Paul Makonda: Arusha sasa inazalisha Magari aina ya Defender na kuyapeleka Ulaya

Hata uwe na akili vipi, ukiongozwa na mjinga tu basi nawe ni PIMBI, watanzania sisi ni ma.................................. 😂🤣
 
Huyu itakuwa anamaanisha zinafanyiwa repair au facelift...sio uundaji wa gari tokea kukunja chuma n.k
Hata hiyo face lift ndio kweli watu watoke Ulaya kuja kununua gari Arusha?? Waache face lift za kina Khan Design?
 
Wengi wamejaa makasiriko. Ukiweka na chuki zao juu ya Makonda chochote atakachosema povu linawatoka. Hizo Defender sasa hivi zishakuwa DISCONTINUED hazitengenezwi kabisa na JLR. Kinachofanyika duniani ni watu independent wanasuka zile za zamani zinakuwa na features za kisasa. Arusha napo wanafanya hivi, wanachukua scrapper kabisa hata halitembei wanaweka kila kitu kipya hadi chassis na sehemu za body. Hio ni assembly kabisa. Replacement ya OG Defender ni Ineos Granadier ambay ni kampuni tofauti na JLR.
 
Ndio uwaambie jamaa zako wa CCM,mnakuja taratibu na Mwashambwa!
 
Nimezikuta land cruiser zilizobadilishwa muundo (alteration) na kuongezwa urefu Arusha au Moshi, zipo Saudi Arabia. Kuna Saudi alizoiona Arusha akaona fursa hii, anaziuza kwa order huko Saudi Arabia. Ana order huyo, hazitoshi, sijuwi singa gani wa Arusha ndiyo anaziunda hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…