Paul Makonda ateuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi

Binafsi uteuzi huu nausherekea sana. Paul Makonda anastahili sana kuwa kiongozi. Ni nani asiyejua kuwa Paul Makonda kichwa chake kinafanya kazi vizuri? Paul anauthubutu. Paul anandoto. Paul ana authority.

Kitu kimoja ninachoweza kumshauri Paul ni matumizi ya lugha na kujikweza. Aache!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…