Uchaguzi 2020 Paul Makonda: Asanteni sana Kigamboni, mapenzi ya Mungu ni makubwa kuliko mapenzi yangu

Uchaguzi 2020 Paul Makonda: Asanteni sana Kigamboni, mapenzi ya Mungu ni makubwa kuliko mapenzi yangu

Aise huyu alikuwa chambo ya demokurashia ya kweli,ila anajua anakoenda....
 
Aliyoyafanya makonda hadi kufikia dar es salaam ikawa ilivyo sasa czani km hastaili kuwa mshindi ktk mchakato huu.

Ndugulile kipindi cha covid-19 alitaka tufe km siyo ujasiri wa Mh Rais

Najua ndugulile kawateka wajumbe wengi kiushabiki.

Ila busala za wilaya na mkoa na taifa kwa ujumla ndio zitatoa mstakabari mzima.
Mkuu hata ninyi wanachama wa chama bora Africa mngekuwa na njaa kwa kuambiwa mkae home for only 2 weeks,Sasa ubora wa hicho chama chenu na uchapakazi wa mwenyekiti wenu upo kwenye nini?
 
Kiuhalisia Wanakigamboni wangepata matunda mengi Kama wangemchagua makonda kuliko ndugulile, kwakuwa Ni mfatiliaji mzuri na annaconnection kubwa na vigogo, japokuwa anamapungufu mengi Ila bado Ni mchapa kazi.

Pia Kura hizi rushwa huwa zinatembea Sana, Kama huko mollel alianza kuwapa rushwa wajumbe kitambo Sana kabla hata ya mchakato.
Kwamba makonda ana connection na vigogo wa nchi hii kuliko aliyekuwa naibu waziri na member of parliament mwenzao,Kweli Mambo mengi sana nchi hii
 
Aliyoyafanya makonda hadi kufikia dar es salaam ikawa ilivyo sasa czani km hastaili kuwa mshindi ktk mchakato huu.

Ndugulile kipindi cha covid-19 alitaka tufe km siyo ujasiri wa Mh Rais

Najua ndugulile kawateka wajumbe wengi kiushabiki.

Ila busala za wilaya na mkoa na taifa kwa ujumla ndio zitatoa mstakabari mzima.
Mie najua Makonda ndiye mbunge wa kigamboni......asiyetaka atalazimishwa..
 
Aliyoyafanya makonda hadi kufikia dar es salaam ikawa ilivyo sasa czani km hastaili kuwa mshindi ktk mchakato huu.

Ndugulile kipindi cha covid-19 alitaka tufe km siyo ujasiri wa Mh Rais

Najua ndugulile kawateka wajumbe wengi kiushabiki.

Ila busala za wilaya na mkoa na taifa kwa ujumla ndio zitatoa mstakabari mzima.
Kama hujajua Makonda Kigamboni kapigwa chini!!
CCM wakifanya ubabe wamkate Ndugulile hilo jimbo walisahau ni la upinzani hasa CHADEMA!!
 
Ukiua kwa upanga utauawa kwa upanga.What goes around comes around.To every action there is an equal and opposite reaction.
Hiyo ni law of nature, halafu kavaa magwanda kama ya kuvamia clouds siku ile!!
Eti apewe ubunge Kigamboni mtu disain hii hafai hata ubarozi nyumba kumi!!
Eti Mungu, huyo Mungu wa wauwaji na wateka nyara??
Mungu Yehova Jile hataniwi wala sio mnafiki, apandacho mtu atavuna hicho hicho!!
 
Paul Makonda amesema haya...

“Nimepata pole nyingi sana kutokana na matokeo ya jana, kwanza nawashukuru kwa upendo wenu na maombi yenu ya kunitakia mafanikio katika kutimiza NDOTO yangu”

“Jambo moja kubwa ni muhimu ni kuyajua mapenzi ya Mungu na katika hili mapenzi ya Mungu ni makubwa kuliko mapenzi yangu, nawatakia baraka na afya njema siku zote za Maisha yenu, Asanteni sana sana Wana KIGAMBONI kwa upendo wenu na kunipa nafasi niwe sehemu ya Maisha yenu”


hAYO MAGWANDA YA JESHI GANI NA CHEO KIPI NA KAPEWA NA AMIRI JESHI YUPI? " kauli,kauli,kauli!"
 
Back
Top Bottom