Paul Makonda: Arusha sasa inazalisha Magari aina ya Defender na kuyapeleka Ulaya

Paul Makonda: Arusha sasa inazalisha Magari aina ya Defender na kuyapeleka Ulaya

So kampuni ya Land lover imefungua kiwanda Cha Magari Arusha. Kongole Kwa Mama,.. wait kiwanda kipo maeneo gani???
Thubutuuu. Sanasana wanafanya modifications tu za mabodi
 
Nimezikuta land cruiser zilizobadilishwa muundo (alteration) na kuongezwa urefu Arusha au Moshi, zipo Saudi Arabia. Kuna Saudi alizoiona Arusha akaona fursa hii, anaziuza kwa order huko Saudi Arabia. Ana order huyo, hazitoshi, sijuwi singa gani wa Arusha ndiyo anaziunda hivyo.
Rajibinder Singh Automotive (RSA)
 
So kampuni ya Land lover imefungua kiwanda Cha Magari Arusha. Kongole Kwa Mama,.. wait kiwanda kipo maeneo gani???
Brand ya Land Rover Defender Waingereza walishaiuza kwa Wahindi baada ya wao kusitisha rasmi uzalishaji wake.
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, ameweka wazi kuwa Arusha imeanza kutengeneza magari aina ya Defender, ambayo sasa yanauzwa Ulaya. Akizungumza kwenye kongamano la Radiolojia lililofanyika leo Oktoba 9, jijini Arusha mbele ya Naibu Waziri Mkuu, Doto Biteko, Makonda ameeleza kuwa magari hayo yanatengenezwa moja kwa moja jijini Arusha na kusafirishwa hadi Ulaya.

"Defender sasa zinanunuliwa kutoka Arusha, zinatengenezwa hapa na kisha kupandishwa meli kupelekwa Ulaya."

Kwa hiyo, hizo defender haziwezi kutumia na askari wetu, mbona magari yao huwa yaagizwa kutoka nje?
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, ameweka wazi kuwa Arusha imeanza kutengeneza magari aina ya Defender, ambayo sasa yanauzwa Ulaya. Akizungumza kwenye kongamano la Radiolojia lililofanyika leo Oktoba 9, jijini Arusha mbele ya Naibu Waziri Mkuu, Doto Biteko, Makonda ameeleza kuwa magari hayo yanatengenezwa moja kwa moja jijini Arusha na kusafirishwa hadi Ulaya.

"Defender sasa zinanunuliwa kutoka Arusha, zinatengenezwa hapa na kisha kupandishwa meli kupelekwa Ulaya."

Arusha ndiyo ule mkoa ukiwa mvuta gundi mzuri na mnywa pombe kali kupitia njia ya haja kubwa ndiyo unashauriwa ukaishi?
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, ameweka wazi kuwa Arusha imeanza kutengeneza magari aina ya Defender, ambayo sasa yanauzwa Ulaya. Akizungumza kwenye kongamano la Radiolojia lililofanyika leo Oktoba 9, jijini Arusha mbele ya Naibu Waziri Mkuu, Doto Biteko, Makonda ameeleza magari hayo yanatengenezwa moja kwa moja jijini Arusha na kusafirisha hadi Ulaya.

"Beki sasa zinanunuliwa kutoka Arusha, zinatengenezwa hapa na kisha kupandishwa meli kupelekwa Ulaya."

Elimu! Elimu! Elimu!
Kweli watanganyika sasa wameonekana wajinga.
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, ameweka wazi kuwa Arusha imeanza kutengeneza magari aina ya Defender, ambayo sasa yanauzwa Ulaya. Akizungumza kwenye kongamano la Radiolojia lililofanyika leo Oktoba 9, jijini Arusha mbele ya Naibu Waziri Mkuu, Doto Biteko, Makonda ameeleza magari hayo yanatengenezwa moja kwa moja jijini Arusha na kusafirisha hadi Ulaya.

"Beki sasa zinanunuliwa kutoka Arusha, zinatengenezwa hapa na kisha kupandishwa meli kupelekwa Ulaya."

Nkumbuka kuna mradi wa kutengeneza trela za pikipiki ili kupunguza ajali, ule mradi uliishia wapi?
Tanganyika kwa vituko!!
 
Hata hiyo face lift ndio kweli watu watoke Ulaya kuja kununua gari Arusha?? Waache face lift za kina Khan Design?

Sasa si ndio 'ujinga' wa watawala tulionao...

Kwanza kitendo cha kusifia gari ya mabeberu ni kasoro tayari...
 
Nimezikuta land cruiser zilizobadilishwa muundo (alteration) na kuongezwa urefu Arusha au Moshi, zipo Saudi Arabia. Kuna Saudi alizoiona Arusha akaona fursa hii, anaziuza kwa order huko Saudi Arabia. Ana order huyo, hazitoshi, sijuwi singa gani wa Arusha ndiyo anaziunda hivyo.
Arusha na Moshi kuna workshops nyingi zinaunda bodies za landcruisers na landrovers kwaajili ya utalii, ila workshops maarufu na za kisasa ni Rajinder(RSA) na Hans Paul (HAL)
 
Kiongozi ametunywesha chai ya moto kweri kweri, mdau hapa anajaribu kuipooza. Tutajie jina la kampuni/
Kiwanda
Nadhani wengi hamjamuelewa. Kuna tofauti kubwa kati ya car manufacturing n car assembly. Alichosema blaza Paulo ni uhalisia kwa 100%. Nilipata nafasi ya kuitembelea kampuni ya uzalishaji wa mabasi 0 mileage pale ke, "Master Fabricators." Arusha kuna car assembly ya madefenda. Car assembly inanunua spare parts nje, then inategeneza gari jipyaaa. Kwa sasa nchi za kiafrika almost wote tumejikita kwenye car assembly maana bado hatuna uwezo wa kuzalisha spare parts zetu.
 
Tukiachana na uongo wa Makonda naomba kuuliza kama kuna namna yoyote wanafaidika kwa kuipa Land Rover promo kubwa kiasi hicho? Hatuoni kama Land Rover wanatuona wajinga kuwapa matangazo ya bure? Itachukua muda sana kwenda sawa na ulimwengu wa kibepari.
Hapo Muhindi,Tata, kashawapa hela za promotion.
 
Hata kama ni facelift, wenzetu wako very strictly na maswala ya complying hasa mazingira, standards na usalama. Je hizo Defenders zinazalishwa na kiwanda gani? Je zina pelekwa nchi gani? Kwa matumizi gani? Je hizo nchi za Ulaya zimeshindwa teknolojia na machalii na wadudu wa Arusha?
Defender zilisitishwa uzalishaji Ulaya/Uingereza akaamua auze hiyo brand kwa Muhindi/TATA Company.
 
Back
Top Bottom