Zinatengenezwa = Assembled = zinaunganishwa. This must be Under license.Zinatengenezwa ✅️
Zinaundwa ❌️
Kinyume chake pia ni jibu.Raha ya kuongoza wajinga, unawaambia chochote tu hawahoji
Paul Makonda ni kichaaMkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, ameweka wazi kuwa Arusha imeanza kutengeneza magari aina ya Defender, ambayo sasa yanauzwa Ulaya. Akizungumza kwenye kongamano la Radiolojia lililofanyika leo Oktoba 9, jijini Arusha mbele ya Naibu Waziri Mkuu, Doto Biteko, Makonda ameeleza kuwa magari hayo yanatengenezwa moja kwa moja jijini Arusha na kusafirishwa hadi Ulaya.
"Defender sasa zinanunuliwa kutoka Arusha, zinatengenezwa hapa na kisha kupandishwa meli kupelekwa Ulaya."
Safi sana ndio viwanda tunavyotaka.Ni kweli,kama umeona wimbi la Landrover defender mtaani ambazo zimekuwa pimped,hizo zinatengenezwa Arusha,wanachukua zulizotumika au chakavu wanazifanyia ukarabati wa nguvu zinakuwa kama mpya kabisa View attachment 3119829...
Hata kama ni facelift, wenzetu wako very strictly na maswala ya complying hasa mazingira, standards na usalama. Je hizo Defenders zinazalishwa na kiwanda gani? Je zina pelekwa nchi gani? Kwa matumizi gani? Je hizo nchi za Ulaya zimeshindwa teknolojia na machalii na wadudu wa Arusha?Huyu itakuwa anamaanisha zinafanyiwa repair au facelift...sio uundaji wa gari tokea kukunja chuma n.k
Niko Arusha muda mrefu sana hicho kiwanda Kiko wapi? Aache uongo labda wanatengeneza guta!Raha ya kuongoza wajinga, unawaambia chochote tu hawahoji
😂Na maafisa na vitambi vyao nao wanapiga makofi bila aibu.
Chama chenu cha mazezeta, viongozi wenu maiti wa akiliTukiachana na uongo wa Makonda naomba kuuliza kama kuna namna yoyote wanafaidika kwa kuipa Land Rover promo kubwa kiasi hicho? Hatuoni kama Land Rover wanatuona wajinga kuwapa matangazo ya bure? Itachukua muda sana kwenda sawa na ulimwengu wa kibepari.
Dr Doto anasikilize hotuba ya F4 failure