Hahahhh maneno ya mkosaji sio! Rotten rat stinks. Mungu ni wetu sote naibu raisi Nasi tuliomba kwa Mungu wetu wa Kweli sasa Tunarudi kumshukuru Mungu wetu wa kweli.Last kicks of a dying lamb after butcher's sword has passed through the wind pipe
Watanzania tunaongozwa zaidi na chuki, hivi huyu kijana amewafanya nini? Kuanguka kwake we we binafsi unanufaikaje?
Waaaaapi... jamaa anajuaga kutoboa kwa aina yake...baba lazma ampenyeze viti maalum kama sio kumrudisha kuwa RC.Kwisha habari yake
Mtoto wa baba huyo kiti chake kipo, nafasi za uteuzi............!!!!!!!!Kwisha habari yake
Yeah that's one of the kind of diffence mechanism,,,so as to relieve fu#@@ painKwanza nimpe pole Makonda kwa matokeo ya jana!
But I’m confused, “Asanteni....na kunipa nafasi niwe sehemu ya Maisha yenu”. Is he in denial?
Hold my tea...hiko ni cheo kipya kwa ajilli ya bashyte baby🤣🤣🤣Anaweza kuwa Katibu wa Rais pale Magogoni
Naongezea...ni East and central AfricaNaitangaza kamati ya roho mbaya ya kigamboni kuwa ndio kamati yenye roho mbaya zaidi Afrika Mashariki
Dharau, majivuno, kebehi, misifa, kujimwambafai, kiburi n.k vimemfanya Watanzania wefurahie kukosa kwake kura za maoniWatanzania tunaongozwa zaidi na chuki, hivi huyu kijana amewafanya nini? Kuanguka kwake we we binafsi unanufaikaje?