Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 15,328
- 11,192
Thubutuuu. Sanasana wanafanya modifications tu za mabodiSo kampuni ya Land lover imefungua kiwanda Cha Magari Arusha. Kongole Kwa Mama,.. wait kiwanda kipo maeneo gani???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thubutuuu. Sanasana wanafanya modifications tu za mabodiSo kampuni ya Land lover imefungua kiwanda Cha Magari Arusha. Kongole Kwa Mama,.. wait kiwanda kipo maeneo gani???
Rajibinder Singh Automotive (RSA)Nimezikuta land cruiser zilizobadilishwa muundo (alteration) na kuongezwa urefu Arusha au Moshi, zipo Saudi Arabia. Kuna Saudi alizoiona Arusha akaona fursa hii, anaziuza kwa order huko Saudi Arabia. Ana order huyo, hazitoshi, sijuwi singa gani wa Arusha ndiyo anaziunda hivyo.
Brand ya Land Rover Defender Waingereza walishaiuza kwa Wahindi baada ya wao kusitisha rasmi uzalishaji wake.So kampuni ya Land lover imefungua kiwanda Cha Magari Arusha. Kongole Kwa Mama,.. wait kiwanda kipo maeneo gani???
Kwa hiyo, hizo defender haziwezi kutumia na askari wetu, mbona magari yao huwa yaagizwa kutoka nje?Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, ameweka wazi kuwa Arusha imeanza kutengeneza magari aina ya Defender, ambayo sasa yanauzwa Ulaya. Akizungumza kwenye kongamano la Radiolojia lililofanyika leo Oktoba 9, jijini Arusha mbele ya Naibu Waziri Mkuu, Doto Biteko, Makonda ameeleza kuwa magari hayo yanatengenezwa moja kwa moja jijini Arusha na kusafirishwa hadi Ulaya.
"Defender sasa zinanunuliwa kutoka Arusha, zinatengenezwa hapa na kisha kupandishwa meli kupelekwa Ulaya."
Kutaka kujua kiwanda kilipo ndio umbea unaosababisha macho ya watanzania kuwa mekundu.So kampuni ya Land lover imefungua kiwanda Cha Magari Arusha. Kongole Kwa Mama,.. wait kiwanda kipo maeneo gani???
Duh!..Kinyume chake pia ni jibu.
Kuongozwa na mjinga ambaye huna haja ya kuuliza chochote katika maelezo yoyote yakijinga atakayotoa.
Punguza siasaNdio uwaambie jamaa zako wa CCM,mnakuja taratibu na Mwashambwa!
Arusha ndiyo ule mkoa ukiwa mvuta gundi mzuri na mnywa pombe kali kupitia njia ya haja kubwa ndiyo unashauriwa ukaishi?Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, ameweka wazi kuwa Arusha imeanza kutengeneza magari aina ya Defender, ambayo sasa yanauzwa Ulaya. Akizungumza kwenye kongamano la Radiolojia lililofanyika leo Oktoba 9, jijini Arusha mbele ya Naibu Waziri Mkuu, Doto Biteko, Makonda ameeleza kuwa magari hayo yanatengenezwa moja kwa moja jijini Arusha na kusafirishwa hadi Ulaya.
"Defender sasa zinanunuliwa kutoka Arusha, zinatengenezwa hapa na kisha kupandishwa meli kupelekwa Ulaya."
Elimu! Elimu! Elimu!Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, ameweka wazi kuwa Arusha imeanza kutengeneza magari aina ya Defender, ambayo sasa yanauzwa Ulaya. Akizungumza kwenye kongamano la Radiolojia lililofanyika leo Oktoba 9, jijini Arusha mbele ya Naibu Waziri Mkuu, Doto Biteko, Makonda ameeleza magari hayo yanatengenezwa moja kwa moja jijini Arusha na kusafirisha hadi Ulaya.
"Beki sasa zinanunuliwa kutoka Arusha, zinatengenezwa hapa na kisha kupandishwa meli kupelekwa Ulaya."
Kwa hiyo zinakarabatiwa?Ni kweli,kama umeona wimbi la Landrover defender mtaani ambazo zimekuwa pimped,hizo zinatengenezwa Arusha,wanachukua zulizotumika au chakavu wanazifanyia kazi wa nguvu zinakuwa kama mpya kabisa View attachment 3119829...
Nkumbuka kuna mradi wa kutengeneza trela za pikipiki ili kupunguza ajali, ule mradi uliishia wapi?Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, ameweka wazi kuwa Arusha imeanza kutengeneza magari aina ya Defender, ambayo sasa yanauzwa Ulaya. Akizungumza kwenye kongamano la Radiolojia lililofanyika leo Oktoba 9, jijini Arusha mbele ya Naibu Waziri Mkuu, Doto Biteko, Makonda ameeleza magari hayo yanatengenezwa moja kwa moja jijini Arusha na kusafirisha hadi Ulaya.
"Beki sasa zinanunuliwa kutoka Arusha, zinatengenezwa hapa na kisha kupandishwa meli kupelekwa Ulaya."
Hata hiyo face lift ndio kweli watu watoke Ulaya kuja kununua gari Arusha?? Waache face lift za kina Khan Design?
Arusha na Moshi kuna workshops nyingi zinaunda bodies za landcruisers na landrovers kwaajili ya utalii, ila workshops maarufu na za kisasa ni Rajinder(RSA) na Hans Paul (HAL)Nimezikuta land cruiser zilizobadilishwa muundo (alteration) na kuongezwa urefu Arusha au Moshi, zipo Saudi Arabia. Kuna Saudi alizoiona Arusha akaona fursa hii, anaziuza kwa order huko Saudi Arabia. Ana order huyo, hazitoshi, sijuwi singa gani wa Arusha ndiyo anaziunda hivyo.
Nadhani wengi hamjamuelewa. Kuna tofauti kubwa kati ya car manufacturing n car assembly. Alichosema blaza Paulo ni uhalisia kwa 100%. Nilipata nafasi ya kuitembelea kampuni ya uzalishaji wa mabasi 0 mileage pale ke, "Master Fabricators." Arusha kuna car assembly ya madefenda. Car assembly inanunua spare parts nje, then inategeneza gari jipyaaa. Kwa sasa nchi za kiafrika almost wote tumejikita kwenye car assembly maana bado hatuna uwezo wa kuzalisha spare parts zetu.
Hapo Muhindi,Tata, kashawapa hela za promotion.Tukiachana na uongo wa Makonda naomba kuuliza kama kuna namna yoyote wanafaidika kwa kuipa Land Rover promo kubwa kiasi hicho? Hatuoni kama Land Rover wanatuona wajinga kuwapa matangazo ya bure? Itachukua muda sana kwenda sawa na ulimwengu wa kibepari.
Defender zilisitishwa uzalishaji Ulaya/Uingereza akaamua auze hiyo brand kwa Muhindi/TATA Company.Hata kama ni facelift, wenzetu wako very strictly na maswala ya complying hasa mazingira, standards na usalama. Je hizo Defenders zinazalishwa na kiwanda gani? Je zina pelekwa nchi gani? Kwa matumizi gani? Je hizo nchi za Ulaya zimeshindwa teknolojia na machalii na wadudu wa Arusha?