wanaendekeza majungu, ushirikina na siasa uchwara.

Kauli hii inakuja baada ya Waziri wa TAMISEMI kufanya ziara mkoani hapo leo October 4.2024 na ndipo mkuu huyo wa mkoa alidokeza kuwa kwa sababu Arusha ilikuwa inaendekeza majungu na ushirikina pamoja na siasa uchwara kwa muda mrefu ndio maana barabara zimechelewa kujengwa.

"Na kwa kweli Arusha hawakupata barabara nyingi kwa muda mrefu kwa sababu waliendekeza majungu, ushirikina na siasa uchwara. Yaani huko ndio walipokuwa wamebobe. Ni wazee wa shoti."

"Yaani unaweza ukawa umeomba kama hapa jambo tumeliomba kwako, tukichelewa anaweza akazunguka mtu uko ukashangaa barabara inaanza tena kubadilishwa badilishwa."


Huu ni muendelezo wa kauli tata na kandamizi kutoka kwa kauli hiyo ya mkuu wa mkoa!

Kwahiyo wilaya za Geita tena zenye madini hazina barabara, maji safi, umeme na zinachagua CCM kila siku nazo tusemeje
 
Ulishawahi ishi arusha sababu unabisha ujinga

Double road ya kwanza arusha imejengwa wakati lema akiwa mbunge tokea tengeru mpaka sakina
Acha uyanani ,hii barabara ipo kwenye mipangonya serikali hadi himo holili na sio Lema aliepiga debe hadi ikajengwa
 
Chama kinachoshika Dola ndio kinawapa utaratibu maana ndio kimepewa ridhaa so utake au usitake kutafuta huo utaratibu.

Wale waliochagua ambao hawawezi kuwaletea maendeleo imekula kwao.

Huwezi chagua Wapinzani wakati ukijua hawataunda Serikali ya kukuletea maendeleo utakuwa taahira

Basi nenda kawashauri CCM wafanye marekebisho ya Katiba ili kuruhusu Tanzania iwe na mfumo wa chama kimoja. Ukishasema mfumo wa vyama vingi basi Ina maendeleo yatatolewa kwa wananchi bila kuangalia vyama wanavuounga mkono.
 
Huyo zero brain hajui kuwa barabara nzuri zinatokana na kodi za wananchi.?

Watu wanalipa kodi wao wanaenda kuzitapanya kwenye Kizimkazi festival na kununua magoli wanafikiria nini?

Hapo kosa ni la wananchi au serikali isiyo na vipaumbele?
 
Wakuu,

Makonda ameendelea kutoa spana huko Arusha baada ya kusema kuwa wakazi wa mkoa wa Arusha kwa muda mrefu kwa sababu walikuwa wanaendekeza majungu, ushirikina na siasa uchwara.

Kauli hii inakuja baada ya Waziri wa TAMISEMI kufanya ziara mkoani hapo leo October 4.2024 na ndipo mkuu huyo wa mkoa alidokeza kuwa kwa sababu Arusha ilikuwa inaendekeza majungu na ushirikina pamoja na siasa uchwara kwa muda mrefu ndio maana barabara zimechelewa kujengwa.

"Na kwa kweli Arusha hawakupata barabara nyingi kwa muda mrefu kwa sababu waliendekeza majungu, ushirikina na siasa uchwara. Yaani huko ndio walipokuwa wamebobe. Ni wazee wa shoti."

"Yaani unaweza ukawa umeomba kama hapa jambo tumeliomba kwako, tukichelewa anaweza akazunguka mtu uko ukashangaa barabara inaanza tena kubadilishwa badilishwa."

Huu ni muendelezo wa kauli tata na kandamizi kutoka kwa kauli hiyo ya mkuu wa mkoa!

Hivi majungu ya wanasisa wachache katika mkoa yanaweza kuwa ndiyo kigezo cha kuwanyima walipa kodi maendeleo?
Wakuu,

Makonda ameendelea kutoa spana huko Arusha baada ya kusema kuwa wakazi wa mkoa wa Arusha kwa muda mrefu kwa sababu walikuwa wanaendekeza majungu, ushirikina na siasa uchwara.

Kauli hii inakuja baada ya Waziri wa TAMISEMI kufanya ziara mkoani hapo leo October 4.2024 na ndipo mkuu huyo wa mkoa alidokeza kuwa kwa sababu Arusha ilikuwa inaendekeza majungu na ushirikina pamoja na siasa uchwara kwa muda mrefu ndio maana barabara zimechelewa kujengwa.

"Na kwa kweli Arusha hawakupata barabara nyingi kwa muda mrefu kwa sababu waliendekeza majungu, ushirikina na siasa uchwara. Yaani huko ndio walipokuwa wamebobe. Ni wazee wa shoti."

"Yaani unaweza ukawa umeomba kama hapa jambo tumeliomba kwako, tukichelewa anaweza akazunguka mtu uko ukashangaa barabara inaanza tena kubadilishwa badilishwa."

Huu ni muendelezo wa kauli tata na kandamizi kutoka kwa kauli hiyo ya mkuu wa mkoa!

 
Basi nenda kawashauri CCM wafanye marekebisho ya Katiba ili kuruhusu Tanzania iwe na mfumo wa chama kimoja. Ukishasema mfumo wa vyama vingi basi Ina maendeleo yatatolewa kwa wananchi bila kuangalia vyama wanavuounga mkono.
Hakuna haja ya chama kimoja ila ni Vyama vingi,watakaoshunda ndio wataamua wapi Wapeleke pesa bila kujalisha wamezikusanya wapi maana wengi wape wachache watafanyiwa uungwana ila hawana maamuzi.

Unapochagua Wapinzani na huwezi shika Serikali umejitumbukiza shimoni ukisubiria huruma ya aliyeshika Dola ,ndio kanuni ya Demokrasia 😄😄
 
Hakuna haja ya chama kimoja ila ni Vyama vingi,watakaoshunda ndio wataamua wapi Wapeleke pesa bila kujalisha wamezikusanya wapi maana wengi wape wachache watafanyiwa uungwana ila hawana maamuzi.

Unapochagua Wapinzani na huwezi shika Serikali umejitumbukiza shimoni ukisubiria huruma ya aliyeshika Dola ,ndio kanuni ya Demokrasia 😄😄
Dodoma hawajawahi chagua upinzani huko ni ccm mwanzo mwisho mbona kuna umaskini wa kutisha same kwa ruvuma na lindi
 
Back
Top Bottom