KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Ni lini Tata mmiliki wa Land Rover katoa leseni kwa kampuni ya Arusha kuzalisha magari yake?Ni kampuni gani inahusika katika uzalishaji wa magari haya Arusha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni lini Tata mmiliki wa Land Rover katoa leseni kwa kampuni ya Arusha kuzalisha magari yake?Ni kampuni gani inahusika katika uzalishaji wa magari haya Arusha?
Inaitwaa Magufulication.Hivi yupo serious kweli huyu RC ama anatania?
Kiwanda chenyewe cha matairi hapo Arusha cha General Tyres sijui kama kipo hai hadi leo
Hii Nchi Viongozi wanaongoza kusema vitu visivyo vya kweli [emoji119]
RC kaambiwa "zinatengenezwa"Huyu itakuwa anamaanisha zinafanyiwa repair au facelift...sio uundaji wa gari tokea kukunja chuma n.k
Sifa za kuwa RC ni zipi?RC kaambiwa "zinatengenezwa"
Kaamini
Kusoma na kuandika kama ndugu zao wabungeSifa za kuwa RC ni zipi?
Ukishasema neno KAMA basi hiyo ni copy au sio yenyewe.Ni kweli,kama umeona wimbi la Landrover defender mtaani ambazo zimekuwa pimped,hizo zinatengenezwa Arusha,wanachukua zulizotumika au chakavu wanazifanyia ukarabati wa nguvu zinakuwa kama mpya kabisa View attachment 3119829...
Kazi ya kutafuta political mileage tuInaitwaa Magufulication.
Hii post yako imejaa ukweli. Ndiyo hasa kinachotokea Tanzania.Raha ya kuongoza wajinga, unawaambia chochote tu hawahoji
Hata hiyo face lift ndio kweli watu watoke Ulaya kuja kununua gari Arusha?? Waache face lift za kina Khan Design?Huyu itakuwa anamaanisha zinafanyiwa repair au facelift...sio uundaji wa gari tokea kukunja chuma n.k
Ume describe watz na viongozi waoRaha ya kuongoza wajinga, unawaambia chochote tu hawahoji
Wengi wamejaa makasiriko. Ukiweka na chuki zao juu ya Makonda chochote atakachosema povu linawatoka. Hizo Defender sasa hivi zishakuwa DISCONTINUED hazitengenezwi kabisa na JLR. Kinachofanyika duniani ni watu independent wanasuka zile za zamani zinakuwa na features za kisasa. Arusha napo wanafanya hivi, wanachukua scrapper kabisa hata halitembei wanaweka kila kitu kipya hadi chassis na sehemu za body. Hio ni assembly kabisa. Replacement ya OG Defender ni Ineos Granadier ambay ni kampuni tofauti na JLR.Nadhani wengi hamjamuelewa. Kuna tofauti kubwa kati ya car manufacturing n car assembly. Alichosema blaza Paulo ni uhalisia kwa 100%. Nilipata nafasi ya kuitembelea kampuni ya uzalishaji wa mabasi 0 mileage pale ke, "Master Fabricators." Arusha kuna car assembly ya madefenda. Car assembly inanunua spare parts nje, then inategeneza gari jipyaaa. Kwa sasa nchi za kiafrika almost wote tumejikita kwenye car assembly maana bado hatuna uwezo wa kuzalisha spare parts zetu.
Yes inawezekana. Defender enthusiast wanafuata popote pale watakapopata Defender kwa bei rahisi. Kama una scrapper ya LR Defender ni dhahabu hio.Hata hiyo face lift ndio kweli watu watoke Ulaya kuja kununua gari Arusha?? Waache face lift za kina Khan Design?
Hili suala halihusu chamaChama chenu cha mazezeta, viongozi wenu maiti wa akili
Hii ndio ya kwako mkuu, hongera sana!?Ni kweli,kama umeona wimbi la Landrover defender mtaani ambazo zimekuwa pimped,hizo zinatengenezwa Arusha,wanachukua zulizotumika au chakavu wanazifanyia ukarabati wa nguvu zinakuwa kama mpya kabisa View attachment 3119829...
Ndio uwaambie jamaa zako wa CCM,mnakuja taratibu na Mwashambwa!Tukiachana na uongo wa Makonda naomba kuuliza kama kuna namna yoyote wanafaidika kwa kuipa Land Rover promo kubwa kiasi hicho? Hatuoni kama Land Rover wanatuona wajinga kuwapa matangazo ya bure? Itachukua muda sana kwenda sawa na ulimwengu wa kibepari.